Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

UZI HUU UMENIKUMBUSHA MIAKA MIWILI ILIYOPITA DAAAAAAAH:

Mikopo Mikopo Mikopoooooo.
Mikopo ni moja ya janga kubwa kwa watumishi wa serikali walio wengi, hasa Wanajeshi/Askali police/Walimu n.k

Mfanyakazi mwenzangu alikua na demu wake mtamu kiac chake walikua wanaishi pamoja Kama mtu na demu wake, kwa bahati mbaya wote wajedaaaa. (Ni nadra Sana kukuta wajeda/askali police kuoana labda walimu ndio wengi wanaweza vumiliana)

Katika kuishi huko wakakubaliana baada ya muda flani wafanye mchakato wa kuoana, ktk mipango yao mingi waliokua wameiweka pia kujenga nyumba lilikua lengo lao pia. Wakashauriana wakazama bank, jamaa akakopa 25Mill na demu nae kachukua Kama 17Mill.

Pesa ya demu akaunua Gari then Pesa ya mshikaj wakajenga nyumba kwenye Kiwanja Cha demu, bac wakawa wanatembelea gari kutoka home kwenda kazin na wakat mwingine wakipishana shift bac mmoja ataenda na gari mwingine anarudi nalo then anapoenda kulipoti kesho yake anampa mwenzie gar hvyo hvyo maisha yakawa yanaenda.

Bana weeeee baada ya makato kunoga na mshahar ushakua mchache pande zote na walisha zoea maisha flan ya Bata sanaaa. Demu akaanza kuzingua mala asilale ndani akiulizwa na mshikaj anamwambia alikua Lindo la usiku Sasa uzur wake jamaa anajua ratib zao zikoje so kufuatilia kiundan kumbe demu anatoka na Mkuu wa kikosi, wakat mwingine mkuu wa kitengo Cha siraha, aaaaaah mshikaj aliumia Sanaaa, akaja mchana demu wake, bwana weeee jibu alilopewaa ni kwamba hana pesa ya kumtunza hvyo awe mpolee.

Mshikaj akapanic, akamdunda Dem weeee zilichapwa humo ndani vunja vunja kila saman iliyokua mbele yao, mwenyekit wa mtaa ndo kuitwa kua watu wanauana huku nae akafurumshwaa Cha kushangaza mshikaj akatimuliwa pale nyumban Mana alichanwa kua Ile c nyumba yake cox Kiwanja hakina jina lake.

Mshikaj ikabid awe analala zake kambini mtaan kushakua sooo na ndio mwanzo wa kuzidisha kunywa pombe akawa mlevi mzuri tu. Kandri cku zilivyokua zinakwenda washkaj wakawa wanampump kua amlambe risasi manzi coz haiwezekan yeye atumie mkopo wote kujenga nyumba mwisho wa cku apolwe kila kitu, wengine wanasema amalizane na wakuu zake, jamaa akawa mgumu kureact. Cku 1 akatonywa na washkaj zake kua manz wako analiwa ndani ya nyumba aliyojenga yeye kua mara nyingi Gari ya boss wake (boss mdgo) inapak pale home.

aaaaah aaaah jamaa kwann asiende kichwa kichwa yaliyomkuta humo ndani alichezea kichapo Cha kwenda mbele mpk kulazwa, Basi koz issue ilikua inamhusu boss wake wakaifumbia kikosini lkn jamaa alipampiwa na masela baada ya kutoka hosp jamaa cku hyo kawa Lindo kwann asitumia Bunduki yake kumteka Boss wake
Weeee kambi nzima wakadata na wengine kufurahia (lkn yule boss pale kambini watu wengi hawampendi cox anapenda sana Chini za wenzie, so macopro wengi walifurahia lile tukio la mshikaj kumteka jamaa) boss hakupigwa risasi Ila alichezea kichapo heavy kutoka kwa mshikaji na kutelekezwa, bac cox Ile issue ilikua inafahamika kambini kua boss mkubwa na mdgo wanakula manzi ya copro na hata makopro wanawake waliopo kambini wengi walikua wanarubuniwa kimapenzi hasa na huyu boss mdgo, kilichofanyika ni boss mkubwa (mzee wa kambi) ni kuwahamisha kambi wote (copro na boss mdgo) ili wasije uana ingawa copro alipata kifungo Cha muda kambini kabla hajaondolewa Mana ulikua utovu wa nidhamu wa Hali ya juu na Boss mkubwa akawa amejihalalishia kumla manzi mzo kiulaiiini mana mwanzo alikua anajifichaficha.

