Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

Tuliowahi date na wadada wa mataifa mengine tutoe ushuhuda

wazungu sio watu wa kupenda hela kama wabongo mfano mi pisi zangu zote mbili ilikua tukitoka out we share the bill huo ni utamaduni wa wenzetu mkuu tena anagoma kabisa usilipe au ukilipa atakuludishia mkifika home
Yaa of course sio wanyonyaji
 
dhaa we acha tu mkuu yule dada alinifanya nijute kwanini alinijia katika maisha yangu huku alijua angeniacha mbeleni dhaa so sad man..
Mademu Wa kizungu huwa wanapenda tu show za kiafrika kama burudani ila sipo kuolewa. Akiolewa na mwafrika ni aibu sana kwao tena sana sema nyie hamjui wazungu wanavyotuchukuliaga jamani. Wanajua sie ni wavivu Wa kufanya kazi ila kazi tunayoweza ni kuzaana na kuchakata papuchi. Yaani tunanyanyapaliwa ile mbaya kwao. Binti inakuwa hayuko proud kukutambulisha kwa wenzake marafiki. Inaonekana kaenda kwa race ama illite societies. Kaenda kwa race masikini sana ambayo ni duni ambayo hawana akili. Mara race sawa na ya nyani.
Wale wanaolewa na blacks wengi ni madunga yembe I.e marketlesss. Wanaochezaga makasino ama barmaids ama waiters.
Ila kung'oa kabisa kisu kama kisu familia tajiri wanaojitambua na wenye hadhi na mgongane na vijana Wa kizungu afu binti aje kwako ni ngumu sana kati ya laki walioelewa ni mmoja tu ndo akaolewa na blacks.
Karibu kwa maoni
 
Yani mzungu anakuvuruga kichwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]itakuwa ulitaka tuu Kuja ulaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alimpenda kingono tu ili amburudishe na wala sipo kuwa ni Upendo ule Wa dhati yaani ni never. Mzungu anatumia sex toys bana anamaliza haja zake anapiga kwa Taifa lake afu mmewe anatolewa mbegu anapachikwa anazaa MTT kwishnei.
Sex waachie waafrika waiabudu jamani watafute heshima BASI waendeelee kuwa masikini
 
Mademu Wa kizungu huwa wanapenda tu show za kiafrika kama burudani ila sipo kuolewa. Akiolewa na mwafrika ni aibu sana kwao tena sana sema nyie hamjui wazungu wanavyotuchukuliaga jamani. Wanajua sie ni wavivu Wa kufanya kazi ila kazi tunayoweza ni kuzaana na kuchakata papuchi. Yaani tunanyanyapaliwa ile mbaya kwao. Binti inakuwa hayuko proud kukutambulisha kwa wenzake marafiki. Inaonekana kaenda kwa race ama illite societies. Kaenda kwa race masikini sana ambayo ni duni ambayo hawana akili. Mara race sawa na ya nyani.
Wale wanaolewa na blacks wengi ni madunga yembe I.e marketlesss. Wanaochezaga makasino ama barmaids ama waiters.
Ila kung'oa kabisa kisu kama kisu familia tajiri wanaojitambua na wenye hadhi na mgongane na vijana Wa kizungu afu binti aje kwako ni ngumu sana kati ya laki walioelewa ni mmoja tu ndo akaolewa na blacks.
Umeongea kitu kikubwa sana bro wazungu kabisa from good family hawezi date na mtu black man.
 
Okay mkuu iko ivi yule dada alikua ananipenda but muda wao wakukaa bongo ukawa umeisha ikatakiwa arudi dortmund ndo kwao sasa mimi nikamwambia twende wote alikataa ctry zikawa mingi visingizio kibao mara ooh hujui kijerumani utapata tabu mara ooh unawaachaje wazazi wako brah brah zikawa nyingi sasa kati ya wale rafiki zake mnikamuuliza mmja why x ananiavoid saizi rafki yake akanambia kule dortmund ana msela mimi kusikia ivyo nilijisikia vibaya sana hata ile ya mwisho ananiaga alinambia show ya mwisho inabidi niende nae zenji ndo nikalie tunda uko kama week ivi niwenae kabla hajaondoka kwa bahati mbaya ndo ilikua week naanza END OF YEAR EXAM dhaa niliumia sana sitosahau nilifanya exams ninastress balaa nikaambulia kugongwa sup 5 on spot na mrembo akaondoka akaniacha ulikua wakati mgumu sana kwangu kunamengi sana yaliendelea acha niishie hapo Eng.matata
pole mkuu sasa mtaro kidogo tu na ulaya ulitaka kwenda
 
