Tuliopitia maisha ya "Saidia Fundi" tukutane hapa

Tuliopitia maisha ya "Saidia Fundi" tukutane hapa

Ile kazi ni ngumu mkuu, sema inategemeana na speed ya fundi mwenyewe,
Kingine utaiona rahisi Kama huna malengo mengine ya kimaisha
Ugum sikatai.ilaukisema kwamba kama huna malengo mengine utaiona rahisi naona.kama sio sawa mkuu watu wanaingia kule kwakuwa wanaona nikazi yamwisho nawatu wanaingia kule kwamalengo tofauti wanaoingia kule kutafuta pesa ndohutoka namajibu haya lakini wanaoingia kutafuta ujuzi huwaongezea bidii yakufikia malengo yao lakini pia sio vizuli kunawatu wanaapa kutokurudia huko au mtu anasema asingependa kuona mwanae akifanya kazi hiyo mliofanikiwa kimaisha nasasa mko maofisini mnaweza kusema vyovyote lakini tulio nje ya ajira lasimi niwambie kazi hii haipatikani kirahisi tena waliopata matatizo kwenye ajira zao wanajua nachoongea .ivi unakuta kijana amemaliza chuo amekosa ajira mwisho anaona ajiue bora nn
 
2011 wakati nimeua from 4 basi nikajichangaya kitaa kutafuta mishe basi nikabuka pale chuoni uhasibu Arusha ..kipindi iko hakuna vimbweta vile ..sasa katika moja na mbili nikakutana na fundi mkuu akanipa mchongo huo wa kujenga vimbweta, 20k kwa siku.

Mwamba apo nilikuwa chalii kinoma ndo kwanza 17 hivi ..bas kazi ikaanza ..zege linakorogwa na machine ,halafu ni ndoo mbili ndogo unabeba..dah kubabake nilibeba ndoo nusu nichanganyikiwe ..kwa wastani ile siku nilibeba ndoo siyo chini ya 30 hivi maana nilienda na kurudi non stop mara 15+ ..maana mzigo ushachanganywa hivyo lazima upelekwe na kimbweta kimoja adi kikamilike kinakula ndo za kushato. Saidia fundi tulikuwa wanne na mimi ndo kijana pekee wengine walikuwa wazee zee hiv hivyo wanachoka fasta. Sema uzuri mmoja katika kubeba zile ndo,

kuna manzi mmoja nadhani alikuwa diploma kipindi iko akanionea huruma alikuwa ananipimia kila siku nnavobeba zile ndoo ..akantoa kama teni hiv siku ya kwanza maana tulipiga kazi zaid ya siku kama nane hivi ..yule manzi tukaanza kuzoeana ..sjui ilikuwaje akanielewa fasta hivyo ..siku moja akaniuliza mnamaliza lini kazi nikamjibu hadi vimbweta viishe ..maana vilikuwa vimesukwa na nondo na mbao ..hivyo ni mwendo wa kumwaga zege tu ..

baadae nikachek nikaona vimebak viwili basi siku hiyo tukamaliza ilikuwa ijumaa ..nikapewa mshiko wangu hata yale machungu ya kazi naona yalikwisha aise ..ela bana[emoji3][emoji3] bas nikamfata yule manzi nikamwambia kazi imeisha yee alikuwa discashen na wenzake na mimi nikajiunga hapo sjui hata wanasoma nini ..nilikuwa handsome balaa siyo saiv nmepigika na life ..wale ma manzi wengine wakajua labda na mimi ni mwanafunzi maana nilinawa nikawa msafi fresh ..

yule dem akantambulisha kwa wenzake kuwa ni nani na nilikuwa saidia fundi ..dah wakashangaa kinoma ..sema ndo ivyo ..nikaamweit yule manzi adi akamaliza discusheni ..baadae nikaanza shuka naye mdogo mdogo na nilikuwa na baiskeli ya home ..huyo adi Kwake ..kumbe anakaa geto na mwenzake sema alimwacha chuo ..basi mi nikataka kusepa ..akanambia subir akaoge then aje anisindikize ..dah mtoto kaoga ile kurudi nikataka kumpisha ili avae akanizuia mara paap kanga chin kabaki kama alivyo dah sikuamini ..

