Tuliomtetea Kabendera tumwombe radhi mwendazake, Naanza na Pascal Mayalla nisamehe Mkuu

Tuliomtetea Kabendera tumwombe radhi mwendazake, Naanza na Pascal Mayalla nisamehe Mkuu

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Siku ya leo imekuwa siku ya majuto makali sana ya moyo wangu, naweza nisieleweke lakini naomba niende moja kwa moja kwanza nimeumia kuona kabendera anaamini yakuwa Mbowe ni miongoni mwa watu wanao takiwa kukaa mezani na utawala kuomba radhi.

Pili na kubwa nimeumia kabendera leo ametoa Siri yakuwa Ili atoke ndani Kuna watu walifanya vikao zaidi ya hamsini(50), Ili aweze kutoka magereza sijui mahabusu.

Binafsi nilikuwa miongoni mwa vijana tuliopaza sauti ya kumtaka Mwendazake amwachie Kabendera. Mimi nilifika wakati nikawa naandika maandiko kwa lugha ya mamayangu niliamini mwendazake angeweza kusoma na kunielewa amwachie kijana wetu jaman.

Niliumia sana kukamatwa kwa kabendera na niliamini anasingiziwa Kila kosa maana jinsi alivyokamatwa kabendera ni kama mtego wa panya unavyonasaga panya mazingira ya ukamatwaji yalinipa confidence kuwa anasingiziwa.

Nilienda mbali nikaanza kuchunguza ni nani aliyemchongea Huyu kijana katika pita pita yangu nilibaini Moja ya Maandiko ya Mzee aliyeungana na mwendazake kwa lengo la kutafuta uteuzi ila aliukosa kwa sababu za mwendazake baada ya kumchunguza, ndugu Pascally Mayalla nilibaini kuwa moja ya maandiko yake yalimchonganisha kabendera na mwendazake.

Nilikuja na andiko ilo liliromshutumu Huyu Mzee Pascally Mayalla nikili ukubwa jalala Huyu Mzee hakujibu wara ilo andiko hajawai sema lolote.

Leo baada ya kumsikia kabendera akiandika kupitia tweeter yakuwa vilikaa vikao zaidi ya 50 watu walikaa na ile MBOGO kumwombea Msamaha kabendera nimeamini Huyu mtu alifanya makosa MAKUBWA sana na kama inawezekana akamatwe Tena tuanze upya Huyu mtu alihujumu TAIFA akamatwe.

Sambamba na kuomba akamatwe naomba niwajuze wasomaji yakuwa kwa kuwa nipo njiani naenda kula krismasi umamani nikifika chato ntashuka na kwenda kwa kaburi la mwendazake kuomba radhi.

Ila kwa leo kwa kuwa Mzee Pascally Mayalla Mwandishi mkongwe Huyu Sina budi kumwomba Radhi, ndugu, kaka yangu Pascally Mayalla nakuomba radhi, niseme wazi kama usingekuwa ulichukua kadi ya chama Cha mapinduzi na kushiriki kugombea uchaguzi mchafu ningenunua Dume la ng'ombe na kuja kwako kuomba radhi ndivyo tufanyavyo sisi wamalawi punde ukibaini ulimkosea mwanaume.

Naomba radhi ila naomba kabendera akamatwe Tena aruidishwe rumande achunguzwe.

Naitwa Sifi leo.
 
Siku ya leo imekuwa siku ya majuto makali sana ya moyo wangu, naweza nisieleweke lakini naomba niende moja kwa moja kwanza nimeumia kuona kabendera anaamini yakuwa Mbowe ni miongoni mwa watu wanao takiwa kukaa mezani na utawala kuomba radhi.

Pili na kubwa nimeumia kabendera leo ametoa Siri yakuwa Ili atoke ndani Kuna watu walifanya VIKao zaidi ya hamsini(50), Ili aweze kutoka magereza sijui mahabusu.

Binafis nilikuwa miongoni mwa vijana tuliopaza sauti ya kumtaka Mwendazake amwachie Kabendera. Mimi nilifika wakati nikawa naandika maandiko kwa lugha ya mamayangu niliamini mwendazake angeweza kusoma na kunielewa amwachie kijana wetu jaman.

