Tulioshuhudia vituko kwenye mabasi ya mikoani tukutane hapa!

Tulioshuhudia vituko kwenye mabasi ya mikoani tukutane hapa!

Mwaka 2015 nilisafiri toka Dar-Kahama-Kigoma.Nilipanda basi LA Alsaedy.Basi lilikuwa limejaa siti zote na hakuna aliyesimama. Kuna jamaa mmoja (mwanaume) alikuwa anarudi nyumbani kwao Kasulu, jamaa huyo alionekana mwenye afya dhaifu, ila alikuwa na maneno mengi sana.Kutokana na maneno yake mengi hasa ya mtaani yaliyokuwa yanasikika basi zima(kwani alikuwa akiongea kwa sauti) inawezekana kazi yake ni kupiga debe. Cha kushangaza kwa huyu jamaa ni kwamba yeye alikuwa anaomba vyakula ndani ya basi, utakachobakisha anakiomba na anakula. Hata kama umekunywa maji imebaki nusu chupa, anayaomba,unampa wewe ukidhani anataka labda kunawa kumbe anayanywa. Cha ajabu zaidi kwa huyu bwana; wakati wa kuchimba dawa yeye alikuwa hashuki chini kuchimba.Na basi likianza safari ndipo anaenda kule mbele ya basi (siti za mwanzo) na anawageukia abiria wengine anatoa dushe lake hadharani na anakojolea kwenye chupa. Akishamaliza kukojoa kwenye chupa(chupa ya maji) anaanza kumwaga mkojo wake kwa dirishani tena taratibu taratibu sana, kama mjuavyo gari likiwa linatembea na mtu aliyepo mbele yako anapomwaga kimiminika dirishani lazima wewe uliye nyuma utarukiwa na kimiminika hicho;ndicho kilichokuwa kinatokea kwa abiria wengine, na walikuwa wakipiga kelele lakini jamaa linaendelea. Jamaa alipofika kijiji kimojawapo cha Kasulu,alishuka na Rambo yake, abiria wote walikuwa wakimshangaa jinsi anavyoshuka na walitamani kuwaona ndugu zake, ila hapakuwa na mtu yeyote wa kumpokea.Mara baada ya kushuka abiria walishangilia/shukuru sana wakisema "afadhali limefika"
[emoji23][emoji23] alijua kuwakera
 
Daaaah vituko vingi sana...
-Kuna siku tuko moro tumelala zetu kwenye gari lidogo limoja likaharisha kwenye Dust bin hafu likubwa kama 14 yrs, mle ndani tulikua ni mwendo wa kutema mate kama tumenasa mimba.

-Nilishuka stendi nikakuta begi langu limebadirishwa mtu kachukua kaacha lake lenye vikama vya mtoto tu nililia sana hafu nilikua naenda kufanya field somewhere begi ndo lilikua linavyeti.hiyo ilikua Nyehunge bus
Vikama

Umeongea kama lugha yangu
 
Kuna jamaa@mmoja alijamba basi zima harufu ilichelewa kuisha ndani ya basi alafu ni ule mjambo usiokuwa na sauti kubwa wabongo wanauita yusuph dah ilikuwa hataree full kutema mate
Aiseeeeee mm mtu akiongea mambo ya kujamba huwa nacheka san maana nakumbuka mijamboo ya bording schools
 
Out of topic..
-Tulitoka kijijini kuimba kwaya basi wakati wa kupanda gari likawa limejaa, nikskaita kamwanakwaya kamoja nikakapakata heheee vile gari linadunda watu tunaimba nikaanza kupapasa mapaja meisho kakalegea nikapenyua sketi nikalengesha ogo ndani nikaanza jisevia huku tunaimba sauti ikawa haieleweki mara yanne mara ya pili nikapiga tubao kamoja na nusu ndani ya gari...
Ninyi wanakwaya huwa ni vitomb* sana,punguzeni!
 