kichwa chini kikazid nguvu kichwa cha juu ..manzi akanisogelea na mimi nipo tu kavua suruali ya jinsi katoa dushe kaanza nyonya .. na ndo mara ya kwanza nanyonywa niaje[emoji3][emoji3] aise ni balaa tupu ..nilipiga show sema kiuoga balaa na yeye alijua kuwa nimeogopa baada ya show tukatoka ile natoka tu baiskeli haipo ..mama weee nilichanganyikiwa na rafiki yake na yeye ndo anarudi ..nikamuliza kama ameona mtu na baiskeli akasema ndio ..

nikatoka mbio kumtafuta sikumpata ..nilichonipata home ni siri yangu aisee[emoji3][emoji3] sema yule manzi niliendelea kuifaidi hadi siku anasepa chuo ..sjui saiv hata yuko wapi.

Jacklin nakumiss sana najua utakuwa umeshaolewa..[emoji41][emoji41]

Hapo kwenye kuibiwa baiskeli hapo[emoji23][emoji23] naelewa mziki wake man ukirudi home msala wake ni kama umedondosha BMW X6 kwenye daraja.
 
Hapo kwenye kuibiwa baiskeli hapo[emoji23][emoji23] naelewa mziki wake man ukirudi home msala wake ni kama umedondosha BMW X6 kwenye daraja.
Acha tu baba'ke icho kipigo nilichopewa na mzeebaba na hata p*ssy ya yule manzi sikuikumbuka tena[emoji3][emoji3][emoji3] ila kesho yake nikaikumbuka.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Ilikuwa 2004 tuko new forest (Mbeya) kuna mabroo walikuwa na kazi ya kujenga nyumba ya tajiri mmoja hivi, mimi kama dogo kuliko wote nikawa nakoroga mchanga nasomba na kuwapa, siku moja wakaniambia nibebe nondo twende Mwanjelwa tukauze (nilibebeshwa nondo za wizi bila kujua), tukafika "Njelii" tukauza tukaenda Isanga kilabuni wakaagiza bia, mimi nilikuwa sinywi bia wakaninunulia ulanzi wa 600 na kitimoto wakanipa na elf 7000, Nikaondoka kwenda maskani(Nonde)

Kesho yake nilichelewa kufika site...ile nimefika tu nikasikia yule tajiri anafoka nondo ziko wapi, nikasikia tena bro mmoja anasema "yule dogo wa jana kaziiba"...hapo hapo nikatoka nduki, maana ningeenda kubishana nao wangenishinda alafu ningeonekana mwizi...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nilipitia huko mwaka 2002,baada ya kumaliza o' level. Bahati nzuri wakatinipo shule jirani na bweni kulikuwa na gym,kwahiyo asubuhi gym jioni baada ya masomo tunakwenda kucheza mpira.

Kimwili nilikuwa fit kinoma nimejengeka haswa! Siku ya kwanza jamaa jirani yangu baada ya kuniona niponipo tu sina ramani ,akanichukua nikamsaidie fundi.

Kazi niliyoikuta ilikuwa ni kumwaga zege " jamvi".niliwakimbiza wazoefu hadi walishangaa.mazoezi yalinisaidia.

Niliendelea na kazi na hiyo timu ya ujenzi kwa miezi kadhaa,matokeo yakatoka nikawa nimefeli.

Sikujali kwasababu tayari nilishaanza kushika hela,nikaona kama mambo ya shule yatanipotezea muda.

Baada ya miaka mitatu nikawa fundi kamili,naweza kazi zote za ujenzi mpaka kuweka tiles.

Hapo sasa ndio nikakumbuka shule,nikajiunga masomo ya A level private. Yale masomo ya jioni kwenye vibanda umiza,nikawa nawahi kutoka job naenda kusoma,nikafanikiwa kumaliza,nikafeli tena.

Sikukata tamaa,nikaenda VETA kuongeza ujuzi wa hii fani ya ujenzi ,nikafaulu vizuri, nikaomba nafasi ya masomo chuo cha ardhi.

