Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
ukipewa kazi ya kuliosha ujue familia haina mashaka na utendaji kazi wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uje tujenge wote mkuu,Tukuyu mjiniTukuyu sehemu gani? Tukuyu ila pazuri,lazima nije niache nyumba pale ya kwenda kufikia.
Sana mkuu,hivi viwanja pale mjini vinapatikana?hasa maeneo ya kutoka mjini kuelekea Makandana?Uje tujenge wote mkuu,Tukuyu mjini
Vipo ila vimewaka bei, kuanzia 3m kuendelea..japo mi niliondoka kitambo kule....ila sijaacha kwenda msalimu BibiSana mkuu,hivi viwanja pale mjini vinapatikana?hasa maeneo ya kutoka mjini kuelekea Makandana?
Kwa hiyo bei ni sahihi naona kama sio mbali na road,nilikua nikipita najiambia lazima nije nijenge nyumba moja huku... nikirudi lazima niende nikatafute.Ndagha kikoloVipo ila vimewaka bei, kuanzia 3m kuendelea..japo mi niliondoka kitambo kule....ila sijaacha kwenda msalimu Bibi
Enna Kalumbu...mi nikistaafu ndiyo nashuka kule....nami nipo kwenye process za kutafuta eneo kabisaKwa hiyo bei ni sahihi naona kama sio mbali na road,nilikua nikipita najiambia lazima nije nijenge nyumba moja huku... nikirudi lazima niende nikatafute.Ndagha kikolo
Sawa NkamuTukuyu kwa bibi,mafuta ya taa yakiisha mnatumia kijinga Cha moto ....kupuliza ukimulikia sufuria kwenye mafiga matatu.Kuna maisha unapitia bas ukifikiria sana hapaswi nyumbu yeyote akuvuruge kichwa kabisa ...unaweza pita nae mazima.
Ni kutafuta mapema , nikipata hata kiwira pia haitokuwa mbaya sana ila mjini ndio target kalumbu.Enna Kalumbu...mi nikistaafu ndiyo nashuka kule....nami nipo kwenye process za kutafuta eneo kabisa
Kiwira ni poa piaNi kutafuta mapema , nikipata hata kiwira pia haitokuwa mbaya sana ila mjini ndio target kalumbu.
🤣🥴Sawa Nkamu
Kutukuju kumyitu 😅😜
Kununu ghwangu ❤️Kutukuju kumyitu 😅😜
😅😅😅tukale MbalaghaKununu ghwangu ❤️
Tukalye amasimbi ni indilolo🤣🤣😋😅😅😅tukale Mbalagha
Alooooooh 😅😅😅😅😅au wewe ni ndugu yangu 😅😅Tukalye amasimbi ni indilolo🤣🤣😋
Kama mnyakyusa basi imeisha hiyo 🥴Alooooooh 😅😅😅😅😅au wewe ni ndugu yangu 😅😅
Kabisa, tutajuzana mengi PM 😅Kama mnyakyusa basi imeisha hiyo 🥴