Tulionya tukapuuzwa, tukashauri wapinzani, basi wao wachukue nafasi ya upepo wa JPM, wakatuita kila aina ya majina!

Tulionya tukapuuzwa, tukashauri wapinzani, basi wao wachukue nafasi ya upepo wa JPM, wakatuita kila aina ya majina!

Kinachokwenda kutokea CCM, ni kuwajengea imani wote waliokuwa na hasira juu ya kutukanwa na kubagazwa kwa aliyekuwa kipenzi cha Watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli

Mabadiriko yanayofanywa na CCM, ni mpango madhubuti ya kuinasa tena kanda ya ziwa kisiasa na kuendelea kuwa mtaji wao!

Wakati wana ccm wakitukana sana jina la JPM, tukawashauri wapinzani kwamba, wao ndio wachukue jenda ya jina hilo ili kuwabomoa moja kwa moja Wapinzani wao kisiasa CCM, wakatukejeri kwa maneno yasiyo na maana

Kwa sasa, mambo yanaelekea kugeuka, na wao ndio wameanza kulalamika

Sasa komaeni tena kuwa wapinzani wa milele
Nchi yetu inasuasua kwa sababu ya watu kama ninyi. Badala ya kutaka wanasiasa washindane kwa hoja na matendo chanya wewe unashabikia ujuha wa maigizo wanayofanya kina wanasiasa. Hujui tu lakini wananchi ndiyo wanaangamia. Ni ule ule ujinga wa kudhani CCM mbovu ikiiba kura na kubaki madarakani basi wanaokomolewa ni kina Mbowe na Lissu.
 
Wao wanaserikali ya kuchota pesa na kugawa kwa wananchi afanyavyo makonda. Na alivyofanya maguguli
 
CCM walimtukanaje Magufuli?

Unaweza kutuwekea facts hapa ili na sisi tunaotumia akili, badala ya maneno ya kwenye kanga na kahawa tuweze kujiridhisha!
Kile kitendo tu cha kuzuia kulitaja jina la Magufuli hata kwenye miradi mikubwa aliyokuwa kaianzisha yeye...

Mfano Ikulu ya Chamwino na siku ya ufunguzi wake!

Tayari watanzania tuliisoma na kuielewa hiyo mikakati Ovu!
 
Kinachokwenda kutokea CCM, ni kuwajengea imani wote waliokuwa na hasira juu ya kutukanwa na kubagazwa kwa aliyekuwa kipenzi cha Watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli

Mabadiriko yanayofanywa na CCM, ni mpango madhubuti ya kuinasa tena kanda ya ziwa kisiasa na kuendelea kuwa mtaji wao!

Wakati wana ccm wakitukana sana jina la JPM, tukawashauri wapinzani kwamba, wao ndio wachukue jenda ya jina hilo ili kuwabomoa moja kwa moja Wapinzani wao kisiasa CCM, wakatukejeri kwa maneno yasiyo na maana

Kwa sasa, mambo yanaelekea kugeuka, na wao ndio wameanza kulalamika

Sasa komaeni tena kuwa wapinzani wa milele
Aise hiyo imeenda! hiyo imeendaaaaaa 😀 😀 😀 😀Waliokuwa wanambeza JPM sasa hivi wanatumbua macho tu!!
 
Wapinzani sio wanafiki. Yani watembelee upepk wa mtu ambaye wakati yupo hai aliwanyanyasa?. Hadi kupora uchaguzi 2020. Hata CCM ndio ipo madarakani sio hasara kwa upinzani
Hapa si unafiki ila ni kucheza na mazingira na upepo mpya wa kisiasa walikosa fursa kwa kumbeba JPM angalau hata kwa muda ili kufika malengo yao kisiasa. wapinzani kwisha
 
Usiwe mbishi wewe,adui wa kwanza kabisa wa ccm alikuwa ni magufuli.na viongozi wengi wa ccm wale wanafiki walikuwa wakimbeza na kumbagaza.
Ndomaa nikasema mimi sio muumini wa vijiwe vya kahawa. Ni bora uniwekee hayo matusi ili niunge mkono hoja.

Kumbuka kauli alizokuwa anatoa Lisu juu ya kile alichodai kuna makubaliano yaliofanywa na viongozi wenzake na ccm kuhusu swala la kugawana mkate. Je kwa fikra zako unafikiri ile tofauti ya kimtazamo kati ya Lisu na viongozi wenzake wakiongozwa na Mbowe ilikuwa ni matusi kwao?
 

Attachments

  • Screenshot_20231114-200735.png
    Screenshot_20231114-200735.png
    44.9 KB · Views: 1
Ndomaa nikasema mimi sio muumini wa vijiwe vya kahawa. Ni bora uniwekee hayo matusi ili niunge mkono hoja.

