Tuliooa kwa mahari ndogo tuje tuseme lolote juu ya jambo letu hili

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umeoa manka wa kichaga
 
😀
Sawa nasubiri ile mahari shekhe😊
 
Speak for yourself.
Ndio niulize swali.
Hilo halipo, sababu wenye mitazamo sawa hawaepukiki, ndiyo maana sote tunatakiwa tupambike na tabia njema. Uwakilishi haukwepeki bibie.

Unaichukuliaje siku ya Wanawake duniani na kwanini iwepo na inatija gani ?
 
Walitaka laki tisa plus mazagazaga kama kofia ,koti, mtoto wa kike akataka dressing table

Nikawaambia sawa nilipogeuza hawakuniona tena na mtoto wao nilimchana hiyo hela sina labda elfu 50 ila baadaye nikaamua nimpige chini huyu atanisumbua mpka leo ananilaani eti nimemleta uchuro eti nimekuja kutoa posa bila kuoa

Nakubaliana na kulipa mahari ila sio kwa kukomoana maana hata sisi tuna thamani kwa wazazi wetu
 
Hilo halipo, sababu wenye mitazamo sawa hawaepukiki, ndiyo maana sote tunatakiwa tupambike na tabia njema. Uwakilishi haukwepeki bibie.

Unaichukuliaje siku ya Wanawake duniani na kwanini iwepo na inatija gani ?
Naichukulia kama tunavo- celebrate bithdays, Christmas, Easter.. As for "women's day",ni siku ya kucelebrate mafanikio au hatua alizopiga mwanamke.

Kusherekea kitu ni vibaya?
 
Kwa hili jambo naungana na waislamu mambo yanatakiwa yafanyike smoothly kama hivyo

Kuna siku mshkaji wangu alikuwa anaoa nakumbuka tulikaa stationery masaa mawili tunaandika mahitaji ya wakwe
 
Wapi Nimesema tuna tatizo mkuu?Tuko raha mustarehe Mimi na mke na wakwe zangu, acha kutuchulia
Hujaelewa nilichokiandika.

Pili, unaweza usione tatizo, lakini tatizo likawepo na unaweza usiseme lakini tatizo likawepo. Nimezungumzia yale uyatendayo kisa umetoa mahari ndogo au umepewa bure mke.
 
Unajua kuna tofauti ya kuoza na kuoana? Au hata kiswahili nacho ni kazi kwako?
Nifundishe Kiswahili kaka. Ila weka akilini hili ya kuwa kuna tamko moja lenye maana zaidi ya moja kulingana na mjengeko wa sentensi au maana. Mfano wa maneno hayo ni hilo "kuoza", kama yalivyo maneno "Kaa", "Paa", "Fua" na kadhalika.

Hakuna "kuoana" katika Kiswahili, rejea kwa Waswahili upate hukumu.
 
Naichukulia kama tunavo- celebrate bithdays, Christmas, Easter.. As for "women's day",ni siku ya kucelebrate mafanikio au hatua alizopiga mwanamke.

Kusherekea kitu ni vibaya?
Kusheherekea jmsiyo jambo ubaya ni nini unasherehekea na je ulazima wa kufanya hilo upo na je kuna natija ya kufanya hivyo ?

Ni ipi maana ya kusherehekea siku ya Wanawake duniani ? Sijaona haja hiyo na sababu ninazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…