Tuliowahi kuagizwa Mzazi shuleni tukaleta wazazi feki tukutane hapa.

Tuliowahi kuagizwa Mzazi shuleni tukaleta wazazi feki tukutane hapa.

Mimi nilimpeleka Mtu ' Feki ' na nakumbuka tulikubaliana vizuri tu, nikamtoa hadi na ' mtonyo ' kiaina na kujiaminisha kuwa nimemuweza Headmistress Wetu na nikawa natamba kabisa ( ila siyo kama Aslay katika Wimbo wake ) lakini cha kushangaza nilipoingia nae tu Yule Mtu ' Feki ' katika eneo la Shule alinichenjia pale pale na badala sasa ya kuwa ' Mtetezi ' wangu kama tulivyokubaliana akageuka kuwa ' Pilato ' wangu na sijawahi kupigwa Viboko vya Kikatili / Kishalubela kama ambavyo nilipigwa Siku ile na hadi leo hii na Utu uzima wangu huu zile mboko / bakora / fimbo kuna muda huwa nazisikia maumivu yake na ' sometimes ' huwa naziota pia. Tokea Siku hiyo nilishika adabu zangu zote!
Yallah mbavu zangu si kwa kucheka huku wallahi
 
Hahahah huu Uzi nimekumbuka mbali nimecheka sana,Mimi nilimpeleka mzazi fake mjeda,alikua ananitumaga sana kwa mchepuko wake,nikaona uyo uyo atanifaa,akavaa gwanda alikua na nyota mbili kauzu vibaya mno ,alivyofika ata walimu kuangalia ile sura ya kazi tu kueleza kosa langu lenyewe ilikua kazi,wakaanza kwa kusifia nimepata 1 mock.badae ndo mwalimu mmoja akaeleza kosa,yule mjeda akanidaka shingo kwa nyuma akasema uyu cha moto Leo atakiona ,ataenda kulala ndani ya maji siku tatu,akanitoa kwa nguvu ,utasema anaenda kuua mtu,,tulivyotoka nje ya geti tu akaanza kucheka akaniambia twende ukale bia,,hahah
Ahahahaha nimecheka sana, ulifanya kosa gani mkuu? Na wakati huyo mjeda anakupiga hiyo mikwara reaction ya walimu ilikuwaje? Je siku ya pili ulipokwenda shule walimu walikuambiaje?
 
Mimi nilimpeleka Mtu ' Feki ' na nakumbuka tulikubaliana vizuri tu, nikamtoa hadi na ' mtonyo ' kiaina na kujiaminisha kuwa nimemuweza Headmistress Wetu na nikawa natamba kabisa ( ila siyo kama Aslay katika Wimbo wake ) lakini cha kushangaza nilipoingia nae tu Yule Mtu ' Feki ' katika eneo la Shule alinichenjia pale pale na badala sasa ya kuwa ' Mtetezi ' wangu kama tulivyokubaliana akageuka kuwa ' Pilato ' wangu na sijawahi kupigwa Viboko vya Kikatili / Kishalubela kama ambavyo nilipigwa Siku ile na hadi leo hii na Utu uzima wangu huu zile mboko / bakora / fimbo kuna muda huwa nazisikia maumivu yake na ' sometimes ' huwa naziota pia. Tokea Siku hiyo nilishika adabu zangu zote!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana
 
Kun dogo juzi kaagizwa mzazi akaleta mvuta bangi mwenzie.

Tukamstukia tukamwambia inabidi amuadhibu mdogo wake, Jamaa akamshushi kipigo dogo hadi dogo alajikuta anaropoka kuwa huyo sio ndugu yake ni amemuokota tu. Tulicheka sana.
hahhahahahaha ticha tabia mbaya iyo
 
Kun dogo juzi kaagizwa mzazi akaleta mvuta bangi mwenzie.