Nikahitimu ,nikarudi tena kwenye ujenzi.safari hii nikiwa foremen.

Miradi mikubwa niliyowahi kushiriki.Msamvu Terminal, new SUA hostels, PPF tower

Usimamizi wa miradi ya ujenzi binafsi ni mingi tu nimefanya.

Najivunia,kujenga nyumba ya mama yangu,na za wadogo zangu kwa mkono wangu mwenyewe bila usaidizi wa mtu mwingine,na nyumba zangu nimejenga mwenyewe,hivyo gharama za ufundi kwa familia zilikuwa free.


Nisichojivunia.sikutegemea kama hii ndio ingekuwa ajira yangu.ndoto zangu zilikuwa kuwa daktari wa mifugo wa JWTZ.nilipenda sana kuwa mwanajeshi mwenye fani ya udaktari.
Nashukuru Mungu kwa yote,maisha yanakwenda murua kabisa.

Yule jamaa aliyeniingiza kwenye saidia fundi miaka ya baadae nilimuoa dada yake.kwahiyo ni shemeji yangu . Namshukuru sana.
 
Mimi nilipitia huko mwaka 2002,baada ya kumaliza o' level. Bahati nzuri wakatinipo shule jirani na bweni kulikuwa na gym,kwahiyo asubuhi gym jioni baada ya masomo tunakwenda kucheza mpira.

Kimwili nilikuwa fit kinoma nimejengeka haswa! Siku ya kwanza jamaa jirani yangu baada ya kuniona niponipo tu sina ramani ,akanichukua nikamsaidie fundi.

Kazi niliyoikuta ilikuwa ni kumwaga zege " jamvi".niliwakimbiza wazoefu hadi walishangaa.mazoezi yalinisaidia.

Niliendelea na kazi na hiyo timu ya ujenzi kwa miezi kadhaa,matokeo yakatoka nikawa nimefeli.

Sikujali kwasababu tayari nilishaanza kushika hela,nikaona kama mambo ya shule yatanipotezea muda.

Baada ya miaka mitatu nikawa fundi kamili,naweza kazi zote za ujenzi mpaka kuweka tiles.

Hapo sasa ndio nikakumbuka shule,nikajiunga masomo ya A level private. Yale masomo ya jioni kwenye vibanda umiza,nikawa nawahi kutoka job naenda kusoma,nikafanikiwa kumaliza,nikafeli tena.

Sikukata tamaa,nikaenda VETA kuongeza ujuzi wa hii fani ya ujenzi ,nikafaulu vizuri, nikaomba nafasi ya masomo chuo cha ardhi.

Nikahitimu ,nikarudi tena kwenye ujenzi.safari hii nikiwa foremen.

Miradi mikubwa niliyowahi kushiriki.Msamvu Terminal, new SUA hostels, PPF tower

Usimamizi wa miradi ya ujenzi binafsi ni mingi tu nimefanya.

Najivunia,kujenga nyumba ya mama yangu,na za wadogo zangu kwa mkono wangu mwenyewe bila usaidizi wa mtu mwingine,na nyumba zangu nimejenga mwenyewe,hivyo gharama za ufundi kwa familia zilikuwa free.


Nisichojivunia.sikutegemea kama hii ndio ingekuwa ajira yangu.ndoto zangu zilikuwa kuwa daktari wa mifugo wa JWTZ.nilipenda sana kuwa mwanajeshi mwenye fani ya udaktari.
Nashukuru Mungu kwa yote,maisha yanakwenda murua kabisa.

Yule jamaa aliyeniingiza kwenye saidia fundi miaka ya baadae nilimuoa dada yake.kwahiyo ni shemeji yangu . Namshukuru sana.
Hongera mkuu hata mm.imenisaidia kuna watu wanailani kazi hii
 
Hongera mkuu hata mm.imenisaidia kuna watu wanailani kazi hii
Sasa hiyo mimi saidia fundi ilikuwa 2002.sasa hivi kupata kazi saidia fundi ni connetion pia.mwambie mtu ambae anaidharau hii kazi afanye majaribio kuitafuta tu kama ataipata. Wapo wahitimu wa ualimu na degree zao wanawasaidia mafundi ambao hata hiyo darasa la saba wamemaliza kwa tabu.maisha yamebadilika sana sasa hivi.
 
