Tuliopitia haya maisha tunakumbuka nini na wapi?

Tuliopitia haya maisha tunakumbuka nini na wapi?

Hahahaha unatetemeka au

Ila chemli iliheshimiwa sana..... Maisha ni safari ndefu

Ntanunua chemli kama ukumbusho wa nilikotoka

Hahahaha unatetemeka au

Ila chemli iliheshimiwa sana..... Maisha ni safari ndefu

Ntanunua chemli kama ukumbusho wa nilikotoka
Unadhani Hata Kutetemeka Basi, Nadhani Huwaga Nikujiamini Kupita Kiasi,,Alafu Navielewaga Sana Vyombo Vya Muundo Huo, Ajabu Sasa Havinitaki Kabisa
 
Unadhani Hata Kutetemeka Basi, Nadhani Huwaga Nikujiamini Kupita Kiasi,,Alafu Navielewaga Sana Vyombo Vya Muundo,,Huo Ajabu Sasa Havinitaki Kabisa
Hahahaha basi waifu ana mind ukivunja afu ukute ndo kanunua yeye au zawadi ya harusi 😂😂
 
Hahahaha basi waifu ana mind ukivunja afu ukute ndo kanunua yeye au zawadi ya harusi 😂😂
Na Mara Nyingine Mimi Ndio Hununuaga Sana Yaani Nikiwa Kwenye Mihangaiko Na Fedha Ipo Akatize Mtu Au Nikatize Mahala Ambapo Wanauza Nikaona Iwe Chochote Chombo Chenye Muundo Huo Nikavutiwa Nacho Sijiulizi Mara Mbili,, Lazima Ninunue Waifu Huwaga Anasema Kwa Kuwa Mara Nyingi Unanunua Mwenyewe Wewe Zivunje Tuu.
 
Na Mara Nyingine Mimi Ndio Hununuaga Sana Yaani Nikiwa Kwenye Mihangaiko Na Fedha Ipo Akatize Mtu Au Nikatize Mahala Ambapo Wanauza Nikaona Iwe Chochote Chombo Chenye Muundo Huo Nikavutiwa Nacho Sijiulizi Mara Mbili,, Lazima Ninunue Waifu Huwaga Anasema Kwa Kuwa Mara Nyingi Unanunua Mwenyewe Wewe Zivunje Tuu.
Ungekuwa hununui hiyo kelele aseeh 😂 😂
 
Ungekuwa hununui hiyo kelele aseeh 😂 😂
Mimi Kwenye Maisha Nashukuru Nimejaaliwa Ustaarabu Wa Kubeba Madhaifu Yangu Na Kujitahidi Kuyasahihisha Hata Kama Yanatokea Mara Mara Huwaga Naamini Si Mkamilifu Na Hii Inapelekea Napo Kutana Na Kiumbe Kama Mimi Huwaga Nasoma Madhaifu Ya Mtu Kuliko Chochote Kile Alafu Tunaishi,,Mungu Bingwa Kanijalia Hako Katalanta.
 
Mimi Kwenye Maisha Nashukuru Nimejaaliwa Ustaarabu Wa Kubeba Madhaifu Yangu Na Kujitahidi Kuyasahihisha Hata Kama Yanatokea Mara Mara Huwaga Naamini Si Mkamilifu Na Hii Inapelekea Napo Kutana Na Kiumbe Kama Mimi Huwaga Nasoma Madhaifu Ya Mtu Kuliko Chochote Kile Alafu Tunaishi,,Mungu Bingwa Kanijalia Hako Katalanta.
Uko vizuri na hongera kwa hilo brother
 
Tukuyu kwa bibi,mafuta ya taa yakiisha mnatumia kijinga Cha moto ....kupuliza ukimulikia sufuria kwenye mafiga matatu.Kuna maisha unapitia bas ukifikiria sana hapaswi nyumbu yeyote akuvuruge kichwa kabisa ...unaweza pita nae mazima.
Tukuyu sehemu gani? Tukuyu ila pazuri,lazima nije niache nyumba pale ya kwenda kufikia.
 
Muoshaj "yai"...la chemli au ile karabai lazma awe smart!...koz maamuzi yako yataamua watu wakae gizani au kwenye nuru.....golden days!
 
Hahaha, hili dude lilikuwa likiwaka linamulika hadi kesho, maana lina mwanga mkali kama taa za booster 😂
 
Back
Top Bottom