Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Burundi 2, Mzanzibar 1, Cameroon wale wenye nywele chotara lakini ngozi maji ya kunde 1, Mjerumani Mixer na Mtanzania, Muoman mixer 2, Kenyan Kikuyu 1, enjoyment ipo Oman hawakaushi maji so hadi unaridhika Mwenyewe....
Daa we jamaa umecheza nyingi za ugenini
 
Mwenzio vp hakujiongeza na yy
 
Mkuu kma hutojali elezea kwanini yaliisha vibaya ,what went wrong?
Okay mkuu iko ivi yule dada alikua ananipenda but muda wao wakukaa bongo ukawa umeisha ikatakiwa arudi dortmund ndo kwao sasa mimi nikamwambia twende wote alikataa ctry zikawa mingi visingizio kibao mara ooh hujui kijerumani utapata tabu mara ooh unawaachaje wazazi wako brah brah zikawa nyingi sasa kati ya wale rafiki zake mnikamuuliza mmja why x ananiavoid saizi rafki yake akanambia kule dortmund ana msela mimi kusikia ivyo nilijisikia vibaya sana hata ile ya mwisho ananiaga alinambia show ya mwisho inabidi niende nae zenji ndo nikalie tunda uko kama week ivi niwenae kabla hajaondoka kwa bahati mbaya ndo ilikua week naanza END OF YEAR EXAM dhaa niliumia sana sitosahau nilifanya exams ninastress balaa nikaambulia kugongwa sup 5 on spot na mrembo akaondoka akaniacha ulikua wakati mgumu sana kwangu kunamengi sana yaliendelea acha niishie hapo Eng.matata
 
Jamaako angeweka tu na yy kahistoria ka kuwala hao
Sure man nilimsihi sana sema mwa hakuwa interested but bro white girls ni the best kudate aisee huwezi waringanisha na hawa wakwetu man we acha tu ila niliweka ka historia pale college mtoto alivyo kua akija kunivist hahaha namimi navimba najiona watofauti hahaha.
 
Enzi za kale nipo udsm nimevizia sana Vichina vya pale department of Kiswahili nikafeli kuwala, vina kaubaguzi fulani. Huku na huku nikakutana na mtoto kutoka Scotland, ana kichura fulani kitamu ila kakitafuta gym alikua flat.
Anapenda mno romance ya muda mrefu before sex...ukitaka mgombane we paka mate kwenye dushe, Humgongi ng'oo. She is three years older than me. Ahsante corona ndiyo iliyofanya nimle.
 
mkuu kuna nyuz za innovation.....h
 
Dah!pole sana mkuu sometimes ndo hvyo vitu vingine vzuri ila havidumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…