Tuliowahi kuagizwa Mzazi shuleni tukaleta wazazi feki tukutane hapa.

ulikuwa zuzumagic
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

I have a dream.
 
Haya mambo haya we acha tu kuna jamaa alikuwaga mpiga kareti alikuwaga anatufu disha hayo makareti nikambeba na kumpanga kabisa kuwa tukifika shule wakimwambia tu kosa avunge ananipiga ili waalimu wampoze na ishu hiishe yula fara sitamsahau kipigo kile ilibidi me ndio nitoboe sili huyu sio mzazi wangu uku nakimbilia kwa walimu
 
Nakumbuka niliagizwa mzazi na mkuu wa shule baada ya kufanya kosa fulani, nikatafakali nikaona kama nikimpeleka babangu tukifika tu lazima yeye ndo atakua wa kwanza kunipiga mana baba yangu kwa kupenda sifa za kugawa kipigo nikaona bora nimpange jamaa mmoja nashukulu lilisovika vizur.[/QUOTE]
nakumbuka niwewahi kuagizwa mzazi nikampanga boda boda awe kama mzazi wangu tukakubaliana kiasi cha kulipana lakini nilikuwa nmechanganyikiwa kwa hofu ya kuwaogopa wazazi wangu kama wakijua kuwa nimesimamishwa masomo cha ajabu na uzuzu wangu sikuweza kukumbuka kumwambia jina langu nae hakuweza kunikumbusha,,,,,sasa tukiwa ofisi ya nidhamu duh
mwalimu; karibu mzee
boda boda; asante
mwalimu;we ndio mzazi wa huyu kijana?
boda boda; mimi ndie
mwalimu;mwanao anaitwa nan?
duuh ndipo nilipogundua uchwara nilioufanya yule boda boda alikuwa hanijui jina basi aligeuka na kunitazama huku macho yamemtoka,,,nikajua naumbuka leo, saa ngap yule boda boda asinichape vibao mbele ya waalimu akixema anaulizw jna akat m npo ko sitosahau
 
nakumbuka niwewahi kuagizwa mzazi nikampanga boda boda awe kama mzazi wangu tukakubaliana kiasi cha kulipana lakini nilikuwa nmechanganyikiwa kwa hofu ya kuwaogopa wazazi wangu kama wakijua kuwa nimesimamishwa masomo cha ajabu na uzuzu wangu sikuweza kukumbuka kumwambia jina langu nae hakuweza kunikumbusha,,,,,sasa tukiwa ofisi ya nidhamu duh
mwalimu; karibu mzee
boda boda; asante
mwalimu;we ndio mzazi wa huyu kijana?
boda boda; mimi ndie
mwalimu;mwanao anaitwa nan?
duuh ndipo nilipogundua uchwara nilioufanya yule boda boda alikuwa hanijui jina basi aligeuka na kunitazama huku macho yamemtoka,,,nikajua naumbuka leo, saa ngap yule boda boda asinichape vibao mbele ya waalimu akixema anaulizw jna akat m npo ko sitosahau
 
hahahahaa unanikumbusha mbali sana aisee......mi nlipataga msala mpaka nikasimamishwa masomo form 3 hyo....sasa niliambiwa wakat wa kurud kureport nije na mzazi......sasa home sikwenda nikamaliza adhabu yangu ya miez miwili kwa kukaa geto kwa washkaji........
Wakat wa kwenda kureport nikalitafuta jamaa moja hiv jitu zima kabisa nikalipa buku 5 nakuliambia likajifanye ni libaba langu.....yn nikalipanga kila kitu kwamba likavae uhusika haswaaaa....

Sasa tumefika pale mkuu akaanza kunikandia kinoma bs jamaa nalo likawa linanikandia mala likaanza na kunipa vibao aisee.....mara nikashangaa linachukua na viboko na kuanza kunitembezea vya kutosha..........msala uliishia pale lkn jamaa lilinipiga sana yn mpka mkuu akaanza nionea huruma......nilishangaa sana yn daaahh.
 
Daah sitasahau nilimtamtafuta Mzee mmoja nikamlipa 20k anisaidie Ku solve msala shule, tulikuwa tumevunja viti vya brass na kwenda kuuza chuma chakavu, daah Mzee alinipiga mpaka nikatamani ningekuwa nimemleta mzazi wangu, baada ya hapo akaniambia mpuuzi sana wewe umevunja viti wenzako wakalie nini
 
Nililikodi jamaa moja, basi kesi ikawa imeishia kuwa linichape mbele ya wanafunzi lilinichapa kweli kuliko hata ambavyo angenichapa mshua nilichukia sana nikagoma hata kulipa buku 10.
 
Hahaa...mkuu haya mambo ya wazazi nakumbuka mbali sana ingawa haikuwa mimi wala huyo mtu hakuleta mzazi feki shule ni. Nakumbuka tuko la tatu au la pili shule ya msingi Mburahati. Jamaa alikuwa anamuuzia mwalimu visheti anaweka ktk deli la tosi. Sasa siku ile yule muuzaji sijui kavurugwa au vip...kengele ta mapunziko ilipogongwa wachache wakawa wapo darasani wale ambao hawana pesa na wanaomalizia kukopi notes. Muuza visheti naye alikuwepo darasani. Mara akatangaza nani anataka visheti kila mtu akaitika mimi ...mimi ...Mimi. Jamaa akaviweka juu ya dawati watu wagombanie....vikaliwa vyote within seconds...

Kesi inakuja....

Mwalimu mwenye visheti alipomuiliza jamaa akasema mi nilitoka nliporudi nikakuta vimeliwa...akauza kesi kwa waliobaki darasani. Nao hawakukubali wakaeleza ilivyokuwa...mwalimu akasema alipwe kila mtu hana pesa.......
Jamaa akaambiwa aje na mzazi....hapa sasa bora angeleta mzazi feki....
Akamleta baba yake...mlevi wa pombe za kienyeji...kachoka....anahema kwa kasi sana...
Walipofika walimkuta mwalimu anafundisha darasani....baba mtu akapilitiliza bila hodi mpka ktk dawati la mwalimu lile linalokaaga mbele pale akakaa pale anahema ni kiama kila mtu anashangaaaaaa......mzazi akatema shombo kwa mwalimu kisha akasepa bila kuaga hahaha
 
Umenikumbusha mbali kaka
 
Mimi nakumbuka shule maza alinikabidhi kwa walimu nlikuwa sina ujanja wa kudanganya mzazi ila nlikuwa mtundu mpk wenyewe walinyoosha mikono
 
We nini bana, wenzako tuliagizwa tupeleke wazee, tukawapanga vizuri marafiki zetu, kufika shule jamaa akaambiwa mwanao hana adabu itabidi uanze mwenyewe kumcharaza bakora. Jamaa tulipanga vizuri, nikaona kweli anaanza kunicharaza, kufika cha sita nikamwambia "mwanangu unaharibu" akajibu vumilia, dadeki kufika cha kumi, niliruka samasoti moja kali sana, kickboxer mixer[emoji13] [emoji13] dadeki hapo ndio alijua kwanini wamakonde si watu wa pwani wakati Mtwara kuna bahari [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Hahahahaaaa, najua kilichofata ni saspeshen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…