Washkaj wanasema mshikaj kawa Cha pombe Mara mbili ya alivyokua kambi ya mwanzo.

Hapana chezea mkopo wa miaka 7 aisee.
Mwenye kisu kikali😆
 
Mi nakopesha na napata hela vizuri tu.

riba ni 20% kwa wiki...
IMG_20220416_104252_249.jpg
 
UZI HUU UMENIKUMBUSHA MIAKA MIWILI ILIYOPITA DAAAAAAAH:

Mikopo Mikopo Mikopoooooo.
Mikopo ni moja ya janga kubwa kwa watumishi wa serikali walio wengi, hasa Wanajeshi/Askali police/Walimu n.k

Mfanyakazi mwenzangu alikua na demu wake mtamu kiac chake walikua wanaishi pamoja Kama mtu na demu wake, kwa bahati mbaya wote wajedaaaa. (Ni nadra Sana kukuta wajeda/askali police kuoana labda walimu ndio wengi wanaweza vumiliana)

Katika kuishi huko wakakubaliana baada ya muda flani wafanye mchakato wa kuoana, ktk mipango yao mingi waliokua wameiweka pia kujenga nyumba lilikua lengo lao pia. Wakashauriana wakazama bank, jamaa akakopa 25Mill na demu nae kachukua Kama 17Mill.

Pesa ya demu akaunua Gari then Pesa ya mshikaj wakajenga nyumba kwenye Kiwanja Cha demu, bac wakawa wanatembelea gari kutoka home kwenda kazin na wakat mwingine wakipishana shift bac mmoja ataenda na gari mwingine anarudi nalo then anapoenda kulipoti kesho yake anampa mwenzie gar hvyo hvyo maisha yakawa yanaenda.

Bana weeeee baada ya makato kunoga na mshahar ushakua mchache pande zote na walisha zoea maisha flan ya Bata sanaaa. Demu akaanza kuzingua mala asilale ndani akiulizwa na mshikaj anamwambia alikua Lindo la usiku Sasa uzur wake jamaa anajua ratib zao zikoje so kufuatilia kiundan kumbe demu anatoka na Mkuu wa kikosi, wakat mwingine mkuu wa kitengo Cha siraha, aaaaaah mshikaj aliumia Sanaaa, akaja mchana demu wake, bwana weeee jibu alilopewaa ni kwamba hana pesa ya kumtunza hvyo awe mpolee.

Mshikaj akapanic, akamdunda Dem weeee zilichapwa humo ndani vunja vunja kila saman iliyokua mbele yao, mwenyekit wa mtaa ndo kuitwa kua watu wanauana huku nae akafurumshwaa Cha kushangaza mshikaj akatimuliwa pale nyumban Mana alichanwa kua Ile c nyumba yake cox Kiwanja hakina jina lake.

Mshikaj ikabid awe analala zake kambini mtaan kushakua sooo na ndio mwanzo wa kuzidisha kunywa pombe akawa mlevi mzuri tu. Kandri cku zilivyokua zinakwenda washkaj wakawa wanampump kua amlambe risasi manzi coz haiwezekan yeye atumie mkopo wote kujenga nyumba mwisho wa cku apolwe kila kitu, wengine wanasema amalizane na wakuu zake, jamaa akawa mgumu kureact. Cku 1 akatonywa na washkaj zake kua manz wako analiwa ndani ya nyumba aliyojenga yeye kua mara nyingi Gari ya boss wake (boss mdgo) inapak pale home.