Umeongea kitu kikubwa sana bro wazungu kabisa from good family hawezi date na mtu black man.
Mbona akina pogba akina mbappe wanakula toto za kizungu acheni hizo nyie hela yako tu ndo itaongea
 
Ila anaweza akakupa gemu kama starehe ya ngono.mkishamalizana hakujui yaani k.v umekunywa soda/bia afu huwezi kukumbuka chupa uliyonywea kinywaji ama mvuta sigara hakumbuki kishungi cha sigara.
Pia wazungu watu Wazima wanaojua mziki Wa kiafrika kwa ngono huwa hawapendi uwasogelee ama kujenga mazoea na binti zao. Wanakupa onto Kali sana.
Binafsi kuna demu nilikutana naye underground train wao wanaoita metro.
Sasa bana nikaona kademu kabinti mazuri nikakufuata kukaulizia stesheni Fulani napandaje metro akanionyesha namna ya kutumia pale kituoni wameonyesha sema mgeni Wa lugha mie enzi hizo.
Sasa bana demu akanirushia soft copy unaandika ulipo na unapenda inakuonyesha nikafurahi.
Ila kiuhalisia nilimuulizia ili nicheki na zali LA mentali.
Tukapiga story nikaomba namba nikapewa bana.
Binti yuko pekee kwao afu sikujua alikuwa anafanya kazi chuoni nilichokuwa nasoma tena kwa blocks za kulala.
Binti nikawa nachati naye. Wana program wanaandika kirusi wanatafsiri English anakutumia ,ukimtumia fasta anabadilisha lugha anasoma anakaujibu.
Ukipiga bana hawezi ongea anakuambia ya bye znayu pa englisiki I e I don't know english ama chuchuti yaani a little bit English.
Binti kuna Sikh naongea naye hatuelewani akaniita internet cafe akaniambia kwa kirusi ila nikamuelewa kuwa andika hapa ulichokuwa unaniambia.
Nikaandika binti aka translate muda huko sikuwa na uzoefu na internet sana.
Binti alikuwa kunipa gemu Mara moja ila akanikacha sana kisa aliona kama nitamganda mana wapo wasiopenda kugandana.
Sex kwa mzungu sipo big deal sana kwao ni easy sana.
Mademu wao wanapenda ngono ila wanaume wao hakuna kitu hawapendi wana shida na nguvu za kiume ambazo ndo zinaanza kuikumba afrika.
Afu wanaume Wa kiafrika wanapenda sana ngono ila mademu black sipo sana .
Ivyo akikutana mzungu demu na black mwanamwanaume ni mwendo Wa ngono Kwenda mbele.

Mademu Wa kizungu wana hali sana usiambiwe. Unaweza ukafungwa kisa hujamkaza mana itapata stress akaleta majanga.
Unaweza ukaopoa demu mkafika room akamkubali mshkaji anakukataa akasema napenda huyu Anile huwezi mind atakuambia kuwa kwani miwili ni wako unaliwa .
Huko kwao wana haki wao kwanza afu pets finally mwanaume.
 
Nilikula Masai wa Kenya, mtoto mtamu balaa .Ana midadi sijapata ona, nilimtomba Hadi akakojoa akaanza kutuka juu juu kimasai huku me namsubiri Ashuke nimsugue.Kila nikipiga bao anaruka juu ,,yani masai yule Ni mnato mbele na nyuma
 