Estim construction company,mwaka 2009,posta tumepig mijengo kadhaa karibu na ghorofa la Benjamin mkapa mpaka leo siwezi kuwasahau wahindi wale,zege halilali,unatoka na ndoo ya litre 20 ghorofa ya Kwanza mpaka ya tano...kibarua mshahara 3700 per day na inaishia kwenye daladala na msosi wa maharage mabovu na chapat mbili kwa wasambaa pale manzese,asubuh unaamka hata mkono haunyanyuki kwa maumivu na mabegani cement ya Pakistan imekuunguza mabega full madonda,na muhindi kashasema atakayelala Hana kaz na huna kweli...unasindikizwa na muhindi nyuma Ana fimbo na matusi juu,mengine hata hayajawahi kupotea akilini nawatukanaga jamaa zangu tukigonga mvinyo wanaishia kucheka tu hawaelew ,maisha haya acha tu ila hawa jamaa posta waliifanya Kama kwao bombay walivyotawala sijui kwa Sasa maana nilikimbia hadi mji aisee! Ila muhindi mmoja alikuwa shoga akataka nimkule aliponikaribisha kwake akataka nimpge bomba Mara akaitwa na Bibi yake anayeishi nae humo ndani nikaiba laptop,simu tatu na wallet yenye pesa nying ndio chanzo Cha kusepa na kuacha kabsa ile kaz one day nitaweka hii story full,

Kama mpaka Sasa hawa wahindi wapo na wanaendelea serikali iwasaidie vijana wake.
Andaa full stori itakuwa poa sana
 
Subili na mimi niwape yangu ingawa ni ya tofauti lkn ni saidia fundi pia


Wakati nimemaliza form six pande za mbeya (old airport) nilikuwa npo nyumbani muda wote nikasema ivi siwez pata sehemu ya kushinda ili niweza kupata pesa ya kununuwa smartphone maana home walikataa kuninunulia adi matokeo yatoke ndo nitapewa, basi nikaongea na mama kuhusu kunitafutia kazi ya kufanya baada ya siku mbili iv kuna rafiki yake flani iv yeye ni fundi umeme basi nikapata connection so nikawa naenda kufanya KAZI lkn zilikuwa ni zile za kawaida yan kutengeza vifaa vya umeme siku zikaenda apo nikaanza kucheza na mchango kabisa pale soko la sido per day ilikuwa 2000 alafu tupo watu kama 145 baada ya week iv jamaa akapata site pande za Isyesye kulikuwa na mjengo unalimziwa kujengwa unavyumba kama 15 so ikabid tuchimbie kwanza alafu ndo tufanye kusuka umeme sasa ikabid mm ndo nipewe KAZI ya kuchimbia bomba/ Condut so kesho yake nikaanza KAZI apo vifaa kama vyote (nyundo, vishoka vidogo, tindo, na nyundo kubwa) aisee kufikia site kumbe mjengo ni wa tofali za block yan iyo ratio yake sio poa maana jamaa alikuwa na pesa hatari
So nikaanza kuchimba ukuta yan kila nikipiga ni cheche tuu zinatoka apo kila chumba kina chimbiwa njia ya soket ,switch pamoja na Tv soket yan nilichimba mpaka mkono ukawa unatetemeka daah apo ndo kwanza simaliza ata chumba kimoja kuna muda uchanga uliingua jichoni daah Ayo maumivu yake sio poa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji856]
Baada ya masaa kama tisa nikawa nimemaliza chumba kimoja yan apo hoi daaha nikasema iv kwa nn najitesa ivyo si bora niache tuu [emoji119][emoji119][emoji119] kumbe nilikuwa nimejiweka kwenye mkataba ambao nisingeweza kuacha ile KAZI maana nilikuwa na cheza mchango so jina langu kulikuwa la 136 out 147 alafu icho kipindi ndo tupo jina la 89 but kwa siku wanatoka watu wawili aisee kwaiyo nikiacha tuu pesa yangu imekwenda na maji [emoji856][emoji856][emoji856] daaha ikabid nikomae tuu kuchimbia yan kuna siku nilikata moto maana nilikuwa napanda ngazi alafu kishoka nimekiweka juu ya ngazi sasa wakati na panda kikashuka yani kilinipiga kichwani pale pale nilianguka but baada ya masaa iv nilizinduka na akuna aliye jua maana nilikuwepo mm mwenyewe tuu so ikanibid nilud nyumbani but fundi alivyo kuuliza vipi leo umefanya vyumba vingapi ikabid nimwambie viwili then akasema Sana dog komaa ili tukabidhi mjengo wa watu kumbe mwenzie ata kimoja sijagusa
Ikapita kama week iv akaja yule boss mwenye mjengo pamoja na watoto wake kumbe mtoto wake mmoja wa kike tulimaliza nae form six daah alishangaa Sana kunikuta kwenye ile hali adi machozi yalimlenga maana nilikuwa mchafu hatari ukiongeza na vumbi la block yan ilikuwa sio poa so akasema jaman Mariki umekosa nini adi unafanya kazi kama izo nikabaki na jiumauma tuu then akatokea baba yake akasema vp mnafamiana akasema ndio ndo akanitambulisha lkn mshua wake alishangaa Sana then akasema unalipwa shingapi per day nikasema 5000 akaguna akaniambia nitakuwa nakuongezea 10000 lkn naomba ufanye kazi yangu vizuli so siku zikaenda maisha yakawa mazuli lkn kazi kazi ilifika kipindi Abdala kichwa wazi alikuwa asimami maana sio kwa kuchoka Kule
Nilikuja kupokea mchango wangu yan moja kwa Moja nilienda kwa Mtawa pale ilomba nikanunua simu ili kuwa Tecno Boom J8 kwa shilingi 215000/=

