Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

Mkuu ulifukuzwa kazi na ukiwa bado una mkopo, Ilikuaje kuhusu huo mkopo? Au huwa kuna namna government wanalipa deni la mtumishi?
mkopo unabima...mkurugenzi anakudhamini...benkim haiwezi kushika mali zako maana hujaweka hizo mali kama colateral...watakusumbua ila usikimbie wanaweka madalali wa kudai labda uwe umechukua mkopo wa biashara
 
Naassume labda utakatwa miaka 3 kwa asilimia 18 ya riba ambayo makadirio yatakuwa kama 7,080,000 ambayo utakatwa kama 197,000 kwa mwezi hivi..
1. Ukikopa kiasi fulani hutokipata exactly hichohicho hivyo hapo toa kama laki 3 watakupa 5.7

2. Take home 800,000-197,000=603,000 .. huu utakuwa mshahara wako kwa miaka mitatu kama hutopanda daraja au kukosa bonuses pia kama hutokuwa na jinamizi la HESLB

3. Gari itakudai regular services kila baada ya km's kadhaa, mafuta, FINE ZA TRAFIKI za halali na za kubambikiwa, malipo ya bima, na ada nyinginezo..sijui kuhusu malipo ya parking ( HIZI ADDITIONAL EXPENSES ZOTE ZINAINGIA KWENYE ALBAKI YA MSHAHARA WAKO WA 603,000..

4. jumlisha matumizi yako ya sasa kabla ya mkopo..kama kodi,umeme,maji,msosi,mawasiliano n.k

* usipojichanga vizuri kimahesabu uchungu wa makato utakufanya uichukie kazi ..
Kingine hata status ya maisha itabadilika c kwasababu ana gari hivyo hata matumizi binafsi yataongezeka
 
mkopo unabima...mkurugenzi anakudhamini...benkim haiwezi kushika mali zako maana hujaweka hizo mali kama colateral...watakusumbua ila usikimbie wanaweka madalali wa kudai labda uwe umechukua mkopo wa biashara
Kwahiyo kama huyo aliefukuzwa kazi automatically hawezai kuulioa huo mkopo,so mkopo utalipwa na nani? Au ndio wanakua washakula hasara hao watu wa Bank.
 
Champ, suala la kuoa mwanamke mwanasheria ulivyolizungumza ndivyo unamaanisha, inamaana wanasheria wana changamoto ndoani?
 
Back
Top Bottom