Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
- Thread starter
- #41
Sasa na nyinyi mnaojisifia kua mmeleta maendeleo ya vitu, ni vipi hivyo sasa wakati Mvua ya nusu siku tu inatuacha hoi hatujiwezi?Miundombinu yanini na nyinyi kilakukicha mnapinga kuboreshwa miundombinu!?
mnataka maendeleo ya watu na sio vitu kama miundombinu,niajabu leo mnalilia miundombinu!