NB
Akuna kitu kizuli kama kujiwekea malengo pia ukitumia kitu ambacho umekipata kwa jasho lako kina kuwa na thamani kubwa sana kwako
 
Subili na mimi niwape yangu ingawa ni ya tofauti lkn ni saidia fundi pia


Wakati nimemaliza form six pande za mbeya (old airport) nilikuwa npo nyumbani muda wote nikasema ivi siwez pata sehemu ya kushinda ili niweza kupata pesa ya kununuwa smartphone maana home walikataa kuninunulia adi matokeo yatoke ndo nitapewa, basi nikaongea na mama kuhusu kunitafutia kazi ya kufanya baada ya siku mbili iv kuna rafiki yake flani iv yeye ni fundi umeme basi nikapata connection so nikawa naenda kufanya KAZI lkn zilikuwa ni zile za kawaida yan kutengeza vifaa vya umeme siku zikaenda apo nikaanza kucheza na mchango kabisa pale soko la sido per day ilikuwa 2000 alafu tupo watu kama 145 baada ya week iv jamaa akapata site pande za Isyesye kulikuwa na mjengo unalimziwa kujengwa unavyumba kama 15 so ikabid tuchimbie kwanza alafu ndo tufanye kusuka umeme sasa ikabid mm ndo nipewe KAZI ya kuchimbia bomba/ Condut so kesho yake nikaanza KAZI apo vifaa kama vyote (nyundo, vishoka vidogo, tindo, na nyundo kubwa) aisee kufikia site kumbe mjengo ni wa tofali za block yan iyo ratio yake sio poa maana jamaa alikuwa na pesa hatari
So nikaanza kuchimba ukuta yan kila nikipiga ni cheche tuu zinatoka apo kila chumba kina chimbiwa njia ya soket ,switch pamoja na Tv soket yan nilichimba mpaka mkono ukawa unatetemeka daah apo ndo kwanza simaliza ata chumba kimoja kuna muda uchanga uliingua jichoni daah Ayo maumivu yake sio poa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji856]
Baada ya masaa kama tisa nikawa nimemaliza chumba kimoja yan apo hoi daaha nikasema iv kwa nn najitesa ivyo si bora niache tuu [emoji119][emoji119][emoji119] kumbe nilikuwa nimejiweka kwenye mkataba ambao nisingeweza kuacha ile KAZI maana nilikuwa na cheza mchango so jina langu kulikuwa la 136 out 147 alafu icho kipindi ndo tupo jina la 89 but kwa siku wanatoka watu wawili aisee kwaiyo nikiacha tuu pesa yangu imekwenda na maji [emoji856][emoji856][emoji856] daaha ikabid nikomae tuu kuchimbia yan kuna siku nilikata moto maana nilikuwa napanda ngazi alafu kishoka nimekiweka juu ya ngazi sasa wakati na panda kikashuka yani kilinipiga kichwani pale pale nilianguka but baada ya masaa iv nilizinduka na akuna aliye jua maana nilikuwepo mm mwenyewe tuu so ikanibid nilud nyumbani but fundi alivyo kuuliza vipi leo umefanya vyumba vingapi ikabid nimwambie viwili then akasema Sana dog komaa ili tukabidhi mjengo wa watu kumbe mwenzie ata kimoja sijagusa
