Daa we jamaa umecheza nyingi za ugeniniBurundi 2, Mzanzibar 1, Cameroon wale wenye nywele chotara lakini ngozi maji ya kunde 1, Mjerumani Mixer na Mtanzania, Muoman mixer 2, Kenyan Kikuyu 1, enjoyment ipo Oman hawakaushi maji so hadi unaridhika Mwenyewe....
Mwenzio vp hakujiongeza na yyOkay Mimi miaka kidogo iloyopita nilikua nasoma moja ya chuo Cha Kati Cha uhandisi Arusha. Katika harakati nikiwa Arusha nilikua ni mtu napenda Bata maana clubs na pub sana Sasa wakati mmoja nikiwa na marafiki zangu tulienda moja ya night club ziko Arusha inaitwa Babylon .
Mimi na jamaazangu tulikua niwatu hatupendi kukaa ndani sana maana tulikua tunapenda kupigia vyombo maeneo ya smoking area tuko hapo tunapiga moja mbili mwanangu mmoja alikua vitu sana na yye akilewa anakua anapiga slang sana na hana aibu pembeni yetu walikuepo crew ya wadada na msela mmoja wote wajerumani walikua wanakula vyombo..Bwanaeeh huyu jamaangu anaepiga slang akawavagaa mara stry mbili tatu zikaiva akatuita kututa bulisha ...oohh sie tunasoma engineering huyu anasoma fani x nahu y halikadhalika na yy.
Basi bhana tukawa tumefahamiana bwana wee tuko pale nje ikapigwa nyimbo ya bailando kama sikosei wale watasha wakaingi ndani wakaanza cheza nasie tukaingia mdada mmmoja Kati ya wale wazungu akawa amejiaisolate anacheza mwenyewe nikamfata sikuogopa nikamuomba tucheze pamoja akakubali nikamsogeza and nikamhold very tight tukaanza cheza aisee sijawahi ona watu wana bad moves za kucheza and out of key kama wazungu kaa nilipata tatu but nikajiona mnyamwezi watu wanavyo nishangaa hahahaha..
Baada ya muda kidogo nikamkiss hakukataa mara deep kiss hakunizuia after few minutes wenzake wakamuita pamoja na wale guider wao kua inabidi waondoke dhaa nikaanza kuhaha anaondokaje nitampata vipi kumuomba number akakataa but akanambia anapatikana sehemu inaitwa Sanya juu wapo kwa muda wa mwezi ivi muda huo kagoma kutoa number na wanaondoka kumbana sana akamwambia mate wake walikua wote wa kiume achukue number yangu atanitafuta Basi bhana jamaa akachukua number yangu nikarudi chuo hostel na washkaji sijalala nawaza tu kama nitatafutwa kesho yake nimeamka aisee nawaza tu mzungu..
Nimekaa sikunzima nasubiri kutafutwa hola nikawa nimepanga ikifika jioni hajanitafuta nimfata sanaya kudadeki..mara kidogo ivi ikaingia bonge la sms gazeti ndo ukawa mwanzo Kati yangu na yule mjerumani. Akawa akija Arusha mjini ananitafuta wakienda popote shoppings nipo kilasehemu wakienda tour Niko nae story ni ndefu sana let me go straight siku nimekula tunda hahaha..
Alinipigia simu kua niende Moshi akanambia ikiwezekana nawale marafiki zangu bahatimbaya mmoja tu ndo alikua available bwana we masomo na kilakitu tukaweka pembeni wazee tukaingia Moshi akawa amesha book hotel room yake namimi na room ya jamaangu na marafiki zake wazungu walikua mamebook the same room..game likaanza tukaanzia Bata PUB ALBERTO watu wa Moshi wanapafahamu muda mwingi Niko nae nauza sura Sasa watu wananishangaa mpaka wale wenyeji wake ma guider I think wakaniita pembeni wananiuliza nimefanyaje nimechukua chombo nikawambia nibahatati tu..
Baada ya muda tukapanda gari wote Mimi mshikaji wangu nilieenda nae na wale wazungu tumefika hotel sinikawa muoga Sasa nikataka lala room ya mshikaji wangu hahahaha jamaangu akanambia nenda lala na dem wako kucheki kaingia afu kaacha room wazi nimeingia tu akanambia funga aisee what I got it will remain in me maisha all in all kama mdau alivyo sema wazungu no levels zingine kwenye mapenzi wanajali hygiene very romantic, caring (maanaeke asubuhi unaamushwa na kiss plus pizza hahaha)and she can do whatever kikubwa uenjoy na mostly wanapenda kiss sana wanapenda ukimtomba na kisses juu always so baada ya ya hiyo shoo mtoto alinielewa sana Hadi kunifanya mahudhurio chuo yakawa mabovu muda mwingi Niko nae nikajikuta naambulia sup kibao but nilimaliza chuo salama our relationship ended sadly ngoja niishie happy wakuu.
Eng.Matata
wanapenda ku control sana mkuu na ukikubali hivyo basi familia yake ni yako pia maana pakame sana pale addisMbona hukuoa sasa
dhaa yule jamaa angu yeye hakuwaelewa wale wadada walokua wamebaki dem wangu ndo alikua mzuri sana aisee acha tu nisikumbuke ishabaki stry mkuu..Mwenzio vp hakujiongeza na yy
Jamaako angeweka tu na yy kahistoria ka kuwala haodhaa yule jamaa angu yeye hakuwaelewa wale wadada walokua wamebaki dem wangu ndo alikua mzuri sana aisee acha tu nisikumbuke ishabaki stry mkuu..
