Tulioshuhudia vituko kwenye mabasi ya mikoani tukutane hapa!

[emoji23][emoji23] alijua kuwakera
 
Vikama

Umeongea kama lugha yangu
 
Kuna jamaa@mmoja alijamba basi zima harufu ilichelewa kuisha ndani ya basi alafu ni ule mjambo usiokuwa na sauti kubwa wabongo wanauita yusuph dah ilikuwa hataree full kutema mate
Aiseeeeee mm mtu akiongea mambo ya kujamba huwa nacheka san maana nakumbuka mijamboo ya bording schools
 
Ninyi wanakwaya huwa ni vitomb* sana,punguzeni!
 
Juzi tena tumetoka kuzika mshkaji wetu huko uzaramuni kiuri-chole kama sijakosea sasa tulizika saa 11 jioni safari ya kuanza kurudi saa moja kasoro afu kuna milima balaa na mvua ilikuwa imenyesha sasa ile eicher tuliyokuwa tumepanda dereva si mzoefu wa vilima na miteremko yenye utelezi, kuna sehemu tulipanda kilima kufika juu dereva kashindwa likaanza kuslide kurudi chini afu ni sehemu mbaya na huo muda ni saa nne usiku bado hata msanga hatujafika vichaka tupu, kuna demu alikuwa pembeni yetu alitoa ushuzi kila mtu aliusikia maana tulikuwa kimyaa nahisi alijinyea maana ile harufu haikuisha mle ndani mpaka tunafika jet saa 6 usiku
 
Mungu aepushie mbali!
 
Ulilia mkuu??dah pole sana,sipati picha yani
 
sintasahau siku niliposafiri kwenda tanga usiku ulipofika watu ote tukawa tunaona paka wengi ndani ya gali.
 
Yani kweli abiria wote mnamwagiwa mkojo mnakubali??angeshuka njiani huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…