Tulioletewa bili za ajabu za maji ya DAWASA tukutane hapa

Tulioletewa bili za ajabu za maji ya DAWASA tukutane hapa

Mm pua imekuja nill ya 50000
Wakuu hivi hawa DAWASA hizi meter zao wamezitemptor? Majirani zangu nilikuwa naona wanalalamika wanaletewa mabili ya ajabu nikaona labda matumizi yao.

Jana wakanitumia bili yao, toka bili ya 5000 to 40000? Tena ya Desemba wakati kipindi hicho watu wengi walikuwa wamesafiri? Je, mliopata shida kama hii mlifanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hawa jamaa usipokuwa makini wanakubambika
nliwaigi shauri msomamita anapokuja kuwe na mtu kuyoka nyumba husika ahakikishe wanachosoma kama ni kweli lakini wapi wakati mwengine hawaji wanakadiria


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na siku hizi mafundi wa Dawasco wamejitengenezea mradi kwa kushilikiana na manager husika wa eneo wanakata maji nje kwenye line au kwenye mita hata kama haudaiwi ili uende ofisini au umpigie simu fundi aje kuludisha au kutengeneza maji kw a gharama ya 50,000 hapo elfu 30,000 wanakwambia ya ofisi na 20,000 wananunua connector

Ilinitokea kama mbili nikalipa hiyo pesa Dawasco Kawe naona wameludia tena wanafanya kila mwezi baada ya kushtuka sasa nimepanga niende Takukuru na mara zote mbili Nilikua sidaiwi

Nina ushaidi wa camera wanavyokuja kufunga maji usiku ikiwa sidaiwi
 
Wakuu hivi hawa DAWASA hizi meter zao wamezitemptor? Majirani zangu nilikuwa naona wanalalamika wanaletewa mabili ya ajabu nikaona labda matumizi yao.

Jana wakanitumia bili yao, toka bili ya 5000 to 40000? Tena ya Desemba wakati kipindi hicho watu wengi walikuwa wamesafiri? Je, mliopata shida kama hii mlifanyaje?
Wanakutumia units ulizotumia na mita yako unaisoma kila wanapotuma bili, shida iko wapi?
 
Back
Top Bottom