Tulioshindwa kuhimili makali ya 'NoFab Challenge' tukutane hapa

Tulioshindwa kuhimili makali ya 'NoFab Challenge' tukutane hapa

Raymanu KE

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2022
Posts
8,611
Reaction score
16,118
Waslaam wakuu, kwanza naomba nitangulize shukrani zangu za dhati kwa mwenzetu bafetimbi kwa kuanzisha thread murwa kabisa ya Nofab challenge ambayo imeonekana kupokelewa vizuri Sana na Wana MMU.Hongera Sana mkuu.

Binafsi baada ya kukumbana na Uzi wa NoFab challenge niliupenda Sana na nikaamua kuufanyia majaribio kwa kuzingatia Sheria zilizowekwa.

Kweli nimejitahidi kuepukana na ngono kwa muda wa wiki mbili ila leo nimeamua kusalimu amri wakuu.

Ni siku 14 tu sijasex na mwanamke ila ugwadu ninaohisi sio wa kitoto.Nilikuwa nimezoea kula mbususu angalau Mara 3 kwa wiki kwa hiyo hizi siku 14 nimeziona Kama miezi 3 Yaani,khaa!

Ndani ya hizo wiki 2 jogoo wangu amekuwa akipanda mtungi hovyo hovyo especially kila ninapopishana na wanawake wazuri wazuri. Ukizingatia pia sehemu nakofanyia kazi pamejaa pisi kali Kali kwahiyo vishawishi vimekuwa vingi mpaka nimeshindwa kuendelea ku- abstain.

Kiukweli mwenzenu damu inanichemka Sana na nimeamua kumtumia mwanamke wangu nauli aje kwangu baadae tupige show maana nimemiss Sana utelezi. Members wa NoFab challenge naomba mnisamehe katika hili nyie endeleeni tu ku- abstain.

Pia soma: Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge
 
Ungekaza kidogo, ungeingia kwenye flaline. Hapo ungesalimika.

Nofap inahitaji kujitoa na sio kujaribu.
Sikujua Hilo mkuu ebu nieleze kidogo kuhusu hyo flaline.
 
Mkuu, nilivumilia siku nne tu! Nikawa nimetulia zangu mlangoni kwangu asubuhi, akapita mwanadada mmoja kajifunga khanga tu, ile khanga ikateleza nikaiona mbususi, alikuwa hajavaa kitu ndani, ni khanga na kibode! Chap nikakimbilia ndani kuangaza sabuni iko wapi, chaaap! niliwamimina ndani ya sekunde tatu! waaaaa! Nikahisi ahueni!

Nimebaki na app yao tu, naona siku zinavyozidi kwenda napewa hongera kwa kustep stage na maneno ya kuincourage! Nabaki nacheka tu!

Mkuu tuko pamoja, wala usijilaumu!
 
Kwa atayefikisha siku 90 aje alete mrejesho. Then kuna maelezo nitampa ya namna ya kuitumia hiyo nguvu kwa kuigeuza kuwa brain power. Ina maanufaa mengi na unaweza kuitumia kwemye mambo mengi pia ila mimi nitagusa kwenye hiyo angle.
 
Mimi sikula mbususu kwa miezi miwili kutokana na ajira yangu ya muda fulani katika kijiji fulani ndani ya mojawapo ya kisiwa cha Jamhuri ya Muungano wa Maalimu JK Nyerere na Mzee Abeid Amani Karume.

Mazingira yalinibana na hakukuwa na uwezekano wowote wa kupata mbususu kutokana na jamii iliyopo katika kijiji hiki.

So baada ya kurudi town na ugwadu wangu. Nikapiga mbususu nilijikuta nabiga bao moja la nguvu kisha mnyama akasizi kabisa kasahau gemu.

Nikawa nimeishia kimoko. Baada ya siku tatu naona ziii hata haisimami ikabidi nichukue hatua mkononi kama kubusti. Baada ya hapo ndio nikarudi kwenye hali ya kawaida.

So nyie mtakaoweza kumaliza mwaka sijui itakuwaje?
 
Chama limeshaanza kupatwa na vuguvugu la uasi ,uongozi tunachukilia hilo swala kama changamoto hivyo tungependa kuwasihi wanachama wasiyumbishe Ktk kipindi hiki cha mpito kwani tupo kwenye harakati za kupata katiba mpya ambayo itatupa muongozo imara.
 
5DBE993B-8A99-4284-AA55-A6FFA02C402B.jpeg
 
“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.” Mithali 6:26.

“Lakini maovu yenu yamewafarikisha (yamewatenganisha) ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.” Isahau 59:2.
“Tukijua neno hili, ya kuwa utu wetu wa kale ulisulibishwa pamoja naye, ili mwili wa dhambi ubatilike, tusitumikie dhambi tena.” Warumi 6:6
 
Mnajazana ujinga TU
Mahanisi wote wangekua majiniasi[emoji4]
Utakuwa na tatizo, au wewe ni mmoja ya ambao wameshindwa ku_abstain.

Wakati mwingine tumia logic ya kawaida kufanya reasoning... Kinachofanyika hapo ni conservation of energy kwahiyo kama hauna hiyo energy unategemea utafanya conservation ya kitu gani? Nadhani utakuwa umepata jibu.

Na pia kuweza kuibadilisha hiyo energy ili kuongeza efficiency ya akili yako haitakufanya wewe kuwa genius (kama wewe sio genius), kitakacho fanyika ni kukubadilisha na kuwa the best version of yourself.

Sexual energy ni moja ya potent energies ambazo zikitumika ipasavyo zinaweza kufanya makubwa. Mfano mzuri, kuna uzi ulishawahi kuletwa na Mshana Jr kuhusiana na maji na mafuta ya upako (siukumbuki vizuri una heading gani), kuna mahali kwenye ule uzi ukisoma utaona ni namna gani hao wanaojiita mitume/manabii wanafanya manipulation ya hiyo sexual energy.
 
Mimi sikula mbususu kwa miezi miwili kutokana na ajira yangu ya muda fulani katika kijiji fulani ndani ya mojawapo ya kisiwa cha Jamhuri ya Muungano wa Maalimu JK Nyerere na Mzee Abeid Amani Karume.

Mazingira yalinibana na hakukuwa na uwezekano wowote wa kupata mbususu kutokana na jamii iliyopo katika kijiji hiki.

So baada ya kurudi town na ugwadu wangu. Nikapiga mbususu nilijikuta nabiga bao moja la nguvu kisha mnyama akasizi kabisa kasahau gemu. Nikawa nimeishia kimoko. Baada ya siku tatu naona ziii hata haisimami ikabidi nichukue hatua mkononi kama kubusti. Baada ya hapo ndio nikarudi kwenye hali ya kawaida.

So nyie mtakaoweza kumaliza mwaka sijui itakuwaje?
Kuna namna ya kufanya ili kuendelea kuwa active pale utakapohitaji sex.
 
Chama limeshaanza kupatwa na vuguvugu la uasi ,uongozi tunachukilia hilo swala kama changamoto hivyo tungependa kuwasihi wanachama wasiyumbishe Ktk kipindi hiki cha mpito kwani tupo kwenye harakati za kupata katiba mpya ambayo itatupa muongozo imara.
Noma sana!
 
Kwa atayefikisha siku 90 aje alete mrejesho. Then kuna maelezo nitampa ya namna ya kuitumia hiyo nguvu kwa kuigeuza kuwa brain power. Ina maanufaa mengi na unaweza kuitumia kwemye mambo mengi pia ila mimi nitagusa kwenye hiyo angle.
Mkuu mimi toa somo wengi wanufaike
 
Back
Top Bottom