Naassume labda utakatwa miaka 3 kwa asilimia 18 ya riba ambayo makadirio yatakuwa kama 7,080,000 ambayo utakatwa kama 197,000 kwa mwezi hivi..
1. Ukikopa kiasi fulani hutokipata exactly hichohicho hivyo hapo toa kama laki 3 watakupa 5.7
2. Take home 800,000-197,000=603,000 .. huu utakuwa mshahara wako kwa miaka mitatu kama hutopanda daraja au kukosa bonuses pia kama hutokuwa na jinamizi la HESLB
3. Gari itakudai regular services kila baada ya km's kadhaa, mafuta, FINE ZA TRAFIKI za halali na za kubambikiwa, malipo ya bima, na ada nyinginezo..sijui kuhusu malipo ya parking ( HIZI ADDITIONAL EXPENSES ZOTE ZINAINGIA KWENYE ALBAKI YA MSHAHARA WAKO WA 603,000..
4. jumlisha matumizi yako ya sasa kabla ya mkopo..kama kodi,umeme,maji,msosi,mawasiliano n.k
* usipojichanga vizuri kimahesabu uchungu wa makato utakufanya uichukie kazi ..