Tuliopanga chumba na sebule na tuna familia na house girl, tukutane hapa.

Kweli jf ni chimbo la matajiri na wasomi haswa!
Yaani wanashangaa mtu kupanga chumba na sebule huku akiwa na mtoto na hg du!
Wakati kwetu buza mtu ana watoto 4 wakubwa wa jinsia tofauti na wanaishi kwenye chumba kimoja tu
Kwani kupangisha vyumba viwili,vitatu ni mpaka uwe msomi au tajiri? Tuache kusifia hali ngumu as if ni sifa kuishi kwa dhiki.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ndiwooo kumbe upo nyuma ya keybord tu unatype chochote kinachokujia huku unasimamia bomba la mwendo kasi kama shunie
Njoo nitakupa chumba kimoja peke yako ujinafasi mtoto mzuri...na verossa uache kushika bomba!
 
Ndio mana juna lijamaa lilileta uzi wa kuoa mwanamke goli kipa ila ukiwa njema umfungulie biashara ambayo itaweza kumfanya yy kutimiza majukumu yake ya nyumbani na biashara zake pia
 
Mhhh karibu kijijin huku kigoma nyumba nzima unalipa 10000 room3 sebule choo na maji ila umeme hapo utajiju
 
Walinzi au? Sasa km mshahara hautoshi si warudi kijijini wakalime!!

Sio lazima wote tuishi mjini
Miaka ya nyuma kuna somo lilianzishwa shule za msingi "somo la kujitambua" ambalo lilimengwa kutoka somo la stadi za kazi/stadi za maisha, somo hili lilielezea mgawanyo wa shughuli za binadamu kiuchumu na kijamii.
Kama ulisoma somo hili sidhani kama ungeweza kuandika maneno ya kipuuzi namna hii, hebu tafakari kidogo tu hapo Ulipo ni kwa nini kuna mtu anaingiza pesa nyingi kuliko wengine, hivi wote tungekuwa na uwezo wa kutimiliza mahitaji yetu kuna mtu angemtumikia mwenzake kweli! Kwa lipi hasa?...hata wewe "tajiri wa JF" huwezi ishi bila msaada wa mtu asiyejiweza kutimiza mahitaji yake(masikini) hivyo ili wewe uendelee kuwepo na kuudumisha utajiri wako ni lazima mtu huyu masikini awepo kwenye mazunguuko wako wa kimaisha.

Kuna umri ukifikia lazima uonyeshe ukomavu wa akili yako si kujitoa ufahamu kwa kiwango hicho ulichonacho mkuu.
 
Good point
 
Kama house girl yuko sebuleni anaangalia tv, nenda sebuleni ongeza sauti ya tv kisha zama chimbani fanya yako.
 
Hahaaaa!!!! Mkuu kwani mkeo muda mwingi huwa anakuwa nyumbani au ni mfanyakazi
 
Fokorokwinyo
 
Tafuta hela upange nyumba kubwa au ujenge yako kubwa ukae kwa amani bila bugudha.

Leo mkiamuakuhama mfafanyie chumba kingine mnahama tu.

You only live once.
 
Na wewe ulikuwa umepanga???
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…