Hivi unazijua vizuri KM 100? Hafu uzitembee siku 1 hii chai
Mazoezi mazuri,kama huna haraka ni jambo jema mkuuLeo nimetembea kutoka Kigogo kituo cha Polisi (First In) mpaka Tabata relini nikanywa Juisi, nikaendelea kutembea hadi Tabata Mawenzi.
Kama huna haraka tembea tu mkuuNisbawah tembea kwa mguu mara nyingi sana kutoka posta (IFM) mpk gheto Mtoni kwa Aziz Ally kwenda na kurudi kwa kukosa nauli mia8 tu.. Aisee yale maisha siji kusahau..
Nilitembea kwa miguu siku England waliposhinda Rugby World Cup. Barabara zilifungwa nilikuwa ninarudi nyumbani nilitembea mbali sana. Kutoka Holborn mpaka Elephant and Castle.
Nilitembea kwa miguu siku England waliposhinda Rugby World Cup. Barabara zilifungwa nilikuwa ninarudi nyumbani nilitembea mbali sana. Kutoka Holborn mpaka Elephant and Castle.
Mazoezi mazuri,kama huna haraka ni jambo jema mkuu
Sometime foleni unayetembea unawahi kufikaUsumbufu wa daladala ikanipasa kufanya hivyo.
umbali uliotembea kwa miguu ukajiwekea rekodi yako. Inaweza kuwa 1KM.
Kuna jamaa walitembeakutoka urusi hadi India kwa Miguu km zaidi ya 2000. Ipo movie yao based on true story
80km-100km sio masihara.Msifanye mchezo.Mie nimetembea sana kwa mguu lkn hizo 80-100km msifanye mchezo nazoMwaka 2000 nikiwa kidato cha 3 nilishuka kituo tofauti na malengo hivyo nilitembea zaidi ya 80km( nilikuwa natoka kigoma shuleni)
80km-100km sio masihara.Msifanye mchezo.Mie nimetembea sana kwa mguu lkn hizo 80-100km msifanye mchezo nazo