vulturine vulture
Senior Member
- Sep 5, 2019
- 154
- 99
Hahaaaa,mkuu kweli matukio haya kumbe tunafanana[emoji23],na jamaa wanajua kupiga sim wale sijapata kuona!!!mara walete vibarua vyao uweke saini ati umeshindwa kulipa!!!kumbe biti tuu hela wanaitaka zaidi hata ya dhamana uliyoiweka.
Mmmh!..hii lugha IPO kweli au ujanjaujanja!?
Mi nataka nikope niichukue nyumba nihamie maana kupanga kutanipasua kichwa so nitavumilia mpaka mkopo uishe ila at the end nijiite nina nyumba yangu
Namshukuru Mungu hili wazo lilizaa matunda kwa sasa naishi kwangu pia nina ka chumba na sebule self nimekapangisha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] no comment [emoji2772]Daaah!!mi wakati naanza kazi nilikopa 5mil,nilitoa hela yote kwenye account,nikanunua pikipiki ya kutembelea na iliyobaki niliweka gheto ktk bukta flan zile timberland si unajua zinakuaga na mifuko mingi!!bhas bhana mi nakula ugimbi nikiishiwa narudi gheto nazama ndani nachomoa mzigo nasepa naenda kula vyombo!sitosahau Kuna siku naingiza mkono kwenye mfuko imebaki 30,ikabidi niichomoe ile nguo kwenye msumali nikapekua mifuko yote na kukung'uta hamna kitu!!ikabidi nikatoka njee nikaingiza pikipiki ndani nikalala zangu!!
😴😴😥 fixNimekopa mara tatu sijawahi kujuta mara ya kwanza nilichukua mkopo 10 Mil nikamalizia ujenzi wa Nyumba nikahamia hivyo nikatoka nyumba ya kupanga, mara ya Pili Nikachukua 40 Mil nikafungua kiwanda kidogo cha kukamua mafuta ya alizeti na nikanunua mashine ya kusaga na kukoboa AISEEE SIJAWAHI KUJUTA KUKOPA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaaa anza na hiyohiyo! Mdogomdogo ndio mwendo!aiseee huu uzi nime pitia comment zote #391
nina 2.5 M cash ambazo ni za savings nili plan nichukue mkopo wa 3M ili niwe na 5.5 M ndo nianze biashara ila akili ime stuck kwanza naona bora nianze na hii hii 2.5M mkopo nije chukua baadae biashara ikiwa imesha changanya sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu kumejaa fix ...eti 1B?[emoji849][emoji16]...una B 1 unakuja kuchat humu haha ha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]uliza ww ,Mo mwenyewe yupo instagram fresh tuKwa hio mwenye Bil 1 hawezi kua humu JF sio?
Trump hakauki twitter
Trump hakauki twitter