Mbona akina pogba akina mbappe wanakula toto za kizungu acheni hizo nyie hela yako tu ndo itaongea
Yeess ukiwa na Hela unawala pia mkuu. Na wao ni binadamu wanapenda raha na mtelezo sana. Hata usain bolt nadhani anaye mzungu.
Ila ukiwa kapuku hakuna kitu.
Familia ya kihindi unaijua mpaka umuoe binti wao ama wale waarabu pia achana na hawa waarabu koko. Lazima uwe na kashi chafu sana mkuu.
Nimekuambia kuwa wanatuchukia kisa ya umasikini wetu so unapokuwa una Hela wanakupenda pia. Ila hao wanaotafunwa na wao ni màsikini mana atakuwa anamlipia apartment hapo so chini ya dola 8000 kwa mwezi.
Ila akitafuna mbinti tokea familia ya trump,Clinton, malkia Elizabeth.
Wale mabinti Wa mawaziri,loyal societies, elite groups sijui kama unazijua mkuu. Hao unaosema Hela yako tu unawala ulizia kama atakula MTT Wa tokea familia ya Angela merkel , waziri Wa ujerumani,Austria ama Swaziland, USA ama Italy. Kama wapo wanaoliwa na blacks MIE nageuza jinsia.
Watu muwe mnaelewa jamani sipo kuleta ujuaji na MTU haleti kisa hapa kama ligi, kuonyesha kuwa anajua sana afu tena Ishu za k hazina hata tuzo. Ukipiga stories na mzungu anakuchora tu unavyopenda ngono mnazaliana mpaka mnashindwa kuwahudumia basics needs.

Elewa hata ulaya wapo ombaomba wanakuomba hata wewe blacks Hela.
Pia wanashangaa kuwa ulifikaje kwao nauli ulitoa wapo mana ni gharama sana. Ulizia NTU yeyote aliyesafiri angani so chini ya masaa kumi mkuu Uko tu angani nauli yake.
Masikini anayelipwa Hela ambayo haikutani na nyingine ya mwisho Wa mwezi.
Ni kwa nini asishobokee blacks kisa ya Hela ama jina pia.
Niambie ni MTT gani binti safi ambaye atagongwa na nyani gorilla ama muwaza ngono kuliko kazi na tafiti mbalimbali.agongwe na race duni Ikitokea ni kwa siri sana tena binti atachafua sana damu yao na race duni ambayo inaandamwa na kila aina ya laana.
Eti mbona mbape na Pogba wanakula totozi hatujakataa yaani wanakula mpaka wanazikimbia hata wewe pia waweza ila umle MTT Wa mfamle Wa saudia, Wallah dunia inageuka uelekeo Wa rotion mkuu.
Duu mpaka nimechoka kama hautanielewa kazi kwako.
Ila kama unakumbuka kuna mkenya ameshawahi rudishwa Kenya mana walikuwa close na binti Wa Clinton walipendana. Mtapendana na mtakulana ila wazazi hawatabariki ama kuwa proud kuolewa na wapenda k na waabudu bikra kama ndo urithi wao.
Kuna jamaa anaenda humu bikra kuliko lile jiwe LA Laizer Saniu sijui ni joka jeupe.
Jamaa ukimuwekea Tanzanite na bikra yeye atachukua bikra ila MIE nitachukua jiwe.


Kwa hisani ya mzee Wa bikra
 
Nilikula Masai wa Kenya, mtoto mtamu balaa .Ana midadi sijapata ona, nilimtomba Hadi akakojoa akaanza kutuka juu juu kimasai huku me namsubiri Ashuke nimsugue.Kila nikipiga bao anaruka juu ,,yani masai yule Ni mnato mbele na nyuma
Ulikula na kisamvu mkuu
 
Yeess ukiwa na Hela unawala pia mkuu. Na wao ni binadamu wanapenda raha na mtelezo sana. Hata usain bolt nadhani anaye mzungu.
Ila ukiwa kapuku hakuna kitu.
Familia ya kihindi unaijua mpaka umuoe binti wao ama wale waarabu pia achana na hawa waarabu koko. Lazima uwe na kashi chafu sana mkuu.
Nimekuambia kuwa wanatuchukia kisa ya umasikini wetu so unapokuwa una Hela wanakupenda pia. Ila hao wanaotafunwa na wao ni màsikini mana atakuwa anamlipia apartment hapo so chini ya dola 8000 kwa mwezi.
Ila akitafuna mbinti tokea familia ya trump,Clinton, malkia Elizabeth.
Wale mabinti Wa mawaziri,loyal societies, elite groups sijui kama unazijua mkuu. Hao unaosema Hela yako tu unawala ulizia kama atakula MTT Wa tokea familia ya Angela merkel , waziri Wa ujerumani,Austria ama Swaziland, USA ama Italy. Kama wapo wanaoliwa na blacks MIE nageuza jinsia.
Watu muwe mnaelewa jamani sipo kuleta ujuaji na MTU haleti kisa hapa kama ligi, kuonyesha kuwa anajua sana afu tena Ishu za k hazina hata tuzo. Ukipiga stories na mzungu anakuchora tu unavyopenda ngono mnazaliana mpaka mnashindwa kuwahudumia basics needs.