Okay mkuu iko ivi yule dada alikua ananipenda but muda wao wakukaa bongo ukawa umeisha ikatakiwa arudi dortmund ndo kwao sasa mimi nikamwambia twende wote alikataa ctry zikawa mingi visingizio kibao mara ooh hujui kijerumani utapata tabu mara ooh unawaachaje wazazi wako brah brah zikawa nyingi sasa kati ya wale rafiki zake mnikamuuliza mmja why x ananiavoid saizi rafki yake akanambia kule dortmund ana msela mimi kusikia ivyo nilijisikia vibaya sana hata ile ya mwisho ananiaga alinambia show ya mwisho inabidi niende nae zenji ndo nikalie tunda uko kama week ivi niwenae kabla hajaondoka kwa bahati mbaya ndo ilikua week naanza END OF YEAR EXAM dhaa niliumia sana sitosahau nilifanya exams ninastress balaa nikaambulia kugongwa sup 5 on spot na mrembo akaondoka akaniacha ulikua wakati mgumu sana kwangu kunamengi sana yaliendelea acha niishie hapo Eng.matataMkuu kma hutojali elezea kwanini yaliisha vibaya ,what went wrong?
Sure man nilimsihi sana sema mwa hakuwa interested but bro white girls ni the best kudate aisee huwezi waringanisha na hawa wakwetu man we acha tu ila niliweka ka historia pale college mtoto alivyo kua akija kunivist hahaha namimi navimba najiona watofauti hahaha.Jamaako angeweka tu na yy kahistoria ka kuwala hao
mkuu kuna nyuz za innovation.....hHapa Russia mkuu kuna demo mmoja nilimgonga humu nimemfuata ma miles ya kufa MTU na metro yao. Demu kweli niligonga nikashangaa anaruka anasema pachimo ze nye zakonchiri? Yaani ni kwa nini haumalizi.
Ni kweli wanajua romance aisee kuna vitu nilifanyiwa vitu huko huku bongo sijawahi fanyiwa mpka nakaribia kuuacha ujana Wangu.
Demu kweli wanafanya na wanajituma bika kuambiwa cha kufanya. Uwatakuanzia masaje afu ndo mdomo unafanya kazi mkuu humu na zile nywele zao zikikugusa gusa ni msisimko Wa hatari sana..
Ila naona wabongo hapa wamejiongeza kuanzisha Uzi kama umeshawahi kula tunda kimasihara.
Yaani afrika stories za ngono tuko vizuri na ndicho tulichobarikiwa BASI. Yaani maumbile makubwa na tunaenda round nyingi pia tunastahimili gemu hilo wazungu wote wanalijua.
Wana msemo wao once you go black you never come back.
Ila naumia vijana kuongelea ngono badala ya kuongelea innovations. Ukileta idea ya kugundua hata chanjo ya korona kimya hakuna MTU kuchangia.
Yaani waafrika tunatafuta heshima kwenye k jamani. Wenzetu mpaka hawana hisia anakuketea demu wake umkaze mana hayuko vizuri.
Yaani vyuo wanavyosoma blacks madada Wa kizungu wanajipitisha pitisha sana.
Pia nashangaa Bado tunajikita kutafuta nguvu za kiume hivi ni za nini jamani MIE huwa najiuliza nakosa jibu.
Badala tuzipunguze tusiwaze ngono ili akili zitulie kwenye innovations kwa our incoming generations.
Ila jamaa akatohoa idea tokea kula tunda kimasihara mpaka kula tunda LA ugenini.
Over all no special raga ya mapenzi ni hisia ulizo Nazo na MTU kama hauna hisia sipo mapenzi ni jela.
Hawanyoi, why?
Baridi kwny mbunye au kwa mpalange?
Hawanyoi, why?
Nimeamua Kucheka naona unaji defend. Haya banamkuu kuna nyuz za innovation.....h
Dah!pole sana mkuu sometimes ndo hvyo vitu vingine vzuri ila havidumuOkay mkuu iko ivi yule dada alikua ananipenda but muda wao wakukaa bongo ukawa umeisha ikatakiwa arudi dortmund ndo kwao sasa mimi nikamwambia twende wote alikataa ctry zikawa mingi visingizio kibao mara ooh hujui kijerumani utapata tabu mara ooh unawaachaje wazazi wako brah brah zikawa nyingi sasa kati ya wale rafiki zake mnikamuuliza mmja why x ananiavoid saizi rafki yake akanambia kule dortmund ana msela mimi kusikia ivyo nilijisikia vibaya sana hata ile ya mwisho ananiaga alinambia show ya mwisho inabidi niende nae zenji ndo nikalie tunda uko kama week ivi niwenae kabla hajaondoka kwa bahati mbaya ndo ilikua week naanza END OF YEAR EXAM dhaa niliumia sana sitosahau nilifanya exams ninastress balaa nikaambulia kugongwa sup 5 on spot na mrembo akaondoka akaniacha ulikua wakati mgumu sana kwangu kunamengi sana yaliendelea acha niishie hapo Eng.matata
Hujanipa mrejesho wa tumbo letu my dear @creditAnalist!Huyu kapungua Sana saiv.yaani Sana..
Anaitwa Rebel
demu wa bongo asipo nyoa muda mrefu zinakua kama stiri waya, ya kuzuguria sufuriani kama ka utamaduni kao mbona hata hapa kwetu wapo wadada hawanyoi