MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,929
- 3,710
Kwa wale wabishi wenzangu wa kilimo cha kutegemea mvua,waliothubutu kuweka mbegu za mahindi tukutane hapa ili tupeane updates mbali mbali.
Mimi nilipanda tarehe za mwishoni mwa mwezi october na sasa nalima palizi ya kwanza na mahindi yanaendelea vyema kabisa sijajua huko mbeleni.
Shamba ni hekali 2 na nilipanda zigzag
Mimi nilipanda tarehe za mwishoni mwa mwezi october na sasa nalima palizi ya kwanza na mahindi yanaendelea vyema kabisa sijajua huko mbeleni.
Shamba ni hekali 2 na nilipanda zigzag