Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliachana kwa miaka mingapDah..!! Nakumbuka demu Pendo Alinimamata makofi mpaka nkaangukia kwenye beseni la mavyombo machafu
Afu leo amekuja eti "baby nimekumiss"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo unatuambia ana tabia za da mwajuma(shilole)[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Nkikumbuka yale makof nataman nmkimbie
Hapana mkuu sijawahi hata kukaripiwa na msichanaWew ujawai pijwa
May be! but huwa sikurupuki ninapo tafuta mpenzi maana sipend muongeaji sana pia namsoma alivyo km nime kosea na plz haraka sana kabla mashetan ya kwao hajaya panda na mara huwa na winUna sura ya arnold nin mkuu
Naisi nlikurupuka maana wangu alikua anaongea mfan hakunaMay be! but huwa sikurupuki ninapo tafuta mpenzi maana sipend muongeaji sana pia namsoma alivyo km nime kosea na plz haraka sana kabla mashetan ya kwao hajaya panda na mara huwa na win
Ha ha ha ha aaahhh polee! Ila lazima ujue mtu wako ana taka nini na mtu wa aina gani, na ujue jinsi ya kumtreat unapo fanya makosa! pia mara zote watu wanao wanao ongea sana hupenda kusikilizwa wao hvyo lazima ujue hilo.Naisi nlikurupuka maana wangu alikua anaongea mfan hakuna
Mpaka naogopa kutembea nae
Dah..!! Nakumbuka demu Pendo Alinimamata makofi mpaka nkaangukia kwenye beseni la mavyombo machafu
Afu leo amekuja eti "baby nimekumiss"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]