Niliumia sana kukamatwa kwa kabendera na niliamini anasingiziwa Kila kosa maana jinsi alivyokamatwa kabendera ni kama mtego wa panya unavyonasaga panya mazingira ya ukamatwaji yalinipa confidence kuwa anasingiziwa.

Nilienda mbali nikaanza kuchunguza ni nani aliyemchongea Huyu kijana katika pita pita yangu nilibaini Moja ya Maandiko ya Mzee aliyeungana na mwendazake kwa lengo la kutafuta uteuzi ila aliukosa kwa sababu za mwendazake baada ya kumchunguza, ndugu Pascally Mayalla nilibaini kuwa moja ya maandiko yake yalimchonganisha kabendera na mwendazake.

Nilikuja na andiko ilo liliromshutumu Huyu Mzee Pascally Mayalla nikili ukubwa jalala Huyu Mzee hakujibu wara ilo andiko hajawai sema lolote.

Leo baada ya kumsikia kabendera akiandika kupitia tweeter yakuwa vilikaa vikao zaidi ya 50 watu walikaa na ile MBOGO kumwombea Msamaha kabendera nimeamini Huyu mtu alifanya makosa MAKUBWA sana na kama inawezekana akamatwe Tena tuanze upya Huyu mtu alihujumu TAIFA akamatwe.

Sambamba na kuomba akamatwe naomba niwajuze wasomaji yakuwa kwa kuwa nipo njiani naenda kula krismasi umamani nikifika chato ntashuka na kwenda kwa kaburi la mwendazake kuomba radhi.

Ila kwa leo kwa kuwa Mzee Pascally Mayalla Mwandishi mkongwe Huyu Sina budi kumwomba Radhi, ndugu, kaka yangu Pascally Mayalla nakuomba radhi, niseme wazi kama usingekuwa ulichukua kadi ya chama Cha mapinduzi na kushiriki kugombea uchaguzi mchafu ningenunua Dume la ng'ombe na kuja kwako kuomba radhi ndivyo tufanyavyo sisi wamalawi punde ukibaini ulimkosea mwanaume.

Naomba radhi ila naomba kabendera akamatwe Tena aruidishwe rumande achunguzwe.

Naitwa Sifi leo.
Mpambe wa Maria wewe. Mlikula michango ya #FreeErickKabendera mkadhani atafia jela. Alipotoka mkajifanya kumdhihaki kisa hiyo michango mliyokula.

Hashtag for cash, same principle inatumika ku-discourage mazungumzo ya kuwezesha Mbowe aachiwe huru. Mnaneemeka kwa shida za wenzenu
 
Mkuu,fanya ufupisho, kosa la kabendera unalomlaumu ni lipi ? sie
ewi, kusema vilikaa vikao kumuombea msamaha ni vibaya ?
Alaaaaaa kumbe ni kweli Kabendera alifanya makosa makubwa sana kwa Taifa mpaka akaombewa msamaha - shame on him!!

Sisi tuliokuwa tunamtete tulifikili alionewa na Mwendazake!!! - shame on us!!
 
Mpambe wa Maria wewe. Mlikula michango ya #FreeErickKabendera mkadhani atafia jela. Alipotoka mkajifanya kumdhihaki kisa hiyo michango mliyokula.

Hashtag for cash, same principle inatumika ku-discourage mazungumzo ya kuwezesha Mbowe aachiwe huru. Mnaneemeka kwa shida za wenzenu
Umerudi nchini? Bado umekimbia nchi?uliyemtaja hanijui na simjui, heshima mawazo yangu, nikweli wewe unamfahamu aliyemwekea sumu Babu yangu Ili afe urudi nchini kuzikura ekiane?
 
