dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya mazingira ni unforgetable kwangu
Daah umefurahisha ila pole sana mkuu, kuwa ulivyopanda kitandani, ukaja sikia jogoo anawika, umefurahisha sanaa daaaahPicha linaanza niliambiwa pima ndoo 120 za mchanga jamaa akawasha fegi hapo bado kuchanganya na kuanza kumsogezea,nakumbuka hii siku nilivyopanda kitandani hapo hapo nikasikia jogoo anawika kwamba kumeshakucha siku nyingine inaanza.
Kupiga plasta nyumba,mafundi wa 4 msaidizi mmoja.bosii ilikuwa kisima au selo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo namaanisha mwili ulichakaa kwa uchovu sasa nilivyolala nilikuwa kama nimekufa nilivyosikia jogoo anawika nikashtuka nikahisi sijalala kabisa kwamba usiku ilikuwa mfupi.Daah umefurahisha ila pole sana mkuu, kuwa ulivyopanda kitandani, ukaja sikia jogoo anawika, umefurahisha sanaa daaaah
pole mkuu hapo ulihenyeshwa sanaKupiga plasta nyumba,mafundi wa 4 msaidizi mmoja.
😆😆😆Picha linaanza niliambiwa pima ndoo 120 za mchanga jamaa akawasha fegi hapo bado kuchanganya na kuanza kumsogezea,nakumbuka hii siku nilivyopanda kitandani hapo hapo nikasikia jogoo anawika kwamba kumeshakucha siku nyingine inaanza.
Aisee.hizo kazi ni zakinyonyaji!Nakumbuka mwaka 2007 nilifanya kwa wiki moja siku ya j.mosi tukalipwa dah nikasema sikanyagi tena nakubuka nilipwa 24000 fundi 60,000 wakati Mimi ninaonekana kuwa nilifanya kazi kubwa yeye anasimama tu kwenye jukwaa umpelekee tofali umpelekee tope baada ya kz unahakikisha vyombo vinang'aa
Mkuu hujaishi ipogolo wewe? ni kama vile tulikua tunakutana mlimani parkHii mikazi sidhani kama kuna mtu anapenda kuifanya ila kuna stage ilitubidi wengine tufanye ili tusukume siku....
Duuh. 😀😀😀,Mkuu ebu tupe mkasa wako,!Kazi nyingine ziache tu nakumbuka nimewahi anzisha ugomvi makusudi na fundi ili anifukuze kazi maana sio kwa shida zile