Think Hard
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 318
- 303
Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya...
1. Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2. Unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3. Mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4. MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5. MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6. Wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7. Ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8. Unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9. Vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwiba
10. Hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule au mwalim hayupo
11. Habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12. Mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13. Usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14. Unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peni
15. Ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16. Siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na maji wanakagua kuni au mbolea
Dah shule zetu hizi!!
Ipi umeipitia wewe
1. Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2. Unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3. Mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4. MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5. MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6. Wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7. Ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8. Unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9. Vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwiba
10. Hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule au mwalim hayupo
11. Habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12. Mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13. Usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14. Unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peni
15. Ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16. Siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na maji wanakagua kuni au mbolea
Dah shule zetu hizi!!
Ipi umeipitia wewe