drifter#
Member
- Jan 2, 2016
- 29
- 72
Habari zenu wakuu
Leo ningependa kila mtu aweke tukio lake alilowahi kuliona kwenye mabasi ya mikoani.
Nikianza na mim mwenyew,
Mwezi wa 1 nlkua natoka Dar naenda Moro ndani ya Alsaedy bus full kiyoyozi nimeulamba kila kitu na chini nna kiatu changu kipyaaaaa!
Pemben amekaa binti ambaya kwa kwel ni mrembo sana,hapa niweke wazi...kwenye safari zangu mkoa cjawahi kukaa seat moja na demu mkali...siku hii ikawa kama neema ivi imeshuka!
Baada ya kutoka Ruvu pale kwenye misosi na kuchimba dawa tukawa tumekaa tunapiga story za hapa na pale na yule demu...
Daah,sijakaa sawa naanza kuckia harufu za ajabu ajabu kama matapishi ivi..daah kweli bhana jamaa moja alikuwa amekaa siti ya mbele yangu mambo yalikuwa sio mambo matapishi yamejaa kwenye siti yake kote harufu karbia basi zima inasikika
Siku hii japo nilikuwa na furaha kukaa na mtoto mzuri sehemu moja ila nilichukia sana...maana yale matapishi yalishuka hadi chini kwenye kiti na kuanza kuingia kwenye viatu vyangu...maana akili yote ilikuwa kwa mtoto mzuri hata yalivoingia ingia hayo matapishi skuweza kujua....
Daah kucheki vizuri jamaa alikuwa anapiga chips yai zile za take away na ndo zilizosababisha zahama yote hii...Siwezi sahau hii siku maana viatu vyangu na miguu yote ilkuwa matapishi 2..sema nlitembea na body spray kwenye begi....jamaa akanipa tambaa nikajifutia na spray yangu ndo ikawa mtetezi nilipofika msamvu sina harufu tena...hahahah
Wakuu tupieni vimbwanga mlivyoona kwenye mabasi huko ya mikoani.
Leo ningependa kila mtu aweke tukio lake alilowahi kuliona kwenye mabasi ya mikoani.
Nikianza na mim mwenyew,
Mwezi wa 1 nlkua natoka Dar naenda Moro ndani ya Alsaedy bus full kiyoyozi nimeulamba kila kitu na chini nna kiatu changu kipyaaaaa!
Pemben amekaa binti ambaya kwa kwel ni mrembo sana,hapa niweke wazi...kwenye safari zangu mkoa cjawahi kukaa seat moja na demu mkali...siku hii ikawa kama neema ivi imeshuka!
Baada ya kutoka Ruvu pale kwenye misosi na kuchimba dawa tukawa tumekaa tunapiga story za hapa na pale na yule demu...
Daah,sijakaa sawa naanza kuckia harufu za ajabu ajabu kama matapishi ivi..daah kweli bhana jamaa moja alikuwa amekaa siti ya mbele yangu mambo yalikuwa sio mambo matapishi yamejaa kwenye siti yake kote harufu karbia basi zima inasikika
Siku hii japo nilikuwa na furaha kukaa na mtoto mzuri sehemu moja ila nilichukia sana...maana yale matapishi yalishuka hadi chini kwenye kiti na kuanza kuingia kwenye viatu vyangu...maana akili yote ilikuwa kwa mtoto mzuri hata yalivoingia ingia hayo matapishi skuweza kujua....
Daah kucheki vizuri jamaa alikuwa anapiga chips yai zile za take away na ndo zilizosababisha zahama yote hii...Siwezi sahau hii siku maana viatu vyangu na miguu yote ilkuwa matapishi 2..sema nlitembea na body spray kwenye begi....jamaa akanipa tambaa nikajifutia na spray yangu ndo ikawa mtetezi nilipofika msamvu sina harufu tena...hahahah
Wakuu tupieni vimbwanga mlivyoona kwenye mabasi huko ya mikoani.