damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Namtafuta ndugu yangu MILIONI MIA sijaonana nae hata mara moja japo nasikiwa watu wakimtaja taja kuwa huwa anawapitia pitia, ila sijabahatika kukutana nae. Tafadhali sana ndugu yangu pindi usomapo nakuomba unitembelee na mie japo nifarijike, nakukosa sana[emoji17] [emoji17]