Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

mi nimechakata moja ya Ireland na moja ilikua inatokea Malta italy hii ya Ireland bado nna mawasiliano nayo manake kama nilioa niliichakata kwa miaka minne
Toa namba basi
 
Okay mkuu iko ivi yule dada alikua ananipenda but muda wao wakukaa bongo ukawa umeisha ikatakiwa arudi dortmund ndo kwao sasa mimi nikamwambia twende wote alikataa ctry zikawa mingi visingizio kibao mara ooh hujui kijerumani utapata tabu mara ooh unawaachaje wazazi wako brah brah zikawa nyingi sasa kati ya wale rafiki zake mnikamuuliza mmja why x ananiavoid saizi rafki yake akanambia kule dortmund ana msela mimi kusikia ivyo nilijisikia vibaya sana hata ile ya mwisho ananiaga alinambia show ya mwisho inabidi niende nae zenji ndo nikalie tunda uko kama week ivi niwenae kabla hajaondoka kwa bahati mbaya ndo ilikua week naanza END OF YEAR EXAM dhaa niliumia sana sitosahau nilifanya exams ninastress balaa nikaambulia kugongwa sup 5 on spot na mrembo akaondoka akaniacha ulikua wakati mgumu sana kwangu kunamengi sana yaliendelea acha niishie hapo Eng.matata
Yani mzungu anakuvuruga kichwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]itakuwa ulitaka tuu Kuja ulaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yani mzungu anakuvuruga kichwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]itakuwa ulitaka tuu Kuja ulaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha kiukweli pamoja na kua njia yangu mimi kwenda ulaya lakini pia for that little moment i had with her..alinibadili sehemu kubwa ya maisha yangu kuanzia ushauri,upendo uzungu kidogo wao wako simple sio kama hawa dada zetu mkuu.
 
Toto ya kithailand hiyo
IMG_20210119_085216.jpg
 
Okay mkuu iko ivi yule dada alikua ananipenda but muda wao wakukaa bongo ukawa umeisha ikatakiwa arudi dortmund ndo kwao sasa mimi nikamwambia twende wote alikataa ctry zikawa mingi visingizio kibao mara ooh hujui kijerumani utapata tabu mara ooh unawaachaje wazazi wako brah brah zikawa nyingi sasa kati ya wale rafiki zake mnikamuuliza mmja why x ananiavoid saizi rafki yake akanambia kule dortmund ana msela mimi kusikia ivyo nilijisikia vibaya sana hata ile ya mwisho ananiaga alinambia show ya mwisho inabidi niende nae zenji ndo nikalie tunda uko kama week ivi niwenae kabla hajaondoka kwa bahati mbaya ndo ilikua week naanza END OF YEAR EXAM dhaa niliumia sana sitosahau nilifanya exams ninastress balaa nikaambulia kugongwa sup 5 on spot na mrembo akaondoka akaniacha ulikua wakati mgumu sana kwangu kunamengi sana yaliendelea acha niishie hapo Eng.matata
Ww ulikua ni tatizo,
 
mi nimechakata moja ya Ireland na moja ilikua inatokea Malta italy hii ya Ireland bado nna mawasiliano nayo manake kama nilioa niliichakata kwa miaka minne
Mkuu hongera sana, mie natafuta mrembo Myahudi.
 
Back
Top Bottom