Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani mzungu anakuvuruga kichwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]itakuwa ulitaka tuu Kuja ulaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Okay mkuu iko ivi yule dada alikua ananipenda but muda wao wakukaa bongo ukawa umeisha ikatakiwa arudi dortmund ndo kwao sasa mimi nikamwambia twende wote alikataa ctry zikawa mingi visingizio kibao mara ooh hujui kijerumani utapata tabu mara ooh unawaachaje wazazi wako brah brah zikawa nyingi sasa kati ya wale rafiki zake mnikamuuliza mmja why x ananiavoid saizi rafki yake akanambia kule dortmund ana msela mimi kusikia ivyo nilijisikia vibaya sana hata ile ya mwisho ananiaga alinambia show ya mwisho inabidi niende nae zenji ndo nikalie tunda uko kama week ivi niwenae kabla hajaondoka kwa bahati mbaya ndo ilikua week naanza END OF YEAR EXAM dhaa niliumia sana sitosahau nilifanya exams ninastress balaa nikaambulia kugongwa sup 5 on spot na mrembo akaondoka akaniacha ulikua wakati mgumu sana kwangu kunamengi sana yaliendelea acha niishie hapo Eng.matata
Hahaha kiukweli pamoja na kua njia yangu mimi kwenda ulaya lakini pia for that little moment i had with her..alinibadili sehemu kubwa ya maisha yangu kuanzia ushauri,upendo uzungu kidogo wao wako simple sio kama hawa dada zetu mkuu.Yani mzungu anakuvuruga kichwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]itakuwa ulitaka tuu Kuja ulaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wajaluoa a.k.a black beutyna tulioruka na wajaluo wa Kenya uzi unatuhusu huu? [emoji23][emoji23][emoji23]
hamnaga ubaguzi huko China na Japan?Toto ya kithailand hiyoView attachment 1680954
Wazee wa brazzers na xvideos unakuwa ushawajuaHuyu kapungua Sana saiv.yaani Sana..
Anaitwa Rebel
Shida hawanaga maajabuToto ya kithailand hiyoView attachment 1680954
Ujeremani!Ulikooa wapi ujerumani au
Ww ulikua ni tatizo,Okay mkuu iko ivi yule dada alikua ananipenda but muda wao wakukaa bongo ukawa umeisha ikatakiwa arudi dortmund ndo kwao sasa mimi nikamwambia twende wote alikataa ctry zikawa mingi visingizio kibao mara ooh hujui kijerumani utapata tabu mara ooh unawaachaje wazazi wako brah brah zikawa nyingi sasa kati ya wale rafiki zake mnikamuuliza mmja why x ananiavoid saizi rafki yake akanambia kule dortmund ana msela mimi kusikia ivyo nilijisikia vibaya sana hata ile ya mwisho ananiaga alinambia show ya mwisho inabidi niende nae zenji ndo nikalie tunda uko kama week ivi niwenae kabla hajaondoka kwa bahati mbaya ndo ilikua week naanza END OF YEAR EXAM dhaa niliumia sana sitosahau nilifanya exams ninastress balaa nikaambulia kugongwa sup 5 on spot na mrembo akaondoka akaniacha ulikua wakati mgumu sana kwangu kunamengi sana yaliendelea acha niishie hapo Eng.matata
Mkuu hongera sana, mie natafuta mrembo Myahudi.mi nimechakata moja ya Ireland na moja ilikua inatokea Malta italy hii ya Ireland bado nna mawasiliano nayo manake kama nilioa niliichakata kwa miaka minne
Tuambieni na mliodate wanaume wazungu, Wana maajabu?
Weee wote?Si nasikia wanapitiwa uani. Hahaaa
rahisi kuwapata kwenda kuchakataBure bure unamanisha nini
mixer mkuuPale Q Bar expats au watalii?