majjita 01
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 232
- 82
Wajumbe habarini za weekend, kwa yeyote mwenye fununu za wale tuliomba nafasi za kujiunga University kwa sifa ya Diploma kupitia NACTE.
Je ni lini wanatujibu coz wenzetu wa form six wameshajibiwa kupitia TCU na wakati NACTE wao walifungua pazia mapema.
Natanguliza shukrani.
Je ni lini wanatujibu coz wenzetu wa form six wameshajibiwa kupitia TCU na wakati NACTE wao walifungua pazia mapema.
Natanguliza shukrani.