Tuliosoma shule za kata tukutane hapa

Sodium

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
754
Reaction score
404
Kwanza natoa shukurani kwa serikali iliyofikilia mpango wa kaanzisha shule za kata . Msema kweli tulipata changamoto kubwa katika kusoma kwetu ikiwa shule zilikuwa hazna walimu wa kutosha, miundombinu mibovu na mazingira yalikuwa siyo rafiki katika swala la kusoma.

Ila ndozimetufanya tunafika tulipo Basi unaweza toa changamoto ulizo zipata ukiwa shuleni na ulivyopambana nazo mpaka sasa upo ulipo kwa mafanikio makubwa.
 
BRN imetusaidia marks zimetelemshwa (magoli yamepanuka) hivyo wote tunafaulu. Hakutakuwa na tofauti na St. schools and Kayumba schools!
 
Tatizo kubwa ni waalim pia teaching and learning materials ni tatizo hapo cha msing ilikuwa ni kukomaa na tuition..
 
Tatizo limebaki kwenye ajira ni ngumu mno na serikali yetu baguzi inatubagua sisi tuliosoma arts
 
Tatizo limebaki kwenye ajira ni ngumu mno na serikali yetu baguzi inatubagua sisi tuliosoma arts

Mkuu kama bado ujaajiriwa nakuomba fanya yafuatoyo.

1, usitumie mda mwingi kulamuum serikali, watu au mfumo wa elimu maana kufanya hivyo ni kujitegeneza maisha ya kukata tamaa.

2, kila siku pigana kutafuta mtaji kwa nguvu zako mwenyewe, na usiitumie elimu uliyopata kujisaminisha nakuanza kudharau kama siyo kuchangua kazi zakufanya,. kuna kazi nyingi sana hapa tz ninazoweza kukupatia mtaji kama wewe ni mchakalikaji wa ukweli.(kama uzijui hizo kazi niulize nitakupa fursa)

3, baada ya kugoma ndoto zako zakuajiriwa na serikali panga mipango mingine kutokana na mtaji unaoutafuta, na kama ukishapata kazi yakufanya jipe mda maalamu kufanikisha lengo lako(kama huna njia mbandala mimi nipo nitakupa fursa)

kwa maelezo zaidi utaniuliza.
 

Shem hiyo namba mbili hata mimi sizijui
 
Shem hiyo namba mbili hata mimi sizijui

Khantwe shemeji yangu kuna kazi nyingi hapo tz, zakufanya kama unaafya zuri ya kimwili na kiakili. au unataka nikutajie.
 
Last edited by a moderator:
Khantwe shemeji yangu kuna kazi nyingi hapo tz, zakufanya kama unaafya zuri ya kimwili na kiakili. au unataka nikutajie.

Ama kweli unaringa....nimeshasema sijui maana yake unitajie we unarudia kuandika kilekile ulichokiandika pale juu maana yake nini hiyo ka sio.dharau
 
Last edited by a moderator:
Ama kweli unaringa....nimeshasema sijui maana yake unitajie we unarudia kuandika kilekile ulichokiandika pale juu maana yake nini hiyo ka sio.dharau

Khantwe na ww umehitimu kwenye shule zetu hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…