Tulioumizwa viwanja Jiji & Kamishna Mkoa Dodoma 2024 tukutane hapa!

Tulioumizwa viwanja Jiji & Kamishna Mkoa Dodoma 2024 tukutane hapa!

kama jiji kama dodoma wanapopasifia kuwa pamepangwa bado kuna double allocation, itakuaje kwa hapa DSM? na kwa nini hii issue ya double allocation imekuwa wimbo wa miaka mingi sana? kama wanashindwa kutatua kazi wengine, si wapishe watu wengine wakae viti vyao? makamishna wa mikoa miungu watu, kama hako kafupi ka dodoma. analalamikiwa na kila mtu lakini serikali bado inaye tu.
Basi ujue kachawi hako. Hakaogopi mtu.
 
CHURA hana muda wa kutetea watanganyika tujipange sana.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
CHURA hana muda wa kutetea watanganyika tujipange sana.
KAZI ni kipimo cha UTU
kwa kweli mwaka huu kama hatamfuta kazi Kamishna wa ardhi Mkuu pamoja na kamishna wa ardhi Mkoa wa Dodoma, nitashangaa sana. wameshindwa kazi kabisa, hatuwaonei ila naamni watu wengine wangeshika nafasi zao migogoro ya ardhi ingeisha.
 
Back
Top Bottom