Kumbuka kauli alizokuwa anatoa Lisu juu ya kile alichodai kuna makubaliano yaliofanywa na viongozi wenzake na ccm kuhusu swala la kugawana mkate. Je kwa fikra zako unafikiri ile tofauti ya kimtazamo kati ya Lisu na viongozi wenzake wakiongozwa na Mbowe ilikuwa ni matusi kwao?
Hawatakuelewa mkuu
 
Kile kitendo tu cha kuzuia kulitaja jina la Magufuli hata kwenye miradi mikubwa aliyokuwa kaianzisha yeye...

Mfano Ikulu ya Chamwino na siku ya ufunguzi wake!

Tayari watanzania tuliisoma na kuielewa hiyo mikakati Ovu!
Kwahiyo kutokutaja jina tu kwako wewe ni tusi, je ungekuwa mwenyekiti wa chama chetu alaf makamu wako akapingana na wewe kwa kauli kali kali kama hapo pichani si ndo ungejinyonga kabisa.
 

Attachments

  • Screenshot_20231114-200735.png
    Screenshot_20231114-200735.png
    44.9 KB · Views: 1
Kwahiyo kutokutaja jina tu kwako wewe ni tusi, je ungekuwa mwenyekiti wa chama chetu alaf makamu wako akapingana na wewe kwa kauli kali kali kama hapo pichani si ndo ungejinyonga kabisa.
Matusi ya watu wazima unadhani mpaka uambiwe ni mpumbavu?

Msimamo wako tu ukipopolewa ni tusi!
 
Hapa si unafiki ila ni kucheza na mazingira na upepo mpya wa kisiasa walikosa fursa kwa kumbeba JPM angalau hata kwa muda ili kufika malengo yao kisiasa. wapinzani kwisha

Bora tupoteze kura kuliko kuwa chawa wa Magufuli. Mnaongea kana kwamba Magufuli alikuwa Mtakatifu. Ndio maana nikasema CCM kaeni madarakani hata miaka mia, ila msilazimishe upinzani kufanya mambo ya kijinga.
 
Unapoiongelea kanda ya ziwa uondowe mkoa wa Mara halafu tumia neno wasukuma ndio wajinga waliojaa ukabila.
Inaelekea hujui maana ya neno ukabila. Kati ya makabila yenye ukabila unaweka wasukuma kweli?
Tumesoma nao mashuleni, tumefanya kazi kwao, tumefanya biashara kwao, tumeishi kwao, tunawajua vizuri: ni afadhali hata ungetuweka wamakonde kuliko kuwaweka wasukuma!
 
Kinachokwenda kutokea CCM, ni kuwajengea imani wote waliokuwa na hasira juu ya kutukanwa na kubagazwa kwa aliyekuwa kipenzi cha Watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli

Mabadiriko yanayofanywa na CCM, ni mpango madhubuti ya kuinasa tena kanda ya ziwa kisiasa na kuendelea kuwa mtaji wao!

Wakati wana ccm wakitukana sana jina la JPM, tukawashauri wapinzani kwamba, wao ndio wachukue jenda ya jina hilo ili kuwabomoa moja kwa moja Wapinzani wao kisiasa CCM, wakatukejeri kwa maneno yasiyo na maana

Kwa sasa, mambo yanaelekea kugeuka, na wao ndio wameanza kulalamika

Sasa komaeni tena kuwa wapinzani wa milele
Ni mwenda wazim tu anaweza kubali kwamba ili mambo yaende hasa kanda ya ziwa basi lazima kufuata upepo wa mwendazake,

Kama alikua na upepo mkubwa na kukubalika kwa watu kama ambavyo mmekua mkitaka kutuaminisha ,kwa nini alipora uchaguzi 2020?

Yani upendwe, uwe na wafuasi wa kutosha , alafu ukwapue uchaguzi,

Kufuata nyayo za mwendazake nikujipoteza kisiasa,
 
Kinachokwenda kutokea CCM, ni kuwajengea imani wote waliokuwa na hasira juu ya kutukanwa na kubagazwa kwa aliyekuwa kipenzi cha Watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli

Mabadiriko yanayofanywa na CCM, ni mpango madhubuti ya kuinasa tena kanda ya ziwa kisiasa na kuendelea kuwa mtaji wao!

Wakati wana ccm wakitukana sana jina la JPM, tukawashauri wapinzani kwamba, wao ndio wachukue jenda ya jina hilo ili kuwabomoa moja kwa moja Wapinzani wao kisiasa CCM, wakatukejeri kwa maneno yasiyo na maana

Kwa sasa, mambo yanaelekea kugeuka, na wao ndio wameanza kulalamika

Sasa komaeni tena kuwa wapinzani wa milele
The Big Brain.
 
Back
Top Bottom