Ikapita kama week iv akaja yule boss mwenye mjengo pamoja na watoto wake kumbe mtoto wake mmoja wa kike tulimaliza nae form six daah alishangaa Sana kunikuta kwenye ile hali adi machozi yalimlenga maana nilikuwa mchafu hatari ukiongeza na vumbi la block yan ilikuwa sio poa so akasema jaman Mariki umekosa nini adi unafanya kazi kama izo nikabaki na jiumauma tuu then akatokea baba yake akasema vp mnafamiana akasema ndio ndo akanitambulisha lkn mshua wake alishangaa Sana then akasema unalipwa shingapi per day nikasema 5000 akaguna akaniambia nitakuwa nakuongezea 10000 lkn naomba ufanye kazi yangu vizuli so siku zikaenda maisha yakawa mazuli lkn kazi kazi ilifika kipindi Abdala kichwa wazi alikuwa asimami maana sio kwa kuchoka Kule
Nilikuja kupokea mchango wangu yan moja kwa Moja nilienda kwa Mtawa pale ilomba nikanunua simu ili kuwa Tecno Boom J8 kwa shilingi 215000/=

NB
Akuna kitu kizuli kama kujiwekea malengo pia ukitumia kitu ambacho umekipata kwa jasho lako kina kuwa na thamani kubwa sana kwako
Mimi nilinunua philips savy. Simu flani ya kijanja kwa wakati wake,[emoji3][emoji3]
Screenshot_20210207-133603_Google.jpg
 
Sasa hiyo mimi saidia fundi ilikuwa 2002.sasa hivi kupata kazi saidia fundi ni connetion pia.mwambie mtu ambae anaidharau hii kazi afanye majaribio kuitafuta tu kama ataipata. Wapo wahitimu wa ualimu na degree zao wanawasaidia mafundi ambao hata hiyo darasa la saba wamemaliza kwa tabu.maisha yamebadilika sana sasa hivi.
Mkuu hata mm nimeanza miaka hiyo huwa naishia kucheka tu mtaani hata humu utawasikia umeshindwa kupiga hata yazege kunamtu naelim yake anakuja sait mambo magum anaomba apate japo kibarua cha 5000 kuna wengine humu wamesoma babazao wanafanya kazi hizohizo
 
Mkuu hata mm nimeanza miaka hiyo huwa naishia kucheka tu mtaani hata humu utawasikia umeshindwa kupiga hata yazege kunamtu naelim yake anakuja sait mambo magum anaomba apate japo kibarua cha 5000 kuna wengine humu wamesoma babazao wanafanya kazi hizohizo
Kweli aisee...
 
Hilo pigo tunaliita " kulala na viatu; yaani ukiulaza tu ubavu mahala usingizi unakubeba jumla!!
Picha linaanza niliambiwa pima ndoo 120 za mchanga jamaa akawasha fegi hapo bado kuchanganya na kuanza kumsogezea,nakumbuka hii siku nilivyopanda kitandani hapo hapo nikasikia jogoo anawika kwamba kumeshakucha siku nyingine inaanza.
 
Back
Top Bottom