MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Anataka kuuza hisa zake mlizompa kwa mali kauli na amlambi ata mia si mlimuamini sasa kawageuzia kibao b.20 azionekani zilipo na yeye anadai mambo yote yapo kimaandishi na alishawawekea mpunga wenu habari za ziliwekwa benk gani yeye ajui mliwezaje kumpa hisa bila kuhakikisha pesa imeingiaš¤£š¤£š¤£Na mkimaliza kutuomba huo Msamaha mkubali kuwa kuna Watu Wengine hapa JamiiForums wanayajua yale ya Ndani yaliyojificha zaidi yenu hivyo wakiwa wanayasema hapa JamiiForums muwe mnawashkuru na ikiwezekana hata kuwapigia Saluti sawa?
Mimi ndiyo MINOCYCLINE The Chief!!!
UnaotaAnataka kuuza hisa zake mlizompa kwa mali kauli na amlambi ata mia si mlimuamini sasa kawageuzia kibao b.20 azionekani zilipo na yeye anadai mambo yote yapo kimaandishi na alishawawekea mpunga wenu habari za ziliwekwa benk gani yeye ajui mliwezaje kumpa hisa bila kuhakikisha pesa imeingiaš¤£š¤£š¤£