Fmruma
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 498
- 783
Hivi unazijua vizuri KM 100? Hafu uzitembee siku 1 hii chai
Kilometa 100 unatembea vzr tu ...nilishafanya field huko mufindi sasa kwakua kulikua chaka sehem ambayo ni center ni kilomita 6 ila kutokana na kuwa board ilikua kila baada ya siku 2 lazima twende hapo center kula gambe enzi hzo..so ilikua kama kil 12 kwenda na kurudi so niki estimate ule mwendo naona kil 100 zinawezekana kutembea kwa siku moja ukiamka kumi usiku hadi jioni unatoboa