Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Mimi bado Lindi, Mtwara, Rukwa na Kagera. Soon nitamalizana nayo
Tupe uzoefu wako
Tupe uzoefu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh mkuu, hebu jitahidi kidogo angalau ifike 10.Nimetembea mikoa mitano tu kwakweli bado natakiwa kuzurura sana
Mbeya pazuri mno utoke uende wapi tena.Daah kuna mimi niliyezaliwa Mbeya na sijawahi kutoka nje ya huu mkoa😔
Utabubujikwa kwa furaha ukibahatika kumuona mccm mwenzanguBado kufika Mbeya niende Mbozi kumuona Lucas Mwashambwa
Kidogo nifike hata daslamMbeya pazuri mno utoke uende wap tena.
Ulitoka mbeya ukienda dasilamu utaona unakosa hewa kwa mara ya kwanza😁😁Kidogo nifike hata daslam
😁😁😁😁Bado kufika Mbeya niende Mbozi kumuona Lucas Mwashambwa
Madhari zinatofautiana lakini baina ya mikoa..!Ukifika DSM basi hauna haja ya kwenda Zanzibar , lindi mtwara morogoro , pwani na Zanzibar
Utamaduni ule ule vyakula vilevile watu wanafanana wazawa humble watu wa kuridhika na Amani.
Pia ukifika Kagera hauna haja ya kwenda Mwanza, kigoma ,
Ukifika singinda hauna haja ya kwenda Dodoma.
Kama unafanya tour au road trip unafanya hivyo Ila Kikazi ndo inafaa.