Tulionya tukapuuzwa, tukashauri wapinzani, basi wao wachukue nafasi ya upepo wa JPM, wakatuita kila aina ya majina!

Tulionya tukapuuzwa, tukashauri wapinzani, basi wao wachukue nafasi ya upepo wa JPM, wakatuita kila aina ya majina!

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Kinachokwenda kutokea CCM, ni kuwajengea imani wote waliokuwa na hasira juu ya kutukanwa na kubagazwa kwa aliyekuwa kipenzi cha Watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli

Mabadiriko yanayofanywa na CCM, ni mpango madhubuti ya kuinasa tena kanda ya ziwa kisiasa na kuendelea kuwa mtaji wao!

Wakati wana ccm wakitukana sana jina la JPM, tukawashauri wapinzani kwamba, wao ndio wachukue jenda ya jina hilo ili kuwabomoa moja kwa moja Wapinzani wao kisiasa CCM, wakatukejeri kwa maneno yasiyo na maana

Kwa sasa, mambo yanaelekea kugeuka, na wao ndio wameanza kulalamika

Sasa komaeni tena kuwa wapinzani wa milele
 
Kinachokwenda kutokea CCM, ni kuwarudisha kuwajengea imani wote waliokuwa na hasira juu ya kutukanwa na kubagazwa kwa aliyekuwa kipenzi cha Watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli

Nabadiriko yanayofanywa na CCM, ni mpango madhubuti ya kuinasa tena kanda ya ziwa kisiasa

Wakati wana ccm wakitukana sana jina la JPM, tukawashauri wapinzani kwamba, wao ndio wachukue jenda ya jina hilo ili kuwabomoa moja kwa moja Wapinzani wao kisiasa CCM, wakatukejeri kwa maneno yasiyo na maana

Kwa sasa, mambo yanaelekea kugeuka, na wao ndio wameanza kulalamika

Sasa komaeni tena kuwa wapinzani wa milele
CCM walimtukanaje Magufuli?

Unaweza kutuwekea facts hapa ili na sisi tunaotumia akili, badala ya maneno ya kwenye kanga na kahawa tuweze kujiridhisha!
 
Kinachokwenda kutokea CCM, ni kuwajengea imani wote waliokuwa na hasira juu ya kutukanwa na kubagazwa kwa aliyekuwa kipenzi cha Watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli

Mabadiriko yanayofanywa na CCM, ni mpango madhubuti ya kuinasa tena kanda ya ziwa kisiasa na kuendelea kuwa mtaji wao!

Wakati wana ccm wakitukana sana jina la JPM, tukawashauri wapinzani kwamba, wao ndio wachukue jenda ya jina hilo ili kuwabomoa moja kwa moja Wapinzani wao kisiasa CCM, wakatukejeri kwa maneno yasiyo na maana

Kwa sasa, mambo yanaelekea kugeuka, na wao ndio wameanza kulalamika

Sasa komaeni tena kuwa wapinzani wa milele
Kanda ya ziwa ni watu wenye akili inayyojitegemea, hawaelekezwi nani wa kumkubali au kuchagua, mitazamo yao haiwi compromised
 
CCM walimtukanaje Magufuli?

Unaweza kutuwekea facts hapa ili na sisi tunaotumia akili, badala ya maneno ya kwenye kanga na kahawa tuweze kujiridhisha!
Usiwe mbishi wewe,adui wa kwanza kabisa wa ccm alikuwa ni magufuli.na viongozi wengi wa ccm wale wanafiki walikuwa wakimbeza na kumbagaza.
 
Kinachokwenda kutokea CCM, ni kuwajengea imani wote waliokuwa na hasira juu ya kutukanwa na kubagazwa kwa aliyekuwa kipenzi cha Watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli

Mabadiriko yanayofanywa na CCM, ni mpango madhubuti ya kuinasa tena kanda ya ziwa kisiasa na kuendelea kuwa mtaji wao!

Wakati wana ccm wakitukana sana jina la JPM, tukawashauri wapinzani kwamba, wao ndio wachukue jenda ya jina hilo ili kuwabomoa moja kwa moja Wapinzani wao kisiasa CCM, wakatukejeri kwa maneno yasiyo na maana

Kwa sasa, mambo yanaelekea kugeuka, na wao ndio wameanza kulalamika

Sasa komaeni tena kuwa wapinzani wa milele
Wapuuzi sana. Walishupaza shingo wakajua mambo yatabaki vile vile. Sasa wamebaki kujifariki kwenye picha za mbele ya nyumba ya mwamba. Hawajui hataa waanze vipi. Na CCM ishamaliza kazi Ndio maana hata haina mpango na maridhiano yao maana imeshawamaliza na hawawezi Tena kukaa kwenye line iyo ni mpk 2026 tuanze upyaa 😂😂
 
K
Wapuuzi sana. Walishupaza shingo wakajua mambo yatabaki vile vile. Sasa wamebaki kujifariki kwenye picha za mbele ya nyumba ya mwamba. Hawajui hataa waanze vipi. Na CCM ishamaliza kazi Ndio maana hata haina mpango na maridhiano yao maana imeshawamaliza na hawawezi Tena kukaa kwenye line iyo ni mpk 2026 tuanze upyaa 😂😂
KUjifariki?? 🤣🤣🤣
 
Wapuuzi sana. Walishupaza shingo wakajua mambo yatabaki vile vile. Sasa wamebaki kujifariki kwenye picha za mbele ya nyumba ya mwamba. Hawajui hataa waanze vipi. Na CCM ishamaliza kazi Ndio maana hata haina mpango na maridhiano yao maana imeshawamaliza na hawawezi Tena kukaa kwenye line iyo ni mpk 2026 tuanze upyaa 😂😂
Hawa jamaa watajutia hii nafasi
 
Kinachokwenda kutokea CCM, ni kuwajengea imani wote waliokuwa na hasira juu ya kutukanwa na kubagazwa kwa aliyekuwa kipenzi cha Watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli

Mabadiriko yanayofanywa na CCM, ni mpango madhubuti ya kuinasa tena kanda ya ziwa kisiasa na kuendelea kuwa mtaji wao!

Wakati wana ccm wakitukana sana jina la JPM, tukawashauri wapinzani kwamba, wao ndio wachukue jenda ya jina hilo ili kuwabomoa moja kwa moja Wapinzani wao kisiasa CCM, wakatukejeri kwa maneno yasiyo na maana

Kwa sasa, mambo yanaelekea kugeuka, na wao ndio wameanza kulalamika

Sasa komaeni tena kuwa wapinzani wa milele
Unapoiongelea kanda ya ziwa uondowe mkoa wa Mara halafu tumia neno wasukuma ndio wajinga waliojaa ukabila.
 
Back
Top Bottom