Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Hii mikazi sidhani kama kuna mtu anapenda kuifanya ila kuna stage ilitubidi wengine tufanye ili tusukume siku.
Wapo ambao zimewatoa, na tupo ambao hazikututoa.
Niliacha hii mikazi kipindi hicho napambana life baada ya braza mmoja aliyekuwa ameshika kazi, akishachukua mpunga kwa bosi basi anasema tumfuate mpaka kilabuni huko ndiko anaenda kutupea hela. Ili wamama wa kilabuni wajue yeye ndio bosi.
Kiufupi ni kazi ambayo inachangamoto zake hasa zikikukuta sio mtu wa kujichanganya sana kwa watu.
Ukiona mtu miaka nenda rudi anafanya saidia fundi ameshindwa hata kujiongeza na yeye kuwa fundi basi jua ana matatizo ya kiakili.
Nawaoneaga huruma vijana wanaotoka chuo na kuanza kupiga hii kazi.
Wapo ambao zimewatoa, na tupo ambao hazikututoa.
Niliacha hii mikazi kipindi hicho napambana life baada ya braza mmoja aliyekuwa ameshika kazi, akishachukua mpunga kwa bosi basi anasema tumfuate mpaka kilabuni huko ndiko anaenda kutupea hela. Ili wamama wa kilabuni wajue yeye ndio bosi.
Kiufupi ni kazi ambayo inachangamoto zake hasa zikikukuta sio mtu wa kujichanganya sana kwa watu.
Ukiona mtu miaka nenda rudi anafanya saidia fundi ameshindwa hata kujiongeza na yeye kuwa fundi basi jua ana matatizo ya kiakili.
Nawaoneaga huruma vijana wanaotoka chuo na kuanza kupiga hii kazi.