Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Wewe unamshangaa Kabendera tu? Vipi kuhusu LHRC ambao wameteswa kwa miaka mi5 na Jiwe akisaidiwa na Polepole, accounts zao zikafungwa, baadhi ya wafanyakazi wao wakatekwa na kubambikiwa kesi! Wapinzani (especially CDM) wakapiga kelele sana kuwatetea!! Leo hii hao hao LHRC wamebadilika, wanawakumbatia walewale waliowatesa, wamesahau kila kitu kwa muda wa miezi 9 tu!! LHRC hawakuwa watu wa kumkaribisha Polepole hadi chumbani na kumpa platform ya kuongea aliyoongea (Ikiwemo kudai uhuru wa kuongea!!!)! Sometimes TZ bora kufanya yanayokuhusu, Brains za watu wengi zimeshikiliwa na tumbo