Tuliokuwepo tujikumbushe: Mkutano wa Rais Julius Nyere na waandishi wa habari

Tuliokuwepo tujikumbushe: Mkutano wa Rais Julius Nyere na waandishi wa habari

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Nyerere Julius hakupenda kilichokuwa kinaendelea Ikulu wakati wa Mwinyi. Akasema ni mahali patakatifu.

Kulikuwa na minongono mtaani, redio mbao for that matter kuwa anataka "kumpindua" Mwinyi.

Sasa akafanya mkutano na waandishi wa habari kusisitiza kuwa Ikulu ni mahali patakatifu.

Sasa: Mwandishi mmoja akamuuliza swali kuwa : unataka kumpindua Rais Mwyinyi. ALIKASIRIKA SANA TENA SANA!

JIBU: Akamuuliza mwandishi aliyeuliza swali hilo:
UKISIKIA MITAANI KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO, UTAKURUPUKA NA KULIANDIKA MAGAZETINI?

Mkutano uliisha hapo hapo! Kila mmoj aliogopa kuuliza swali
 
Nyerere Julius hakupenda kilichokuwa kinaendelea Ikulu wakati wa Mwinyi. Akasema ni mahali patakatifu.

Kulikuwa na minongono mtaani, redio mbao for that matter kuwa anataka "kumpindua" Mwinyi.

Sasa akafanya mkutano na waandishi wa habari kusisitiza kuwa Ikulu ni mahali patakatifu.

Sasa: Mwandishi mmoja akamuuliza swali kuwa : unataka kumpindua Rais Mwyinyi. ALIKASIRIKA SANA TENA SANA!

JIBU: Akamuuliza mwandishi aliyeuliza swali hilo:
UKISIKIA MITAANI KUWA MIMI NDIYE BABA YAKO, UTAKURUPUKA NA KULIANDIKA MAGAZETINI?

Mkutano uliisha hapo hapo! Kila mmoj aliogopa kuuliza swali
Sio kweli! Ilo jibu alilitoa akiwa Jomo Kenyatta International Airport tena wakati huo akiwa Rais.
 
Ni mkutano upi huo? Nakumbuka press conference almost zote ambazo mwalimu alizifanya, kuna ile ya Kilimanjaro hotel/Kilimanjaro Kempsik, Msasani nyumbani kwake, again Msasani baada ya kura za maoni zilizo mleta Mkapa kama mgombea, hotuba yake baada ya kubaki wagombea 3 kama sio 5 pale Dodoma na ile ya May day Mbeya; zote hizi silikumbuki hilo swali? Can you please come back for reminder?
 
Back
Top Bottom