Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BagioSasa ni takribani miaka 20 inakarabia tangu kombe LA dunia LA mwaka 1998.
Moja kati ya best players niliokuwa nawakubali enzi hizooo.
Katika timu ya croation kuna mchezaji alikuwa anaitwa davor suker.
Timu ya Nigeria kulikuwa na mwako KANU,jay yay okocha, Sunday oliseah,
Timu ya uholanzi kulikuwa na Dennis beckamp,patric kluvert,
Haya na wewe tukumbushie
Bukoba ndo hua mnadanganywa Suka"dereva" imetokana na mchezaji,hahah
Vipi kuhusu madereva kuitwa Davoo pande za Arusha?imetokana na nini?Jina la Suka kwa Madereva lilikuja kabla ya Davo Suker.Lilitokana na usuka yaani usukani.
Dunia imeishiwa wachezaji.
Victor Ikipeba(mwili na physique ndogo ila mambo makubwa. Nigeria ya 98 ilibeba matumaini ya afrika, nakumbuka vizuri game yao na Spain walikua underdogs, walifanya yasiyotarajiwa....celestine babayaro, babanginda,ema amumike, Ikipeba, taribo west(green tree kumkichwa) kanu, jay jay okocha(chenga zake zile dhidi ya Denmark), mutiu adepoju, fundi finidi George, Sunday oliseh lile goal lake la shoot Kali kama bombardia dhidi ya Denmark, oparaku, ike ukwe chukwu, victor okpara, fundi kijiko mgawaji garba lawal, Rashid Yekin(RIP kaduna boy) langon unamkuta Peter Rufai[emoji460] kuta madogo eguavoen...huyu alikua anachenga za mauzi alikua anawekwa kumalizia game kama ilivokuaga kwa denilison wa Brazil....pemben ben iroha, Wilson oruma mkwonge huyu....
Nawaona mafundi okocha,taribo west,finidi george na wengineo
petit wabrazil hawatakaa wamsahauChristian Kalembeu ...Thiery Henry akiwa kijana kabisa... emanuel petiti
kuna victor Ikipeba pia hapo namudeku OkechukwuNawaona mafundi okocha,taribo west,finidi george na wengineo
Senegal haikuwemo babaDiofu Diao camara senegal
Wakati huo nilipokuwa naskia jina la kapten dunga likitajwa kila mara hadi nilikuwa najua kuwa captain pia ni jina lake kumbe ni cheo tu kwenye timu.Namkumbuka mtangazaji wa michuano hiyo kabulo wa kabulo
Utamsikia...kepten dungaa...ronaldoo
Wakati huo nilipokuwa naskia jina la kapten dunga likitajwa kila mara hadi nilikuwa najua kuwa captain pia ni jina lake kumbe ni cheo tu kwenye timu.
Nyakati zimepita sana...!!