BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,252
Binafsi ingawa umri wangu ulikuwa sio mkubwa sana lakini kwa kiasi kikubwa nilishuhudia mabadiliko makubwa ya maisha!
Mwanzo TV tulikuwa tunaenda kuangalia kanisani (mission).
Tuliacha kuvaa mawingu na kaniki tukaanza kuvaa nguo Nzuri za mtumba!
Tuliacha kununua vitu kwny maduka ya ushirika, watu wengi walianzisha maduka mitaani!
Shule za binafsi nyingi zilianzisha!
Enzi zile kutembea ukaokota pesa barabarani Ilikuwa kawaida sana, (enzi hizo sarafu za Tsh 5, 10 na 20.
Hebu wa enzi hizo tukumbushane matukio mbalimbali yaliyotokea chini ya utawala wa mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Mwanzo TV tulikuwa tunaenda kuangalia kanisani (mission).
Tuliacha kuvaa mawingu na kaniki tukaanza kuvaa nguo Nzuri za mtumba!
Tuliacha kununua vitu kwny maduka ya ushirika, watu wengi walianzisha maduka mitaani!
Shule za binafsi nyingi zilianzisha!
Enzi zile kutembea ukaokota pesa barabarani Ilikuwa kawaida sana, (enzi hizo sarafu za Tsh 5, 10 na 20.
Hebu wa enzi hizo tukumbushane matukio mbalimbali yaliyotokea chini ya utawala wa mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.