Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

nilikopa m3 mwaka 2013 nikaanzisha ufugaji wa nguruwe na kuku wa kienyeji na nyingine nikanunua pikipiki. mwaka wa kwanza mambo yalienda vizuri kiasi hasa kwenye boda boda nilikuwa sikosi hela ya kula, balaa likaanza pikipiki ikapata mzinga wa kugongwa na gari.
kuku wakaanza kufa na nguruwe akazaa lakini watoto wakadumaa. maisha yakaanza kwenda mlama kuna kuna kipindi hata buku nilikuwa naiona kama buku ten.
mbaya zaidi demu wangu akaniacha akaniambia nimeshindwa kumhudumia mahitaji yake. Tangu hapo maisha ya kukopa yamenifunza kitu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] no comment [emoji2772]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😴😴😥 fix
 
Kabisaaa anza na hiyohiyo! Mdogomdogo ndio mwendo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…