Kuna comments ukiziona tu kwny mitandao ya kijamii utaona ni watu wa misimaaaaaamo kumbe hamna kitu

Watu wanajifanya kushinikiza Chadema usikae mezani na Watawala kumaliza issue ya Mbowe lakin pia watu hao hao hawana nia, uwezo wala dhamira ya kuishinikiza Serikali kumuachia kwa njia zingine za mashinikizo

Walijaribu kuzitumia Jumuiya za Kimataifa wakadhan ni kazi nyepesi nyepesi lakin sasa wanashangaa Mahusiano ya Serikali na Mataifa hayo makubwa yanazidi kuboreka huku Freeman akiwa Gerezani na wao msaada wao ni kuweka tu hashtag ya Mbowe si Gaidi

Jifunzeni kwa Mandela na ANC, Seif Sharif na watawala wa Znz, Raila Odinga na KANU na baadae utawala wa Uhuru kama zama zote hizo hamtaki basi jifunzeni busara za Kambarage na uamuzi wa kura 3 1958 kule Tabora japo walikuwepo waliokuwa na misimamo mikali sana kama ya Makamanda wa Tweeter na Instagram wa leo


Mijazba jazba na mihemko ndio imesababisha hadi leo hatuna Katiba Mpya yenye limit za nguvu za Rais na kutohoji ushindi wa Rais mahakaman pamoja na kukosekana Tume huru ya Katiba
 
IMG_20211216_200410.jpg
 
Mkuu,fanya ufupisho, kosa la kabendera unalomlaumu ni lipi ? sie
ewi, kusema vilikaa vikao kumuombea msamaha ni vibaya ?
Kwa mujibu wa andiko lake , kosa la kabendera ni kuomba msamaha, ilhali hajafanya kosa au jinai
Binafsi nimemuelewa sana mtoa mada , mwanaharakati hataikiwi at any time ku compromise msimamo wake in return to anything., Tangible or intangible.

Richard nixon aliwahi kuwa padorned na rais Gerrard ford , kwa kosa ambalo hata hakuwahi kufanya .it is said to be the controversial pardon of all the times .
 
Kwa mujibu wa andiko lake , kosa la kabendera ni kuomba msamaha, ilhali hajafanya kosa au jinai
Binafsi nimemuelewa sana mtoa mada , mwanaharakati hataikiwi at any time ku compromise msimamo wake in return to anything., Tangible or intangible.

Richard nixon aliwahi kuwa padorned na rais Gerrard ford , kwa kosa ambalo hata hakuwahi kufanya .it is said to be the controversial pardon of all the times .
Baada ya kuomba radhi Kabendera kapungua nini au ni kipi kimepungua kutoka kwake
 
Kuomba radhi bila kujua kosa lako ni jambo baya sana, hasa mtu anapotoa kauli ya jumla kuwa fulani yuko ndani kwa sababu hana heshima, ni heshima gani hiyo aliyoikosa inayomgharimu kukaa jela zaidi ya miezi minne? ni vyema aijue ili kama akitolewa asijekurudia kosa bila kujua.

Habari ya Kabendera kuachiwa baada ya vikao hamsini na akaridhika hata bila kujua kosa lake hilo ni uamuzi wake, unaheshimiwa; anasema anapaogopa jela, lakini kama akitokea mwenzake akaamua kukaa jela hata kama akipewa nafasi ya kuomba msamaha mpaka atakapojua kosa lake nae pia anastahili kusikilizwa.

Kwenye maisha kila mmoja wetu hupitia njia zake kufikia malengo aliyojiwekea maishani, tusilazimishane njia aliyopitia fulani na wengine wote waifuate, huo sio ustaarabu, kila mmoja wetu abakie na uhuru wake wa kuchagua muhimu asivunje sheria.
 
Sijaona alichokosea Kabendera, sema kwakuwa ni ruksa kutoa maoni yako tumeyasikia. Kiukweli nawashangaa ambao mnataka Mwenyekiti anendelee kukaa gerezani wakati watu wameshaomba wakuu waangalie namna ya kulimaliza hili, kipi hasa mnachokitaka?

Familia yake itakuwa inamuhitaji sana waweze kufurahia Christmas na mwaka mpya.
 
Unamwonea Pasco bure hakuna popote alipomchongea... Pasco alichofanya ni kutafsiri zile makala kutoka kingereza kuja kiswahili ambapo kila mmatumbi alielewa.

