Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Jan 29, 2025 Thread starter #61 Mr Slim said: Ni kutafuta mapema , nikipata hata kiwira pia haitokuwa mbaya sana ila mjini ndio target kalumbu. Click to expand... Kiwira iwe kwenye lile daraja la Mungu kwa ng'ambo kule tafuta eneo kubwa lenye utulivu up-hill
Mr Slim said: Ni kutafuta mapema , nikipata hata kiwira pia haitokuwa mbaya sana ila mjini ndio target kalumbu. Click to expand... Kiwira iwe kwenye lile daraja la Mungu kwa ng'ambo kule tafuta eneo kubwa lenye utulivu up-hill
Mr Slim JF-Expert Member Joined Sep 11, 2018 Posts 2,652 Reaction score 5,242 Jan 29, 2025 #62 Faana said: Kiwira iwe kwenye lile daraja la Mungu kwa ng'ambo kule tafuta eneo kubwa lenye utulivu up-hill Click to expand... Sawa sawa, ni pazuri pia...itakuwa hata bei zao ni nzuri.Asante sana
Faana said: Kiwira iwe kwenye lile daraja la Mungu kwa ng'ambo kule tafuta eneo kubwa lenye utulivu up-hill Click to expand... Sawa sawa, ni pazuri pia...itakuwa hata bei zao ni nzuri.Asante sana