sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Inaweza kuwa biashara yako inaenda vizuri, yaani kila ukifunga hesabu kimoyo moyo unasema “mambo si ndio haya !” Mara paaaap! Anatokea mshindani mpya aidha
Hapa ndipo watu huingia tamaa ya kuanza kwenda kwa waganga kutafuta dawa za mvuto wa biashara, kumuangamiza mshindani, n.k. ambapo wengi wanaishia kupigwa tu
- anafungua pembeni/karibu yako biashara kama yako, copy paste
- mwenye bei za chini,
- bidhaa zake zina ubora zaidi,
- anafanya free delivery,
- anauza kwa mkopo
- Ana connection
Hapa ndipo watu huingia tamaa ya kuanza kwenda kwa waganga kutafuta dawa za mvuto wa biashara, kumuangamiza mshindani, n.k. ambapo wengi wanaishia kupigwa tu