Always watu wapole huwa na kiburi cha chini chini, pia unaweza uka mkosea asikwambie aka vumilia tuu na anaweza aka kwambia pia akavumilia tu! ila siku moyo wake ukisema basi ujue basi ila muongeaj una mkosea ana kuchamba ya kiisha yame isha! mtu mpole huifadhi vitu moyoniMpole je?
Si wengne kwenye ukoo wetu yesu alipitagaNgoja nitege ' mimacho ' yangu hapa niwaangalie na kuwafahamu Wanaume ' Mabwege Nazi ' ambao walipigwa ' Vibao ' na Mademu zao. Hivi kwa jinsi mfano nilivyo huyo Mwanamke ataanzia wapi kuinua mkono wake na kunipiga Kibao / Kofi? Kwanza ninavyojua Wanawake nao huwa wanaangalia na Sura za Wanaume wa kuwafanyia hivyo na wakikukuta au wakigundua Wewe ni ' Nyoro Nyoro / Legevu Legevu ' lazima watakutesa mno na utajuta hata Kuanzisha nae Mahusiano.
Duh..! Bas hapa ilikua mpole miksa mkaliAlways watu wapole huwa na kiburi cha chini chini, pia unaweza uka mkosea asikwambie aka vumilia tuu na anaweza aka kwambia pia akavumilia tu! ila siku moyo wake ukisema basi ujue basi ila muongeaj una mkosea ana kuchamba ya kiisha yame isha! mtu mpole huifadhi vitu moyoni
Yaani kofi kabisa 'zabu' hadi ukapepesuka mwanaume mzima na kukita kwene karo la ukoko! Aibu yako.Dah..!! Nakumbuka demu Pendo Alinimamata makofi mpaka nkaangukia kwenye beseni la mavyombo machafu
Afu leo amekuja eti "baby nimekumiss"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kunimiss kunilapua makofiYaani kofi kabisa 'zabu' hadi ukapepesuka mwanaume mzima na kukita kwene karo la ukoko! Aibu yako.
Makofi, matusi na masimango ni njia ama dawa ya kuboresha penzi.
Amekumiss kweli wala hakutanii.
Kwani wewe haujammiss? Wacha wee!
Jikaze urudishe mahusiano uone utakavyoona raha, hadi chozi kabisa la maji litakutoka kwa raha zako maana mmekamiana kama ma nzagambamamba na hautakuja tokeza tena jf kuanzisha uzi ama kurudia kuchezea shilingi chooni. Yaani utadhibitika na hautakuja kuachia ngazi tena maisha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwamba ni bongo daslama hao...hawanaga nguvu zaidi ya za kugombania daladala tyuuuBila shaka we ni mwanaume wa hili jiji letu la joto.
Mwanamke anakupigaje sasa? Ulimrudishia au ulibaki unajishika shavu?
Na yawezekana kulifanyika appointment stand ya basi na kuchukuana hapo kisa ana wowowo. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tatzo dem alikua wa mkoan
Nguvu zao zimeishia hapo. Kwanza ningekua ndo mimi huyo mwanaume kesho namuaxha siwezi kukupiga kibao ukakaa kimya ni ujuha huo. Huyo mwanamke nae atakua mkurya. Unapigaje mwanaume kibao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwamba ni bongo daslama hao...hawanaga nguvu zaidi ya za kugombania daladala tyuuu
Dah..!! Nakumbuka demu Pendo Alinimamata makofi mpaka nkaangukia kwenye beseni la mavyombo machafu
Afu leo amekuja eti "baby nimekumiss"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zabuliwa mkuu, si mapenzi bwana? Akampige nani sasa! Akapige wazazi wake?Kunimiss kunilapua makofi
Bora kila mt afe kivyake
Alianza kunifanyia visa kama hvBila shaka we ni mwanaume wa hili jiji letu la joto.
Mwanamke anakupigaje sasa? Ulimrudishia au ulibaki unajishika shavu?
We kaka hauko sawa na huyo mwanamke atakua ana pepo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alianza kunifanyia visa kama hv
Kuni siku nimelala fofofo akaja akanizaba kofi nkainuka kwa kukurupaka nashangaa ananibembeleza"Oonh my umeota ndoto mbaya nin ndoto gan hyo"
Sikuelewa kofi la ndoton au la ukwel ukwel