Tuliosoma shule za msingi kwa kulipa karo

MEXICANA

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
1,777
Reaction score
2,040
Tanzania tumetoka mbali saaana. Leo nimekumbuka enzi zile nikiwa Primary School kuna siku nilirudishwa nyumbani kufuata karo.

Kwanza kabla ya kurudishwa unachapwa fimbo za kutosha kama sita hivi
 
Sasa kwanini unachapwa fimbo? Kwani ni wewe unatafuta pesa?
 
Ingefaa useme shule za msingi za serekali tena kiswahili medium. Maana english medium za serekali na private zote bado wanalipa karo mpaka sasa
 
Saaana,sjui hiyo heshima sahivi imeenda wapi
 
Kuna muda ilikua unatamani waliorudishwa ungekua miongoni mwao
🤣🤣🤣umeona eeh? Mimi siku moja niko nimebeba mfuko wangu wa daftari narudi zangu nyumbani nikakutana na mwalimu mkuu mlangoni akaniambia we unaenda wapi hebu kakae huko😁😁😁 nilimlaani si kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…