aaaaah aaaah jamaa kwann asiende kichwa kichwa yaliyomkuta humo ndani alichezea kichapo Cha kwenda mbele mpk kulazwa, Basi koz issue ilikua inamhusu boss wake wakaifumbia kikosini lkn jamaa alipampiwa na masela baada ya kutoka hosp jamaa cku hyo kawa Lindo kwann asitumia Bunduki yake kumteka Boss wake
Weeee kambi nzima wakadata na wengine kufurahia (lkn yule boss pale kambini watu wengi hawampendi cox anapenda sana Chini za wenzie, so macopro wengi walifurahia lile tukio la mshikaj kumteka jamaa) boss hakupigwa risasi Ila alichezea kichapo heavy kutoka kwa mshikaji na kutelekezwa, bac cox Ile issue ilikua inafahamika kambini kua boss mkubwa na mdgo wanakula manzi ya copro na hata makopro wanawake waliopo kambini wengi walikua wanarubuniwa kimapenzi hasa na huyu boss mdgo, kilichofanyika ni boss mkubwa (mzee wa kambi) ni kuwahamisha kambi wote (copro na boss mdgo) ili wasije uana ingawa copro alipata kifungo Cha muda kambini kabla hajaondolewa Mana ulikua utovu wa nidhamu wa Hali ya juu na Boss mkubwa akawa amejihalalishia kumla manzi mzo kiulaiiini mana mwanzo alikua anajifichaficha.

Washkaj wanasema mshikaj kawa Cha pombe Mara mbili ya alivyokua kambi ya mwanzo.

Hapana chezea mkopo wa miaka 7 aisee.
Alijidanganya kiwa anapendwa 🤣🤣🤣🤣
 
Huu uzi unafundisha na kusikitisha pia
Leo ndio nimesoma huu Uzi. Nimesoma taratibu na kwa makini ila kwako hapa nimecheka sana japo kwingineko nilikuwa nahuzunika.

Dah nashindwa nishee kipi niache kipi ili wengine pia wajifunze toka kwangu nilichopitia, niliko sasa na nnakoenda.

Nna mengi ya kusimulia watu pia wakajifunza mengi yanafanana na waliokeisha simulia. Lakini kuinuka na nnakoenda na somo juu ya mikopo nnalo kubwa sana

Nitafungua uzi kisha nita utag huu ili nielimishe wengi
Juzi kati tu hapo nimevuta milioni 5 na mpaka sasa ishaisha na sioni cha maana nilichofanyia.Nakatwa 800K kwa mwezi kwa mwaka mzima ila nashukuru ni mkopo wa ofisini hauna riba.

Nilikopa kabla ya kufanya tathmini nzuri ya biashara nikajikuta naipeleka kwenye mambo ambayo hayakuwa priority so nimejifunza kitu.
uko njema, kukatwa 800k kwa mwezi itakuwa salary yako ni heavy
 
Huu uzi unafundisha na kusikitisha pia
Leo ndio nimesoma huu Uzi. Nimesoma taratibu na kwa makini ila kwako hapa nimecheka sana japo kwingineko nilikuwa nahuzunika.

Dah nashindwa nishee kipi niache kipi ili wengine pia wajifunze toka kwangu nilichopitia, niliko sasa na nnakoenda.

Nna mengi ya kusimulia watu pia wakajifunza mengi yanafanana na waliokeisha simulia. Lakini kuinuka na nnakoenda na somo juu ya mikopo nnalo kubwa sana

Nitafungua uzi kisha nita utag huu ili nielimishe wengi
Daaah!!mi wakati naanza kazi nilikopa 5mil,nilitoa hela yote kwenye account,nikanunua pikipiki ya kutembelea na iliyobaki niliweka gheto ktk bukta flan zile timberland si unajua zinakuaga na mifuko mingi!!bhas bhana mi nakula ugimbi nikiishiwa narudi gheto nazama ndani nachomoa mzigo nasepa naenda kula vyombo!sitosahau Kuna siku naingiza mkono kwenye mfuko imebaki 30,ikabidi niichomoe ile nguo kwenye msumali nikapekua mifuko yote na kukung'uta hamna kitu!!ikabidi nikatoka njee nikaingiza pikipiki ndani nikalala zangu!!
Umenichekesha sana mkuu
 
Mimi nimechukua mwaka huu, lakini ni wa mwaka mmoja. Mwezi wa tatu namaliza deni. Nilichukua ninunue boda boda lakini huyu jamaa niliyempa boda boda badala ya kuleta hela analeta stories. Yaani najuta kwanini nilichukua. Kuna wakati natamani niichukue halafu nipige bei ili nikalipe deni lililosalia lakini nahofia jamaa ni Kachawi kweli na baba yake nadhani ni msaidizi wa Lucifer mwenyewe, asije akanifanya mbaya bure! Basi najikaza kiume hivyo hivyo
Hahahahahah ngoja kapite humu utakatambua vizuri
 
Back
Top Bottom