Tuliotoboa maisha kibishi tukutane hapa

Tuliotoboa maisha kibishi tukutane hapa

Daah kazi ya shamba inakuingizia mil 3 mpaka 7 kwa mwezi, inamaana unalima na kuvuna na kuuza ndani ya mwezi dadeeeeki ngoja niendelee kujiuzia vocha tu
Nililima ufuta nilipata faida million kumi
Mtaji mzuri kabisa kama akili yako imetulia


Then nililima mpunga nilipata million nne


Bado kuuza mchele yaani unalangua na kuuza mjini
 
Wa Leo huu mkuu
Screenshot_2018-12-07-06-26-57.jpg
 
Back
Top Bottom