Elewa hata ulaya wapo ombaomba wanakuomba hata wewe blacks Hela.
Pia wanashangaa kuwa ulifikaje kwao nauli ulitoa wapo mana ni gharama sana. Ulizia NTU yeyote aliyesafiri angani so chini ya masaa kumi mkuu Uko tu angani nauli yake.
Masikini anayelipwa Hela ambayo haikutani na nyingine ya mwisho Wa mwezi.
Ni kwa nini asishobokee blacks kisa ya Hela ama jina pia.
Niambie ni MTT gani binti safi ambaye atagongwa na nyani gorilla ama muwaza ngono kuliko kazi na tafiti mbalimbali.agongwe na race duni Ikitokea ni kwa siri sana tena binti atachafua sana damu yao na race duni ambayo inaandamwa na kila aina ya laana.
Eti mbona mbape na Pogba wanakula totozi hatujakataa yaani wanakula mpaka wanazikimbia hata wewe pia waweza ila umle MTT Wa mfamle Wa saudia, Wallah dunia inageuka uelekeo Wa rotion mkuu.
Duu mpaka nimechoka kama hautanielewa kazi kwako.
Ila kama unakumbuka kuna mkenya ameshawahi rudishwa Kenya mana walikuwa close na binti Wa Clinton walipendana. Mtapendana na mtakulana ila wazazi hawatabariki ama kuwa proud kuolewa na wapenda k na waabudu bikra kama ndo urithi wao.
Kuna jamaa anaenda humu bikra kuliko lile jiwe LA Laizer Saniu sijui ni joka jeupe.
Jamaa ukimuwekea Tanzanite na bikra yeye atachukua bikra ila MIE nitachukua jiwe.


Kwa hisani ya mzee Wa bikra
Mbona Samuel etoo alimla mjukuu wa mfalme
 
Mwezi ulioisha tu nimeokota Dodo la kifaransa likanitunuku penzi moja maridhawa saaana. Mkasa mzima huo hapo chini;

Wazungu Wana roho za huruma Sana huyu demu aliokota paka watoto wamekonda balaa huko mjini, akawachukua akawapa msosi akaja nao Hadi Hotel kwake alipofikia. Akamtafuta dokta wa mifugo wakapewa first aid na matibabu kwa ujumla wakarecover kiaina wale paka.

Sasa hakufurahia maisha ya pale Hotel kwa wale paka, mjomba wako nikaingilia Kati nikamuomba anipe jukumu la kuwalea ntamsaidia sababu Mimi Nina space kubwa ninapoishi. Demu akakubali akasema ntakuja kwanza kupaona. Jioni tukaogozana Hadi magetoni kwangu. Akapaona akayapenda mazingira sababu palikuwa decent and friendly with less movement.

Akaniambia atanipa paka wake na atakuwa anakuja kuwaona almost daily sababu anataka kuona wakiwa na furaha. Nkawambia Haina Shaka.

Nikaona Kama anaanza kuniamini na kunikubali saana. jioni yake akaniarika dinner ya wawili tu Mimi na yeye tu. Nkasema fresh. Jioni nikajiweka simple tu ila uturi mwanana wa kutosha. Nkatimba kwenye Dinner ilikuwa kazi uma na kisu kwenye kula niliteseka nkajitoa akili nikaweka pembeni nikaomba maji ya kunawa .. nikala na mikono Basi Hana mbavu kwa kucheka mfaransa.

Ilipofika saa nne usiku akaniambia twenzetu party, nikamjibu "your wish is my command honey" akanipa tabasamu la huba. Nikajisemea leo naua huyu. Tukaenda club .. dance Sana, kula Tungi akakolea Basi mmatumbi nikamnywa mate Kama Lita tano hivi Mzungu. [emoji16][emoji16] Mzungu kalegea... Chini pashaloa nikajua mi5 tena hiii.