Juzi tena tumetoka kuzika mshkaji wetu huko uzaramuni kiuri-chole kama sijakosea sasa tulizika saa 11 jioni safari ya kuanza kurudi saa moja kasoro afu kuna milima balaa na mvua ilikuwa imenyesha sasa ile eicher tuliyokuwa tumepanda dereva si mzoefu wa vilima na miteremko yenye utelezi, kuna sehemu tulipanda kilima kufika juu dereva kashindwa likaanza kuslide kurudi chini afu ni sehemu mbaya na huo muda ni saa nne usiku bado hata msanga hatujafika vichaka tupu, kuna demu alikuwa pembeni yetu alitoa ushuzi kila mtu aliusikia maana tulikuwa kimyaa nahisi alijinyea maana ile harufu haikuisha mle ndani mpaka tunafika jet saa 6 usiku
 
Nakumbuka nilikuwa natoka arusha - dar nilishuhudia mrembo sista duu kwelikweli mweupeee..akiaribu ndani ya basi
maskini ya mungu sijui alikuwa amepata tumbo la kuhara yule bahati nzuri aliharibu karbu na mombo hotel, ikabidi basi liingie hotel pale, ndo akaenda kujiswafi pia kuna mwanadada alijitolea kumuazima skirt nyingine.
Jeans aliyokuwa amevaa sijui aliitupia wapi maana alivyorudi kwenye bus hakuibeba. Akajiinamia kwenye kiti mpaka tunafika kimara,. Yani hadi huruma

Dah ilikuwa ni aibu kwelikweli
Mungu aepushie mbali!
 
Super Mareja ya Kondoa
Screenshot_20180407-192022.png
 
Daaaah vituko vingi sana...
-Kuna siku tuko moro tumelala zetu kwenye gari lidogo limoja likaharisha kwenye Dust bin hafu likubwa kama 14 yrs, mle ndani tulikua ni mwendo wa kutema mate kama tumenasa mimba.

-Nilishuka stendi nikakuta begi langu limebadirishwa mtu kachukua kaacha lake lenye vikama vya mtoto tu nililia sana hafu nilikua naenda kufanya field somewhere begi ndo lilikua linavyeti.hiyo ilikua Nyehunge bus
Ulilia mkuu??dah pole sana,sipati picha yani
 
sintasahau siku niliposafiri kwenda tanga usiku ulipofika watu ote tukawa tunaona paka wengi ndani ya gali.
 
Mwaka 2015 nilisafiri toka Dar-Kahama-Kigoma.Nilipanda basi LA Alsaedy.Basi lilikuwa limejaa siti zote na hakuna aliyesimama. Kuna jamaa mmoja (mwanaume) alikuwa anarudi nyumbani kwao Kasulu, jamaa huyo alionekana mwenye afya dhaifu, ila alikuwa na maneno mengi sana.Kutokana na maneno yake mengi hasa ya mtaani yaliyokuwa yanasikika basi zima(kwani alikuwa akiongea kwa sauti) inawezekana kazi yake ni kupiga debe. Cha kushangaza kwa huyu jamaa ni kwamba yeye alikuwa anaomba vyakula ndani ya basi, utakachobakisha anakiomba na anakula. Hata kama umekunywa maji imebaki nusu chupa, anayaomba,unampa wewe ukidhani anataka labda kunawa kumbe anayanywa. Cha ajabu zaidi kwa huyu bwana; wakati wa kuchimba dawa yeye alikuwa hashuki chini kuchimba.Na basi likianza safari ndipo anaenda kule mbele ya basi (siti za mwanzo) na anawageukia abiria wengine anatoa dushe lake hadharani na anakojolea kwenye chupa. Akishamaliza kukojoa kwenye chupa(chupa ya maji) anaanza kumwaga mkojo wake kwa dirishani tena taratibu taratibu sana, kama mjuavyo gari likiwa linatembea na mtu aliyepo mbele yako anapomwaga kimiminika dirishani lazima wewe uliye nyuma utarukiwa na kimiminika hicho;ndicho kilichokuwa kinatokea kwa abiria wengine, na walikuwa wakipiga kelele lakini jamaa linaendelea. Jamaa alipofika kijiji kimojawapo cha Kasulu,alishuka na Rambo yake, abiria wote walikuwa wakimshangaa jinsi anavyoshuka na walitamani kuwaona ndugu zake, ila hapakuwa na mtu yeyote wa kumpokea.Mara baada ya kushuka abiria walishangilia/shukuru sana wakisema "afadhali limefika"
Yani kweli abiria wote mnamwagiwa mkojo mnakubali??angeshuka njiani huyo
 
Back
Top Bottom