Uchaguzi 2020 Tuliosimamia Uchaguzi tukiri kuwa tumewatendea dhambi Watanzania kwa sababu ya kutii Mamlaka

Uchaguzi 2020 Tuliosimamia Uchaguzi tukiri kuwa tumewatendea dhambi Watanzania kwa sababu ya kutii Mamlaka

Hata hivyo Biblia inahimiza kutii mamlaka pia.
Hiyo Biblia mnaitumia vibaya. Na siku zote mnajificha kwenye huo mstari wa kwamba tutii Mamlaka kwa vile zinatoka kwa Mungu. Mbona Mungu mwenyewe alimtuma Musa kuwakomboa wana wa Israel toka kwa Farao?

Mungu anasingiziwa matendo machafu ya binadamu. Siamini kama Mamlaka ya Adolf Hitler ilitoka kwa Mungu. Vivyo hivyo siamini kuwa Mamlaka ya Magufuli ya uwizi wa kura za Oktoba 2020 ilitoka kwa Mungu. Na kuthibitisha hilo Mungu kachukua roho yake ndani ya siku 120 baada ya kuiba kura
 
Mimi ni mwalimu,sikufanya huo ujinga wa kuomba hiyo kazi ya kusimamia, moyo wangu kabisa huwa hauko tayari kufanya uonevu kwa mtu,sikuwa tayari kulipwa pesa haramu na niliumia sana kuona walimu waliusika pakubwa kutekeleza ule uharamia ni watu waliopata shida sana kwa kunyimwa haki zao wakati wa utawala ule mpaka sasa huwa nawashangaa walimu wenzangu wana akili au matope kichwani. Nilimzuia mke wangu asifanye hiyo kazi akanigomea lakini iliniuma sana na nilitaka niachane nae kabisa.
much respect mkuu

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Na ndiyo maana aliyeasisi huu ushenzi wa kuirudisha Tanzania kwenye mfumo wa chama kimoja kwa kutumia mtutu wa bunduki sasa hivi yuko motoni anabanikwa kama ndafu, asante Mungu kutuondolea huyu dhalim.
 
Na ndiyo maana aliyeasisi huu ushenzi wa kuirudisha Tanzania kwenye mfumo wa chama kimoja kwa kutumia mtutu wa bunduki sasa hivi yuko motoni anabanikwa kama ndafu, asante Mungu kutuondolea huyu dhalim.
Bado wamo wamo kina ndugai kipilimba sijui kigaigai majaliwa na co, yote mpaka watubu,
 
Ndio maana walimu wengi..maisha yao magumu sana..kwasababu ya kushiriki udhalimu huu..kazi ya ualimu kwa Tz ni laana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mwalimu,sikufanya huo ujinga wa kuomba hiyo kazi ya kusimamia, moyo wangu kabisa huwa hauko tayari kufanya uonevu kwa mtu,sikuwa tayari kulipwa pesa haramu na niliumia sana kuona walimu waliusika pakubwa kutekeleza ule uharamia ni watu waliopata shida sana kwa kunyimwa haki zao wakati wa utawala ule mpaka sasa huwa nawashangaa walimu wenzangu wana akili au matope kichwani. Nilimzuia mke wangu asifanye hiyo kazi akanigomea lakini iliniuma sana na nilitaka niachane nae kabisa.
Tutaamini kuwa hukufanya huo uzandiki?
 
Ndio maana walimu wengi..maisha yao magumu sana..kwasababu ya kushiriki udhalimu huu..kazi ya ualimu kwa Tz ni laana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unataka kusema kuwa wale wote wenye maisha magumu ni kwasababu ya kuwa na laana? Na kazi ya ualimu ni laana! Duuh!
Chief, umefanya "sweeping generalization".
 
Hiyo Biblia mnaitumia vibaya. Na siku zote mnajificha kwenye huo mstari wa kwamba tutii Mamlaka kwa vile zinatoka kwa Mungu. Mbona Mungu mwenyewe alimtuma Musa kuwakomboa wana wa Israel toka kwa Farao?

Mungu anasingiziwa matendo machafu ya binadamu. Siamini kama Mamlaka ya Adolf Hitler ilitoka kwa Mungu. Vivyo hivyo siamini kuwa Mamlaka ya Magufuli ya uwizi wa kura za Oktoba 2020 ilitoka kwa Mungu. Na kuthibitisha hilo Mungu kachukua roho yake ndani ya siku 120 baada ya kuiba kura
Kweli mkuu!
Utaambiwa hata serikali ya Idi Amini ilitoka kwa Aliye juu, ata kama Amini alipindua utawala uliokuwepo. Funny!
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Ohooooo
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
wewe ni kati ya watu wa hovyo sana katika nchi hii. Iwapo uliaminiwa kusimamia uchaguzi ukauboronga huo ni udhaifu wako binafsi na nisingependa upewe mamlaka yoyote nchini hapa.
 
Back
Top Bottom