Tuliooa kwa mahari ndogo tuje tuseme lolote juu ya jambo letu hili

Ungemwambia mzee aache upuuzi... hakuna mwanamke wa bure... mwanamke lazima alipiwe mahari hata kama ni simbilisi 1
 
Kweli wazazi wameweka kitega uchumi kwa mabinti zao acha wazekee majumbani huku tukiendelea kuwapa mimba wazalie nyumbani
 

Sasa mwamba ikiwa wewe umeamua kusherehekea hizo siku, na mwingine asipoziadhimisha kuna ubaya?

Siku ya uhuru ipo na inatambulika kama siku kuu, lakini haulazimishwi kuisherehekea, lakini pia kuwashangaa wanaosherehekea ni tatizo zaidi.

Kuna siku kuu kadhaa za kuadhimisha mambo/ matukio mbali mbali duniani, sio lazima kuzitambua au kuziadhimisha lakini kuheshimu na kuwaheshimu wanaozisherehekea ni uungwana. Ukizingatia haikuathiri au kukupunguzia kitu.

Unaposema siku ya wanawake ni moja na hizo zingine zote ni za wanaume, hiyo hoja unaona ina mantiki kweli?

Lakini kimsingi sijafikiria au kuwaza haya mambo ni magumu kiasi unataka kuyaweka hapa.
 
kuna mikoa hapo kaskazini wanaanzia M eti
Kama mwanamke atataja M sababu anahisi zawadi kubwa kama hiyo nawe unaona anastahiki sawa hakuna tabu..

Shida kubwa kwenye mahari ni wazazi ndio wekuwa watajaji wakubwa, oohh, sijui nimemsomesha, sijui hiki na kile mara hivi, anakurupuka tu kutaja milioni 4.
 
Huwa nafikiria kuoa bila kutoa mahari.

Namchukua, tunaishi kisela, baadae anazalishwa ndo inapita hvyo
 
Kazi kweli kweli mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…