Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Naona mada imetoka kwenye mahari Hadi..kusherekea women's day..
Sijaona hao wanazuoni wakitoa dalili za kutosherekea Sherehe...zaidi ya kusema zimeanzishwa na wasio waasilamu
Na watakao iga Mila za wasio waisilamu ...hawapo nasi..
Kweli kuna mambo yakuiga SI mazuri...lakini sherehe kama birthday...zinakatazwa kusheherekea,.. women's day ....zinakatazwa.. kusherekea....mwaka Mpya Hali kadhalika..
Mimi...naishi kwa kufuata maamrisho na makatazo ya Allah...na kufuata sunna za Mtume...
Mengine natumia Common Sense
Sijaona hao wanazuoni wakitoa dalili za kutosherekea Sherehe...zaidi ya kusema zimeanzishwa na wasio waasilamu
Na watakao iga Mila za wasio waisilamu ...hawapo nasi..
Kweli kuna mambo yakuiga SI mazuri...lakini sherehe kama birthday...zinakatazwa kusheherekea,.. women's day ....zinakatazwa.. kusherekea....mwaka Mpya Hali kadhalika..
Mimi...naishi kwa kufuata maamrisho na makatazo ya Allah...na kufuata sunna za Mtume...
Mengine natumia Common Sense