Sidhani kama hakuna watanzania waliokuwa wakijua Kabendera anaandikia gazeti lile...
 
Siku ya leo imekuwa siku ya majuto makali sana ya moyo wangu, naweza nisieleweke lakini naomba niende moja kwa moja kwanza nimeumia kuona kabendera anaamini yakuwa Mbowe ni miongoni mwa watu wanao takiwa kukaa mezani na utawala kuomba radhi.

Pili na kubwa nimeumia kabendera leo ametoa Siri yakuwa Ili atoke ndani Kuna watu walifanya VIKao zaidi ya hamsini(50), Ili aweze kutoka magereza sijui mahabusu.

Binafis nilikuwa miongoni mwa vijana tuliopaza sauti ya kumtaka Mwendazake amwachie Kabendera. Mimi nilifika wakati nikawa naandika maandiko kwa lugha ya mamayangu niliamini mwendazake angeweza kusoma na kunielewa amwachie kijana wetu jaman.

Niliumia sana kukamatwa kwa kabendera na niliamini anasingiziwa Kila kosa maana jinsi alivyokamatwa kabendera ni kama mtego wa panya unavyonasaga panya mazingira ya ukamatwaji yalinipa confidence kuwa anasingiziwa.

Nilienda mbali nikaanza kuchunguza ni nani aliyemchongea Huyu kijana katika pita pita yangu nilibaini Moja ya Maandiko ya Mzee aliyeungana na mwendazake kwa lengo la kutafuta uteuzi ila aliukosa kwa sababu za mwendazake baada ya kumchunguza, ndugu Pascally Mayalla nilibaini kuwa moja ya maandiko yake yalimchonganisha kabendera na mwendazake.

Nilikuja na andiko ilo liliromshutumu Huyu Mzee Pascally Mayalla nikili ukubwa jalala Huyu Mzee hakujibu wara ilo andiko hajawai sema lolote.

Leo baada ya kumsikia kabendera akiandika kupitia tweeter yakuwa vilikaa vikao zaidi ya 50 watu walikaa na ile MBOGO kumwombea Msamaha kabendera nimeamini Huyu mtu alifanya makosa MAKUBWA sana na kama inawezekana akamatwe Tena tuanze upya Huyu mtu alihujumu TAIFA akamatwe.

Sambamba na kuomba akamatwe naomba niwajuze wasomaji yakuwa kwa kuwa nipo njiani naenda kula krismasi umamani nikifika chato ntashuka na kwenda kwa kaburi la mwendazake kuomba radhi.

Ila kwa leo kwa kuwa Mzee Pascally Mayalla Mwandishi mkongwe Huyu Sina budi kumwomba Radhi, ndugu, kaka yangu Pascally Mayalla nakuomba radhi, niseme wazi kama usingekuwa ulichukua kadi ya chama Cha mapinduzi na kushiriki kugombea uchaguzi mchafu ningenunua Dume la ng'ombe na kuja kwako kuomba radhi ndivyo tufanyavyo sisi wamalawi punde ukibaini ulimkosea mwanaume.

Naomba radhi ila naomba kabendera akamatwe Tena aruidishwe rumande achunguzwe.

Naitwa Sifi leo.
Nitasoma tena baadae huenda nikaelewa zaidi.
 
Baada ya kuomba radhi Kabendera kapungua nini au ni kipi kimepungua kutoka kwake
Mkuu ungefatilia hiyo story ya richard nixon na msamaha wa gerard ford....

Kuomba msamaha kwa kosa ambalo hukulifanya ni dalili za unafiki na uchumia tumbo na mbaya zaidi ni kuonekana huna msimamo. Mandela alikaa jela 27 years ,walter sesulu 25 years , hawakuwahi kuomba msamaha , japo kina winnie na wenzake
walikuwa wakiwasihi wakubali makosa ili wawe huru , had the two had compromised ,pengine kusingekuwa na south Africa tuijuayo hii leo

The term "mwanaharakati " comes with it hefty commitment, if one is not up to par with it ,ni bora kufanya kitu kingine .
 
Back
Top Bottom