Tukaita taxi fasta demu ananiambia anataka akawaone paka wake kwangu saa Tisa hiyo usiku.. nikajua tu zile password nilizoweka tayari nshamunlock. Fasta nikaanza kumpa maelekezo dereva tukafika Hadi home.

Fasta akafika akawakiss pake wake. Nikawambia it's getting late, would you please sleep with us yaani mimi na paka wake atupe company... Mjomba wako nawatumia paka Kama shield ya mapambano ya kumng'oa Mtasha.

Akakubali kulala, that's was second a mistake kwake kuruhusu kulala sababu nilipanga nimroge kwa ufundi wangu wote nliojifunza kwa miaka 29 ya kuwepo humu Duniani isitoshe nlijua hiki leo ndio kipimo nikipiga show ushuzi ya kihindi tu, ntaachiwa paka ambao Mimi Sina hata shida nao.

Nakiri wazungu wako romantic saana, nilinyonywa paipu ya kuzalishia mtoto kwa ufundi Hadi nikajisemea leo nimepatikana. Afu demu anataka umtombe Kama kakuibia ndio fantasy yake, nlikuwa napeleka Moto huku nawaza masuala ya madeni yangu yote ya Vicoba na Stories za baba yangu aliepigana Vita ya Msumbiji bila ya buti Siku hiyo nilijua tu asubuhi lazima nikute malalamiko maana mtoto hajibanii analia kwa sauti yote... Analia fuc*k me harder Singa. Asubuhi naamka nakutana na jirani yangu Mama Mudi anacheka tu!

Kuanzia ile show Hadi leo Niko nae next month anarudi kwao. Ila kwa Sasa anakula na kulala kwangu yeye na paka wake... Nimewa adopt! [emoji38]

Mtoto mfaransa ana lafudhi flani tamu ya English iliyonakshiwa na French accent.. huwa ananiambiaga "We invented French kiss" [emoji8] sababu yeye Ni mfaransa na anaijua deep kiss vyema kwa vyema na kweli nlithibitisha.. she is a good kisser. [emoji8]

Nyie naomba niwaambie " it feels like love has finally found me" ndo nawaambia hivyo.

Nimebakiza wiki 3 za kukaa nae lakini tuko in mad love Hadi tunaona Kama ni siku tatu tu mbaya zaidi anataka kuondoka nae paka Hadi kwao Paris.

Zingatia; kielelezo Cha picha Ni siku laazizi wangu wa kifaransa akimleta paka kwangu ili nimuadopt.

Nyingine nikipewa mate Lita nne. [emoji23]

Mniombee! View attachment 1681307
View attachment 1681336
Mkuu kila LA hero kwako furaha kwako.
Ila nimechekaje usiku huu sema nipo sebuleni na wote wamelala.
Nimecheka eti mitano tena yaani hapo nimecheka sana nashukuru unaweza ukawa wewe ndiye umenicheksha kwa 2021.
Ila jiandae kiakili mkuu akiondoka mazima mana naye ana NTU yake kwao.
Nyie mnakula ngono tu.
Yaani mate wanakula sana.
Binafsi kuna binti nilimchezeaga sana klub ambayo wanaedaga wanafunzi Wa shuleni.
Binti alikuwa na body lililojaa Fulani kama LA kibantu na maziwa yamejaa afu magumu saizi ya dafu mana ndo pigo zangu nazirai na mguu alikuwa nao.
Nilikula mate kama yote maziwa nikanyonya nahisi mpaka MTT wake 2a kwanza atakuja kumaindi kuwa mama maziwa yangu yalinyonywa na sokwe MTU kabila yangu.
Yule MTT ningeambiwa toa 500 cows kama ninazo natoa kilaini sana.
 
Mbona Samuel etoo alimla mjukuu wa mfalme
Alimla ila kama starehe. Hujawahi ona binti anapenda ila familia haipendi ndo kilichopo.
Yaani waafrika mko vizuri kwa kushika data za k yaani nadhani tuongeze mitano tena ila kushika data za ni kwa nini Sisi masikini hakuna.
Yaani ninaomba mifaivu tena
 
Back
Top Bottom