DreezyD98
JF-Expert Member
- Nov 6, 2020
- 1,610
- 2,874
🤣🤣🤣 fuso la pumbashukrani sana mkuu bora yako 70k mimi nilipigwa 150k na nikatelekezwa site maana tulipiga kambi kambi pale
nikarudi home na fuso la pumba😀😀
Pole mkuu muhimu maisha yanasonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 fuso la pumbashukrani sana mkuu bora yako 70k mimi nilipigwa 150k na nikatelekezwa site maana tulipiga kambi kambi pale
nikarudi home na fuso la pumba😀😀
Hahahahaha dah Jf raha sanahii ya mchai mchai View attachment 1695845
,Weather - Пошук GoogleAiseee
Mchanganyiko wa
Cement + mchanga + kokoto +maji
Jamani hii kitu ndoo yake ni nzito wazee
Alafu baadae naenda pewa buku 3
Picha linaanza niliambiwa pima ndoo 120 za mchanga jamaa akawasha fegi hapo bado kuchanganya na kuanza kumsogezea,nakumbuka hii siku nilivyopanda kitandani hapo hapo nikasikia jogoo anawika kwamba kumeshakucha siku nyingine inaanza.
asante mkuu nilifika home na majonzi sana🤣🤣🤣 fuso la pumba
Pole mkuu muhimu maisha yanasonga
Bora ulipanda Fuso, ungepanda trekta ungejuta😂😂😂asante mkuu nilifika home na majonzi sana
balaa ya fuso ya pumba ukishuka unanuka nguruwe mkuu😂😂Bora ulipanda Fuso, ungepanda trekta ungejuta😂😂😂
😂😂😂🐖balaa ya fuso ya pumba ukishuka unanuka nguruwe mkuu😂😂
Ombea usikutane na fundi alievurugwa 😂😂 kuna saidia fundi alikuwa anaitwa "mke wangu" na fundi, yani haya maisha watu wanapitia mengi sana.
Mdomo nje kama kibudu Cha mbuzi uongo🤣mkuu kureport site tu engineer anasema saa 12 asubuhi watu wawe wamefika mazingira ya kazi yaaandaliwe
hapo cement tunatakiwa kuleta eneo la kazi kama mifuko 100 ya kuanzia
mashine ikiwaka haizimi mpaka muda wa chakula cha mchana ikiharibika mnasema alhamdulilah😀😀😀
yani ni lile zege mnamwaga kwa kasi ya ajabu mchaka mchaka ukiwa slow kulikuwa na wana wametoka mjini wanatukana vibaya sana hizi kazi haziendi bila matusi 😀😀
yani kitengo cha afadhali ni kile cha kuweka cement kwenye mashine ukitoka hapo huwezi kupita road watoto wa shule wanakimbia
tulikuwa site moja kubwa mkuu yani mashine inawaka 12;30 inazimwa 6;30 mchana muda wa kula ugali maziwa
baada ya kula watu wanapumzika kidogo kabla ya kurudi tena muda wa kulala ulimi nje kama kibudu cha mbuzi