Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Ulipofika mzee alichukuliaje?
By the way, nimetembea toka
Muyama to Kasulu
Muyama to Munanila
Nimeendesha baiskel kwa masaa 12, hakuna siku niliyochoka maishani kama hii.
Mzee alilia sana. Nikajisikia vibaya sana. Nikamwambia sijatembea sana nilipewa lift. Atleast akapoa.
Sio kosa lake hakua na hela. Mama mdogo alikua amevuruga nyumba ata kula tu tatizo home.