Tukamstukia tukamwambia inabidi amuadhibu mdogo wake, Jamaa akamshushi kipigo dogo hadi dogo alajikuta anaropoka kuwa huyo sio ndugu yake ni amemuokota tu. Tulicheka sana.
hahhahahahaha ticha tabia mbaya iyo
Nilipata kesi ya kumtongoza mwalimu, nikapewa adhabu na barua kuwa jumatatu nije na mzazi wangu, nikaenda kumpanga mama mmoja tukaenda naye kwenye staff ya waalimu, kumbe yule mama ni dada yake na yule mwalimu niliyemtongozaga, kilichofuata sasa..... [emoji85] [emoji23]
hahahahahaha si kweli
 
Ukiona umeweza kuleta Mzazi fake jiulize mzazi wako alikuwa anafanya nini kama hata walimu hawamjui. Wewe si umelelewa na Jamii sasa
 
Mimi nilimpeleka Mtu ' Feki ' na nakumbuka tulikubaliana vizuri tu, nikamtoa hadi na ' mtonyo ' kiaina na kujiaminisha kuwa nimemuweza Headmistress Wetu na nikawa natamba kabisa ( ila siyo kama Aslay katika Wimbo wake ) lakini cha kushangaza nilipoingia nae tu Yule Mtu ' Feki ' katika eneo la Shule alinichenjia pale pale na badala sasa ya kuwa ' Mtetezi ' wangu kama tulivyokubaliana akageuka kuwa ' Pilato ' wangu na sijawahi kupigwa Viboko vya Kikatili / Kishalubela kama ambavyo nilipigwa Siku ile na hadi leo hii na Utu uzima wangu huu zile mboko / bakora / fimbo kuna muda huwa nazisikia maumivu yake na ' sometimes ' huwa naziota pia. Tokea Siku hiyo nilishika adabu zangu zote!
Hahahahaha, dah mkuu mwenyewe ilinitokea kama ilivyokutokea, asee yule mzee aliniramba bakora hadi nikakataa kumpa hela tuliyokubaliana na nikamwambia kama akitaka aende kushtaki. Stakaa nimsahau yule mzee.
 
Ukiona umeweza kuleta Mzazi fake jiulize mzazi wako alikuwa anafanya nini kama hata walimu hawamjui. Wewe si umelelewa na Jamii sasa
Poa tu mkuu, kulelewa nako mbona Sawa tu, tofauti yako wewe uliyelelewa na wazazi na sie sio kubwa sana hata hivyo.
 
Long time ago hiyo... nilimpeleka mmama alikua anasoma elimu ya watu wazima daah si akaambiwa anichape bhana akawa anaogopa kucheki vizuri list ya waalimu kuna mmoja home anapajua mpk bi mdashi akachongea kwa wenzake daah ikabidi nipandishe mori nisipigwe maana zilikua stick za kibabe na kosa lilikua kubwa full kufolenishwa ma dent kibaooo na waalimu chapaa eti watupige, thubutuuuuuuu.
 
nakumbuka niwewahi kuagizwa mzazi nikampanga boda boda awe kama mzazi wangu tukakubaliana kiasi cha kulipana lakini nilikuwa nmechanganyikiwa kwa hofu ya kuwaogopa wazazi wangu kama wakijua kuwa nimesimamishwa masomo cha ajabu na uzuzu wangu sikuweza kukumbuka kumwambia jina langu nae hakuweza kunikumbusha,,,,,sasa tukiwa ofisi ya nidhamu duh
mwalimu; karibu mzee
boda boda; asante
mwalimu;we ndio mzazi wa huyu kijana?
boda boda; mimi ndie
mwalimu;mwanao anaitwa nan?
duuh ndipo nilipogundua uchwara nilioufanya yule boda boda alikuwa hanijui jina basi aligeuka na kunitazama huku macho yamemtoka,,,nikajua naumbuka leo, saa ngap yule boda boda asinichape vibao mbele ya waalimu akixema anaulizw jna akat m npo ko sitosahau
Story yako imeishia kati eenh baada ya vibao ndio ukajitaja halafu ikawajeee???
 
ina mana humu hamna aliyewahi kua mzazi feki atupe nae ushuhuda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom