Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nani jamani nae ni celebrity wa hapa kwetu?
Ni nani huyu kwani?
Duh ndo namsikia leo [emoji15]
Siwezi kula units zangu bila sababu
Nimekupenda bure!Siwezi kula units zangu bila sababu
Kama unafahamu yale majarida ya zamani ya femina alikuw Ana tàngàzdah...ndo kwanza namsikia leo..
Jaribu ku-google utapata habari zake. Mwakembye na A.G hawana hamu naye maana amewagaragaza kwenye matope Mahakama kuu alipoishitaki serikali kupinga sheria mbovu inayoruhusu ndoa za watoto. Kapewa tuzo huko UN kwa ujasiri wake.Ndo nani jamani nae ni celebrity wa hapa kwetu?
Shyeeeh...!!! Wanawake wa sosho netiweki wanavyopenda attention halafu picha ai-crop kiunoni lazima kuna scarcity of karyo hapo si bure.
Ukiondoa marehemu Mtikila sikumbuki mtanzania mwingine ambaye amedhubutu kuipeleka serikali mahakamani kwa kesi ya kikatiba na kuishinda. Sasa huyu binti pamoja na umri mdogo kafanikiwa kiasi hicho.. Ni kitu cha kushangaza kusikia kuwa hafahamiki hapa nyumbani na tuliojaliwa kidogo tunaona kutumia bundle kujielisha kidogo ni kupoteza hela.Jaribu ku-google utapata habari zake. Mwakembye na A.G hawana hamu naye maana amewagaragaza kwenye matope Mahakama kuu alipoishitaki serikali kupinga sheria mbovu inayoruhusu ndoa za watoto. Kapewa tuzo huko UN kwa ujasiri wake.
Huyo Dada ndo mlikuwa mnampenda?Inakuwaje wakuu,
Yule bibie asiye na rashda wala kashda tayari ameshatangaziwa nia.....
Utamu wake uko kwenye nini ?Katamu balaa
Dah...pia ni Simba au Yanga? Ukawa au Tawala??? [emoji12] [emoji12]anamiliki nini?? ni mtoto wa nani?? yupo wcb au kwa king kiba???